Ubaguzi na unyanyasaji kazini

Theodora

JF-Expert Member
Dec 20, 2009
802
570
Je, kimbilio la mfanyakazi ni wapi hasa pale ambapo wanaohusika katika ishu ya ubaguzi na unyanyasaji ni mkuu wa idara na meneja wa kampuni?

Imekuwa sasa kudhalilishwa kazini na kushushwa vyeo kiholela - kisa ni kusimamia ukweli. Hasa makaburu ndio wamezidi na tabia hiyo. Halafu vipi Mh. Vuai anaweza kusaidia pale waziwazi nafasi anaondolewa mbongo na kuwekwa kaburu ambaye hana vyeti na hata hawezi kupata kibali cha kufanyia kazi Tanzania - Basi anakuwa anatembeatembea ofisini tu kutafuta umbea wa kupeleka.

Je, wapi naweza kupata msaada?
 
Mbona hiyo ishu ni rahisi tu.

Huyo kaburu ambae umesema hawezi kupata kibali cha kufanya kazi TZ mbona yuko kazini tayari au mi sijaelewa vizuri? Kama hana kibali na una uhakika si mkamchome tu? Hawana urafiki hao, mnamuonea huruma kumchoma kesho akipata kibali anaanza na nyie wenyewe!
 
Mbona hiyo ishu ni rahisi tu.Huyo kaburu ambae umesema hawezi kupata kibali cha kufanya kazi TZ mbona yuko kazini tayari au mi sijaelewa vizuri? Kama hana kibali na una uhakika si mkamchome tu? Hawana urafiki hao, mnamuonea huruma kumchoma kesho akipata kibali anaanza na nyie wenyewe!
Kaka, nadhani ushausikia wimbo wa kigeugeu. Ishu hapa kama kawa kuna vibaraka wa hawa makaburu. Sasa maana wengine ni wa kusimamia haki ndo wanashushwa vyeo na kupandishwa hao vibaraka - kwa hiyo unakosa support ya ndani. Na hapo wabongo wenzetu wana2saliti.
 
Dawa ya hiyo kitu ni kujiajiri tu, hakuna kingine.Fanya kazi kwa malengo ya kutafuta mtaji then unaendesha mambo yako kwa amani. Kama hili haliwezekani, basi hayo madhila unayoyapata ndo yatakuwa hivyo hadi umauti wako. Na kama kweli una uhakika jamaa hana kibali cha kufanya kazi bongo, nenda ofisi ya uhamiaji waambie immigration inspectors, wata mdili huyo mzungu perpendicularly!
 
Dawa ya hiyo kitu ni kujiajiri tu, hakuna kingine.Fanya kazi kwa malengo ya kutafuta mtaji then unaendesha mambo yako kwa amani. Kama hili haliwezekani, basi hayo madhila unayoyapata ndo yatakuwa hivyo hadi umauti wako. Na kama kweli una uhakika jamaa hana kibali cha kufanya kazi bongo, nenda ofisi ya uhamiaji waambie immigration inspectors, wata mdili huyo mzungu perpendicularly!
Jamani hii kitu nimeisikia sana katika makampuni mengi yenye makaburi, hapa napata picha aliyosema Nyerere kuwa makaburu si watu. Mimi sijawahi kubahatika kufanya kazi na kaburi, nimefanya sana na wahindi, na sasa nafanya na wachina ingawa mwajiri wangu sio wao ni serikali. Ila ni project ambayo inanifanya nifanye nao kazi kwa karibu, nazani wananiogopa sababu wao sio wafanyakazi. Jamani ni kwamba hii ni nchi yetu, tusiposimama sisi kuyazungumza haya hakuna ambaye anaweza kuyazungumza, katika idara zinazoniudhi katika nchi hii ni Uhamiaji na idara ya Kazi wao ndio wanawaruhusu hawa watu waingie ovyo nchini. Natoa wito sasa hivi ebu jaribuni kukusanya issue za hawa watu mimi huku nataka niandae article kwenye magazeti halafu tutashare wote kuiweka sawa kisha tuirushe kwenye vyombo vya habari. In mean time naomba pia tutafute email address za magazeti yote nchini, wahariri wake, magazeti ya nje ya nchi ambako hayo makampuni ya kigeni yanauza share zake. Please hii ni serious wakati Chadema wanaokoa nchi dhidi ya mafisadi sisi tuwaunge mkono kuwatoa kaburi na wote ambao hawastaili kufanya kazi nchini. Tunao ndugu zetu wengi ambao wangepata kazi kwenye hayo makampuni kama hao kaburu wasingekuwepo.
 
je, na wahindi nao mnawaweka kunddi gani ????????, watanzania atuendelei kwasababu wawekezaji wengi ni wahindi harafu ndio wanyanyasaji na wabaguzi wazuri.ebuu fikiria muhindi analipwa kwa dolla harafu wewe mtanzania unalipwa kwa shilling isitoshe taaruma uliyonayo mhindi hana.


just imagine !!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom