Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Upinzani Tanzania kwa Mazungumzo na kuangalia hali ya kisiasa nchini

Hapa amefeli ameandika ndivyo sivyo, pale tunapo kosea au kuandika huku kuna mapungufu makubwa ktk habari husika huwa tunaelezana.

Viwango JamiiForums lazima viwe juu zaidi ya vyombo vingine vya habari ili JF iendelee kuwa juu.
Waandishi waliofungamana na upande fulani hawawezi kukuletea habari za kweli. Nenda Fox news uone wanavyompamba Trump japo anachemsha. Hapa kuna Salary Slip Mwanahabari huru na BAK hawa wameoga maji ya bendera ya chadema na kule lumumba kuna Jingalao na Lizabon na wengine wengi kazi yao kumsifu jiwe hata anavuruga
 
Waziri wa misaada wa Sweden Peter Eriksson amesema wanataka kukata misaada kwa Tanzania. Siasa chafu za Magufuli ndio sababu.
Hawa viongozi wa upinzani naona ni ushahidi wao wa mwisho. Pole Tanganyika.
Mbinyo kuhusu kukosekana kwa demokrasia Tanzania unazidi, pamoja ya kuwa serikali ya awamu ya Tano inapenda misaada toka nje hapa Palamagamba ana kazi ngumu kuwafahamisha wadau wa maendeleo juu ya hali ya kisiasa Tanzania .

6 Apr 2019
JPM Ampa MAAGIZO Balozi wa Sweeden, "mwambie mzee alete hela" Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli bado anaendelea na ziara yake ya kikazi katika mikoa ya kusini ambapo leo April 6, 2019 amezindua mradi wa ujenzi wa njia ya umeme ya kilovolt 220 makambako - Songea. aidha rais JPM Amewaasa wakazi wa makambako kuzilinda hifadhi za maliasili ilikuendelea kuwa kivutio kwa watalii.

Source : Global TV online
 
wangekutana na Dkt.Bashiru leo zingejaa page za kulaani tu. Ni vema kama mmekuwa wazalendo kwa nchi yenu
 
Mkuu Mwanahabari Huru, kwanza asante kwa taarifa hii, ila headline yako ilipaswa kuwa
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na Baadhi ya viongozi wa Upinzani Tanzania... au
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Vyama Viwili vya Upinzani Tanzania...

Kitendo cha kuandika
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Upinzani Tanzania...Kinamaanisha hoa ndio viongozi wa upinzani Tanzania, kitu ambacho sii kweli, Tanzania tuna vyama 22 vya upinzani na vyote vina viongozi, hao ni viongozi wa vyama 2 vya upinzani.

Thanks.
P.
Heshima kwako mkuu. Wazungu wanajua kabisa kuwa vyama vingi hapa nchini ni vya Kitengo yaani vinaendeshwa na kitengo chetu. Hata wewe unajua vema kabisa japo vinajinasibu kama vyama vya upinzani. Ila angalau kwa sasa hivyo ndio vipo active na vinamwelekeo wa upinzani. Hivi kweli inambie CUF ya Lipumba ni upinzani?😤😤😤😤😤😤
 
Karlo kama mpaka leo hii hujui maana ya uzalendo basi tuna viongozi wa ajabu sana. Anaeua watu wake kisa wanamkosoa na anaetetea raia nani mzalendo?
Ikiwa mtu ameapa kuilinda katiba mwisho akawa mvunja katiba na haheshimu katiba wala sheria kisha walamba viatu wanamwita mzalendo namba moja kisa wanafukuzia teuzi, mfano wewe bado tukuite mzalendo?
Ikiwa mtu anajichotea mipesa na kufanya atakavyo kutoka hazina bila kujali kuwa kuna bunge limepitisha bajeti halafu anafanya manunuzi makubwa kama ananunua peremende za wanae eti huyo ni mzalendo?
Ikiwa watu wanatumia madaraka vibaya mwisho maumivu kwetu kwa kuharibu soko mazao mfano Mbaazi - India, Korosho, Mahindi nakadhalika kisa tu sio ya ukanda wake eti ni mzalendo, Mbona havurugi soko la Pamba inayotegemewa na ndugu zake????
Uzalendo ni kuipenda nchi yako sio Utawala
Utawala huweza kuwa mbaya kwa watu na hupita, lakini nchi daima ipo
wangekutana na Dkt.Bashiru leo zingejaa page za kulaani tu. Ni vema kama mmekuwa wazalendo kwa nchi yenu
[/QUOTE
 
Mkuu Mwanahabari Huru, kwanza asante kwa taarifa hii, ila headline yako ilipaswa kuwa
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na Baadhi ya viongozi wa Upinzani Tanzania... au
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Vyama Viwili vya Upinzani Tanzania...

Kitendo cha kuandika
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Upinzani Tanzania...Kinamaanisha hoa ndio viongozi wa upinzani Tanzania, kitu ambacho sii kweli, Tanzania tuna vyama 22 vya upinzani na vyote vina viongozi, hao ni viongozi wa vyama 2 vya upinzani.

Thanks.
P.
Interesting, yaliyobaki ni matawi ya CCM. hata Sweden wanajua hilo!
 
