Ubishi mwingine haufai kabisa

Ubishi mwingine haufai kabisa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
5589_602015993155426_1438011959_n.jpg
 
Hahahahaha acha wakumalize 7bu ya akili zako fupi nyie ndo wale mnaoamini kitu kirahic bila kujua upande wa pili

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huo wala si Ubishi bali ni dharau zimewajaa baadhi viongozi wetu , angekuwa anaheshimu kazi za wengine, yasingemkuta yote hayo!? Na iwe fundisho kwa wote wenye tabia kama hizi!! Akome na akomae!! Ha ha ha ha haaaa......!!!!
 
hakuwa na dharau bro alitaka kupewa heshima yake kama waziri umenisoma!!!!!!
 
alitaka kutumia cheo chake kama waziri vp anaendeleaje na maumivu ya nyuki?!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom