Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,820
- 13,775
Ni Upungufu wa Bia Mwilini ambao huwa unawakabili wadau mbali mbali wa kinywaji hicho.
DALILI ZAKE:
1.Kiu sana
2.Njaa kali sana (Maana ukinywa lazima nyama choma)
3Kukosa ofa (Kama na mdoezi)
4.Mipango isiyokamilika.
5.Kukosa wapambe
6.Kuwahi nyumbani (kabla ya saa kumi jioni)
7.Kukasirika ovyo
8.Kuwa mnoko
9.Kuangalia taarifa ya habari
10.Kunyang'anyana remote control na watoto
11.Kufuatilia vitu vidogo vidogo vya nyumbani.
Ukianza kuona dalili hizi wahi pub iliyo karibu nawe.
DALILI ZAKE:
1.Kiu sana
2.Njaa kali sana (Maana ukinywa lazima nyama choma)
3Kukosa ofa (Kama na mdoezi)
4.Mipango isiyokamilika.
5.Kukosa wapambe
6.Kuwahi nyumbani (kabla ya saa kumi jioni)
7.Kukasirika ovyo
8.Kuwa mnoko
9.Kuangalia taarifa ya habari
10.Kunyang'anyana remote control na watoto
11.Kufuatilia vitu vidogo vidogo vya nyumbani.
Ukianza kuona dalili hizi wahi pub iliyo karibu nawe.