brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Mshambuliaji wa Klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya Misri ameibuka mshindi wa kinyang'anyiro hocho kwa kuwabwaga, Sadio Mane na Pierre-Emerick Aubameyang
Hii ni mara ya pili kwa Mo Salah kutwaa tuzo hiyo, kwani mwaka jana alitangazwa kuwa Mwanasoka bora wa Afrika kwa mwaka 2017
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limewatangaza wachezaji wafuatao kuingia kwenye kikosi bora cha mwaka 2018
Denis Onyango, Serge Aurier, Medhi Benatia, Eric Bailly, Kalidou Koulibaly, Naby Keita, Thomas Partey, Riyad Mahrez, Mohamed Salah, Pierre-Emerick Aubameyang na Sadio Mane