Ubora wa Maji ya Kilimanjaro

Ubora wa Maji ya Kilimanjaro

Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini??
Kweli mkuu mi situmii tena hayo maji
 
Nikweli kabisa hayapo kama zamani tena siku hizi kuna hadi litre 18.9, hata mie nilikuwa najiuliza mpaka nikasema sitanunua maduka ya mtaani nitachukua maduka makubwa labda tunachotewa maji ya MTO msimbazi si yale, wajirekebishe kwakweli!
 
Mtoa mada hakuna shida na maji nafikiri shida yako ni
1. Kuanzisha uzi.
2. Figisu tu kuharibu biashara za watu.
3. Maji uliyotumia ni feki.
4. Ulitumia maji wakati umetumia chunvi.
5. Maji yaliwekwa chumvi eneo la tukio ndiyo ukapewa bila kuelewa.
Hamna bro hata mimi ni shuhuda.afu jamaa anatoa feedback kwa ajiri ya maboresho.
 
Mtoa mada hakuna shida na maji nafikiri shida yako ni
1. Kuanzisha uzi.
2. Figisu tu kuharibu biashara za watu.
3. Maji uliyotumia ni feki.
4. Ulitumia maji wakati umetumia chunvi.
5. Maji yaliwekwa chumvi eneo la tukio ndiyo ukapewa bila kuelewa.
Hapana maji yana shida mkuu, zamani ilikuwa ukinywa maji ya kili unasikia kabisa haya ni maji siku hizi radha hiyo haipo kabisa
 
Mkuu, nimeyanywa juzi nikiwa Musoma, kwa chuki ile sirudii.
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini??
 
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini??
Ni kweli kabisa yana chumvi nadhani ni fake.
 
Maji ya Kilimanjaro yashanishida kabsa, kwanza ukinywa halafu yakibaki kesho yake unayakuta yana harufu fulani mbovu tu. Nimehamia kwenye Sequa maji safi kabsa, hata yakibaki kesho yake unayakuta kama yalivyo.
 
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini??
Upo sahihi kabisa maji ya Kilimanjaro siku hizi yamekua mabayaaaaa
 
Hivi ni mimi tu ndo nahisi haya maji yamepoteza ubora wake, maana siku hizi yamekuwa kama yana chumvi chumvi hivi, ile ladha nzuri ya zamani haipo tena.

Ni nini kimetokea katika brand hii kubwa nchini?
Yapo ya aina nyingi kama wewe umeacha kunywa yale ya lita moja unusu kwa sh.1500 ukakimbilia ya size hiyo hiyo kwa sh.1000 pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona maji bado yana ubora ule ule. Mleta mada jiangalie labda kipindi unakunywa maji ulitoka kuzama chumvini, domo lako bado lilikuwa na chembechembe za chumvi
Kuna ya bei rahisi ndio alokimbilia ebu mwambie akanunua yale pale mlimani city au yale yanayosambazwa na gari lao yako kwenye box la kaki alafu akanywe na yake yanayofungwa kwenye nylon lazma aone tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kuna fake yameshaingia, na kuna thread watu walieleza humu.

Sijui ilikuwa ni wapi ila hata mimi nimeshawahi kunywa kilimanjaro yenye chumvi.

Ila sasa hivi nanunua ktk super market flani naona yako vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Made in manzese wananunua chupa zenye nembo ya kilimanjaro wanaenda kupulizia kwa kupitia kule nyuma ya chupa kwa lile bomba la sindano(sirinji)wanaziba na supa glue wanapaki fresh wanauza bei rahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kuna fake yameshaingia, na kuna thread watu walieleza humu.

Sijui ilikuwa ni wapi ila hata mimi nimeshawahi kunywa kilimanjaro yenye chumvi.

Ila sasa hivi nanunua ktk super market flani naona yako vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndiyo sababu kuuu, watu wanafoji sana... Mfano Colgate original usipoenda super market wanakupiga...
 
Back
Top Bottom