HahaMm wananichosha tu kwenye kuchelewa kila sehem. Hata kwenye kukata kiu, Unapiga mpk goli 3. eti yy hasikii hujamuandaa[emoji3][emoji16][emoji23] cjui wakiwaga faragha wanavuliwa nguo hua wanajua ni kuogelea ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke anaongozwa na hisia,
Mfano nyumba ikivamiwa alafu akiambiwa achague mmoja afe kati ya Mume au mtoto, kwa akili za mwanamke atachagua mtoto. Hawezi kumbuka huyo mtoto kaletwa na mwanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujidanganyaHii inawezekana lakini sio kwa mamangu na mke wangu hawa nina uhakika na kupevuka kwao. Hao wengine sijawai kua karibu nao nikathibitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes! Hii ndio ya kuongea. Sio eti akili za mwanamke hazijapevuka!Maturity is not determine by age rather than responsibilities
Unaweza ukawa mwanaume wa miaka 40 au 50 lakini hujui wajibu wako upo upo tu watu kama hao tunawaweka kwenye kundi la watoto, mwanaume ambae mpaka umkumbushe wajibu wake katika familia
Na kuna watoto ambao they are below 18 ila they are responsible enought to take care of what evver aituations comwa their way
Maturity ya akili inapimwa na uwezo wa mtu kupambanua mambo na kufanya maamuzi especialy katika jambo linalohitaji maamuzi ya haraka
Unaposema wanawake akili zao hazipevuki sio kweli..mtu ambae akili yake haijapevuka ni mtoto mdogo ambae lazima kila kitu apewe mwongozo na ndio maana anitwa mtoro.labda ungesema yale madhaifu ya kimaumbile ambayo tumeumbwa nayo kama kuonhozwa na emotions to which is nature
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upumbavu weye! Sasa hao viongozi wa dini hawatakiwi kuheshimu hayo maandiko matakatifu ya dini wanazoziongoza? Au kwa kuwa akili zao ZIMEPEVUKA wanaruhusiwa kuyadharau na kufanya watakavyo kulawiti watoto wa kiume na kuangalia pembeni pale kwenye maovu chungu nzima. Kwanini wahubiri maneno matakatifu kwa waumini wao wakati wao wenyewe wanafanya tofauti? Akili zao ZIMEPEVUKA siyo. Akili za wapi hizi? [emoji15]
Acha upumbavu wako wa kujifanya unanijua zwazwa wewe!? Nani alikudanganya mie ni mwanamke mpuuzi wewe?
Kama ww sio dada basi inaonyesha unatatizo kubwa sana la upungufu wa nguvu za kiume.
Huwezi kutokujua aya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu waweza kuwa mfano wa matokeo ya huo utafiti.Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Our brains never mature at the same time hata huyo aliendika amelelewa na huyo mwanamke ambae upeo wake haupevuki, wewe nae umezaliwa na kulelewa na mama ambae brain yake haijakomaa, una mke ambae analea watoto wako pengine hata hukumbuki the last time umeshinda siku nzima na watoto na pengine ukiachiwa nyumba within a day unaweza ukaona maisha machungu ila anaemanage nyumba ni mke ambae akili yake haijamature enough
Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Duh sasa mbona kama umetoa povu kuasi
Wanajiona wana akili sana kumbe ndiyo maana wanachunwa halafu wanakuja kulalamika.Give us a break dear
Our brains are matured enough compared to the brains za wanaume ambao kwa asilimia kubwa bila kupata mwongozo wa mke basi familia inadondoka
Mwambie huyo mtafiti atukomeee