FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Ndio maana ya 'Bone marrow stem cells', yaani stem cells zitokanazo na bone marrow.Uboho=bone marrow. Stem cells zinapatikana kwenye bone marrow.
Stem cells zinauwezo wa kubadilika kuwa cells nyingine ndio maana zinapandikizwa kutibu magonjwa sugu.