BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,487
Ukweli ni kuwa vita dhidi ya ubaguzi vilishindwa kabla ya kuwapo wazo la kupinga ubaguzi. Nani leo hii anaweza kusimama even hao wanaojinasibu kuwa ni wanaharakati wa kupinga ubaguzi na kusema kuwa yeye sio mbaguzi? Jibu ni hakuna sababu kila mwanadamu ana vina saba vya ubaguzi bali kinacho tutofautisha ni namna tunavyoact mbele ya vitu tusivyovipenda.
Ulimwengu unakadiliwa kuwa na watu takriban bilioni 7 wenye sifa tofauti tofauti kuanzia muonekano mpaka namna wanavyofikiria. Swali ni je nani awezaye kudeal angalau na watu laki moja kwa kuwapa heshima na uangalizi ulio sawa kwa watu wote na pasiwepo hata mtu mmoja ambaye atahisi kutotendewa haki au kupewa favor zaidi ya mwingine?
Kama ni ruksa mwanadamu kuchagua kitu kimoja dhidi ya kingine basi ni ruksa kwa mwanadamu huyo kumbagua mtu mmoja dhidi ya mwingine na ndicho haswa kinachotokea ulimwenguni.
Leo hii Tanzania kuna watu wanajiona wao ni Superior dhidi ya wengine sasa kwa nini tuwaite Mabeberu ni wabaguzi huku tukiona sawa wenzetu tunaoshare nao katiba ambao hawataki tuwe karibu hata na fences za mabangaloo yao.
That's life ubaguzi unaanzia mbali sana the funniest thing ni kuwa mtu anaanza kuchukia na kubagua viungo vyake mwenyewe mwilini. Je mtu wa namna hii anaweza kuwa na guts za kupinga ubaguzi unaotokea baina ya wanadamu?
Just ask yourself wazungu tuliwakosea nini mpaka wakaanza kutubagua licha ya kuja Afrika kuchukua rasilimali zetu na kuwatesa bibi/ babu zetu still mpaka leo hawatupi kipaumbele. Somo kubwa kuhusu ubaguzi ni kuwa mtu akiamua kukubagua no matter umemfanyia mazuri mangapi atakubagua tu.
Mimi BabaMorgan ni miongoni mwa vijana ambao naamini kila kitu kinachotokea ulimwenguni bila ya kujali ni kibaya au kizuri kimepangwa kuwa hivyo swali ni je kipo hivyo kwa maslahi ya nani?
From northern part of Tanzania.
Ulimwengu unakadiliwa kuwa na watu takriban bilioni 7 wenye sifa tofauti tofauti kuanzia muonekano mpaka namna wanavyofikiria. Swali ni je nani awezaye kudeal angalau na watu laki moja kwa kuwapa heshima na uangalizi ulio sawa kwa watu wote na pasiwepo hata mtu mmoja ambaye atahisi kutotendewa haki au kupewa favor zaidi ya mwingine?
Kama ni ruksa mwanadamu kuchagua kitu kimoja dhidi ya kingine basi ni ruksa kwa mwanadamu huyo kumbagua mtu mmoja dhidi ya mwingine na ndicho haswa kinachotokea ulimwenguni.
Leo hii Tanzania kuna watu wanajiona wao ni Superior dhidi ya wengine sasa kwa nini tuwaite Mabeberu ni wabaguzi huku tukiona sawa wenzetu tunaoshare nao katiba ambao hawataki tuwe karibu hata na fences za mabangaloo yao.
That's life ubaguzi unaanzia mbali sana the funniest thing ni kuwa mtu anaanza kuchukia na kubagua viungo vyake mwenyewe mwilini. Je mtu wa namna hii anaweza kuwa na guts za kupinga ubaguzi unaotokea baina ya wanadamu?
Just ask yourself wazungu tuliwakosea nini mpaka wakaanza kutubagua licha ya kuja Afrika kuchukua rasilimali zetu na kuwatesa bibi/ babu zetu still mpaka leo hawatupi kipaumbele. Somo kubwa kuhusu ubaguzi ni kuwa mtu akiamua kukubagua no matter umemfanyia mazuri mangapi atakubagua tu.
Mimi BabaMorgan ni miongoni mwa vijana ambao naamini kila kitu kinachotokea ulimwenguni bila ya kujali ni kibaya au kizuri kimepangwa kuwa hivyo swali ni je kipo hivyo kwa maslahi ya nani?
From northern part of Tanzania.