Ubaguzi haufai hata chembe

Sol de Mayo

JF-Expert Member
Sep 10, 2016
6,324
5,934
thumb_60569_default_news_size_5.jpeg

Mohamed Salah ni moja kati ya wachezaji bora Afrika akiwemo Riyad Mahrez, Sadio mane, Aubamayeng, koulibaly, Hakeem Ziyech n.k.

1--Mohamed Salah na Sadio Mane
2--Riyad Mahrez
na Aubamayeng
3--Hakeem Ziyech
na Kolibaly

lakini linapokuja swala la kuwashindanisha baina yao na mmoja wao huchukua tuzo ya mchezaji bora wa afrika ama klabu yake, Anaonekana amependelewa kwa maana hakusitahili. Especially hao waarabu kutoka kaskazini mwa Afrika Mohamed Salah na Sadio Mane, au Riyad Mahrez na Aubamayeng, baadhi/wengi wao humkubari Sadio ama Aubamayeng kwa sababu tu weusi na sio uhalisia wenyewe, ama ni nini labda? Mo Salah na Mahrez vilevile hawakubaliki je, sababu ni nini labda? Uarabu unawaponza ama?

But kwa yule anaejitambua na anaujua mpira vizuri na kuweka ushabiki mandazi pembeni bila kuingiza ubaguzi wowote ule hawezi fanya hivyo.

Nimeona baadhi ama wengi wao wakimwimba Sadio na Aubamayeng na kuwaponda hao wengine hata kama wamefanya vizuri zaidi yao, wakati hata hao ni waafrika wenzetu pia japo tumetofautiana Rangi lakini wote kutoka bara moja.
 
Hapo hakuna cha ubaguzi wala nini! Kimsingi hizo nchi ni bora zingeshirikiana tu na Waarabu wenzao. Kubakizwa kwenye Bara la Afrika, nadhani kumeongeza tu mkanganyiko.

Hao ni Waarabu na siyo Waafrika! Hivyo tuzo za Waafrika wapewe Waafrika. Na hao Waarabu watafutiwe utaratibu wa kushindana na Waarabu wenzao. Kwanza sina imani kama wanatupenda sisi Waafrika wenye ngozi nyeusi, au wanawapenda Waarabu wenzao katika kila jambo.
 
Naona wewe ndo unaleta Ubaguzi ukishasema ni waafrika wenzetu halafu ukaja taja Uarabu na rangi tayari unaweka ubaguzi. we nani kakwambia hao wengine anawabagua sababu ya race au rangi yao?

LAKINI , WE NI NANI HATA UWAPANGIE WATU WATU WA KUWAPENDA? SI KILA MTU ANAPENDA ANACHOTAKA KUPENDA? ACHA UNAFIKI.
 
Hapo hakuna cha ubaguzi wala nini! Kimsingi hizo nchini bora zingeshirikiana tu na Waarabu wenzao. Kubakizwa kwenye Bara la Afrika, nadhani kumeongeza tu mkanganyiko...

Haya ndio tunayakemea na hatuyataki,

Hapa tayali umeshaonyesha wazi wewe ni racism. Na ni very difficult kukuweka sawa.

Huwa sioni sababu ya kuwachukia hao waafrika wenzetu japo tumetofautiana rangi but sote one continent
 
Haya ndio tunayakemea na hatuyataki,
Hapa tayali umeshaonyesha wazi wewe ni racism. Na ni very difficult kukuweka sawa.

Huwa sioni sababu ya kuwachukia hao waafrika wenzetu japo tumetofautiana rangi but sote one continent
Nakupa hii....Mo Salah ameshawahi sema " Mimi siyo Mwafrika,ila nchi yangu ipo Africa"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom