Mkuu huyu bwana alikuwa na maana ya uwazi kati ya mfupa (bone marrow) sio dushelele.uboho au uboo?
[ By Nyani Ngabu
Uboho ni neno la Kiswahili na si tusi.
Hata nyoko ni neno la Kiswahili na si tusi.
kwanza nyoko si neno rasmi la kiswahili bali ni neno la kibantu likiwa na maana ya mama yako=mamaako