Inasikitisha sana hali ya kisiasa Tanzania juu ya uhuru wa kujieleza, kupata habari, utekaji na demokrasia


20 May 2019
Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Mdude Nyagali ameelezea namna alivyotekwa mpaka kuokolewa. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Makao makuu ya Chama hicho Jijini Dar es Salaam Mdume amesema kuwa utekwaji wake unahusiana na siasa na kubainisha kuwa hana mpango wa kuhama Tanzania na wala haofii kifo. Aidha amesema anamshukuru Mungu kwa kuwa anaendelea vizuri japo bado anaendelea kupata matibabu. Mdude alivamiwa kisha kuchukuliwa na watu wasiojulikana akiwa ofisini kwake Mbozi Mkoani Songwe Siku ya Jumamosi Tarehe 4 Mei 2019 na kupatikana usiku wa May 8 mwka huu.
Source : Global TV online
 
Mkuu Mwanahabari Huru, kwanza asante kwa taarifa hii, ila headline yako ilipaswa kuwa
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na Baadhi ya viongozi wa Upinzani Tanzania... au
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Vyama Viwili vya Upinzani Tanzania...

Kitendo cha kuandika
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Upinzani Tanzania...Kinamaanisha hoa ndio viongozi wa upinzani Tanzania, kitu ambacho sii kweli, Tanzania tuna vyama 22 vya upinzani na vyote vina viongozi, hao ni viongozi wa vyama 2 vya upinzani.

Thanks.
P.
Pascal, wazungu siyo wajinga wanajua vyama vilivyo serious.
 
Mkuu Mwanahabari Huru, kwanza asante kwa taarifa hii, ila headline yako ilipaswa kuwa
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na Baadhi ya viongozi wa Upinzani Tanzania... au
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Vyama Viwili vya Upinzani Tanzania...

Kitendo cha kuandika
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Upinzani Tanzania...Kinamaanisha hoa ndio viongozi wa upinzani Tanzania, kitu ambacho sii kweli, Tanzania tuna vyama 22 vya upinzani na vyote vina viongozi, hao ni viongozi wa vyama 2 vya upinzani.

Thanks.
P.
John Cheyo, Lipumba na Agostini Mrema nao unawaweka katika kundi la wapinzani? Paskali be serious, vinginevyo tutakunyang'anya title ya "Ka-Shivji Kadogo"!
 
Picha imeclarify!
Mkuu Mwanahabari Huru, kwanza asante kwa taarifa hii, ila headline yako ilipaswa kuwa
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na Baadhi ya viongozi wa Upinzani Tanzania... au
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Vyama Viwili vya Upinzani Tanzania...

Kitendo cha kuandika
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Upinzani Tanzania...Kinamaanisha hoa ndio viongozi wa upinzani Tanzania, kitu ambacho sii kweli, Tanzania tuna vyama 22 vya upinzani na vyote vina viongozi, hao ni viongozi wa vyama 2 vya upinzani.

Thanks.
P.
 
Mkuu Mwanahabari Huru, kwanza asante kwa taarifa hii, ila headline yako ilipaswa kuwa
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na Baadhi ya viongozi wa Upinzani Tanzania... au
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Vyama Viwili vya Upinzani Tanzania...

Kitendo cha kuandika
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Upinzani Tanzania...Kinamaanisha hoa ndio viongozi wa upinzani Tanzania, kitu ambacho sii kweli, Tanzania tuna vyama 22 vya upinzani na vyote vina viongozi, hao ni viongozi wa vyama 2 vya upinzani.

Thanks.
P.
Hujamwona Le- Proffeseri na Mrema? Kilangila.
 

Chezea debe tupu zitto kwa kuvuma? Yeye ndio kaongoza kupeleka uzushi sweeden hadi wamefikiri act ndio wapinzani wakuu. Hebu tuone kama wataonana na cdm ambao wanatumia sana drama ya kutekwa watu kama hii ya mdude aliyekua kwa press leo.
 
Mkuu Mwanahabari Huru, kwanza asante kwa taarifa hii, ila headline yako ilipaswa kuwa
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na Baadhi ya viongozi wa Upinzani Tanzania... au
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Vyama Viwili vya Upinzani Tanzania...

Kitendo cha kuandika
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Upinzani Tanzania...Kinamaanisha hoa ndio viongozi wa upinzani Tanzania, kitu ambacho sii kweli, Tanzania tuna vyama 22 vya upinzani na vyote vina viongozi, hao ni viongozi wa vyama 2 vya upinzani.

Thanks.
P.
Mayalla kwanini unataka kucomplicate matters? Wangekutana na Kiongozi mmoja wa upinzani ingekuwa "Ubalozi umekutana na Kiongozi wa Chama cha upinzani" na ikiwa atakutana na Viongozi wa zaidi ya Chama kimoja, basi itakuwa "Ubalozi umekutana na Viongozi wa vyama vya upinzani"
 
Mkuu Mwanahabari Huru, kwanza asante kwa taarifa hii, ila headline yako ilipaswa kuwa
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na Baadhi ya viongozi wa Upinzani Tanzania... au
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Vyama Viwili vya Upinzani Tanzania...

Kitendo cha kuandika
Ubalozi wa Sweden Nchini Tanzania wakutana na viongozi wa Upinzani Tanzania...Kinamaanisha hoa ndio viongozi wa upinzani Tanzania, kitu ambacho sii kweli, Tanzania tuna vyama 22 vya upinzani na vyote vina viongozi, hao ni viongozi wa vyama 2 vya upinzani.

Thanks.
P.
Umejuaje kama walialikwa na hawakuhudhuria, isitoshe vyama vya upinzani ndio hivyo ambavyo viongozi wao wameonekana hapo , hao Sweden embassy wenyewe wanajua hao wengine ni vibaraka tu.
 
MBona kina lipumba na mrema wakienda ikulu kunywa chai huwa mnaandika viongozi wa upinzani na hamuandiki baadhi ya viongozi wa upinzani?
 
Mijitu itanunaje??? haya wapeni twenti foo awazi kama mna ubavu!!
 
Back
Top Bottom