Ubongo wa mwanamke haupevuki

Kuna jinsi yoyote ambayo mtu anaweza kuunga mkono utafiti huu bila kuonekana kwamba anawadhalilisha wanawake?
 


Ingekua uzi wangu, ningewaomba Mods ufungiwe comments tena maana yours has closed the topic!

*#Life= Darkness 》 Light, Right 》 Left, Male 》Female
We all need each other to exist hakuna zaidi ya mwenzie kati ya Me & Ke, just perception!
 
Hapa pia umeonyesha kuwa kweli ubongo wenu haupevuki,umeongea pumba tupu,sikulaumu lakini,maana ukipata akili means hautokuwa mwanamke tena...you will be a man,so be how you are..idiot!
 
[emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Mkuu tuna hulka ya kuona jinsia moja ipo juu ya nyingine, tusijue kuwa tupo ili ku-balance.
 
[emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Mkuu tuna hulka ya kuona jinsia moja ipo juu ya nyingine, tusijue kuwa tupo ili ku-balance.

My sentiments exactly!
Siku binaadam akiacha kushindana na Kivuri chake mwenyewe, ndio siku ya kuutambua ukweli wa Uumbaji!

Hawezi kuwepo mwanaume bila mwanamke na wala hawezi kuwepo mwanamke bila mwanaume, no matter the scientific innovations taking place in the international laboratories, still male & female DNA is the source of all Life, it was designed that way, it will remain that way to the day of expiration or redesigning or infinity.
 
Hapa pia umeonyesha kuwa kweli ubongo wenu haupevuki,umeongea pumba tupu,sikulaumu lakini,maana ukipata akili means hautokuwa mwanamke tena...you will be a man,so be how you are..idiot!


Try and read this with your inner voice or subconscious mind then uone vile una sound pathetic!¿

Why is it necessary for one to Be down for the other to be up?! As much as you found yourself alive hapa duniani that is as much as ulivyojikuta you are a male!
 
Unajua kuna watu wana reasoning capacity ndogo sana, sasa hata kama ni utafiti yeye ameshindwa kuulinganisha na hali halisi ya maisha na majukumu ya mwanamke, anakurupuka tu kuanzisha uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kuna watu wana reasoning capacity ndogo sana, sasa hata kama ni utafiti yeye ameshindwa kuulinganisha na hali halisi ya maisha na majukumu ya mwanamke, anakurupuka tu kuanzisha uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nlikuwa cjui ndo maana nkafungua uzi! Na nimedhibitisha ni kweli ! Asante kwa ushirikiano wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inawezekana lakini sio kwa mamangu na mke wangu hawa nina uhakika na kupevuka kwao. Hao wengine sijawai kua karibu nao nikathibitisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…