Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 242
si tueambiwa source ni habari leo au?
Yaani hata kule Washington DC state Dep hawana habari kuhusu hii? Hata wale waandishi wa habari nusanusa wa washinton Pos na N.Y. Times? Wako wapi CNN, BBCW, Sky News Fox News, AlJazeera? Kweli hawaijui hii habari?