Ubaguzi CRDB

Ubaguzi CRDB

Wewe unashangaa hilo nenda kijijini Marangu wamejenga branch kule wakati kuna mikoa hata hawajajenga.Ajira zenyewe waangalie ni wachaga kwa kwenda mbele.

yaani wewe hujui kuwa marangu ni mji wa kibiashara?hujui marangu ndo njia ambayo watalii wanafanya njia ya kupandia mlima?hujui ndo tunapakana au ni njia rahisi ya kimangiliano kati ya kenya na kilimanjaro?kifupi crdb wameona mbali kwa kuweza kuteka soko sehemu la kibiashara au kiuchumi maana wanapata wateja wengi zaidi.acheni majungu navfanyeni kazi kwa bidii
 
Mkuu mwambie aporomoshe mjengo afu auite "MASSAWE HOUSE" aone kama hatawakodishia. Au na mikataba wanaingia kwa kichagga ili wasiingie mkenge kukodisha kwa "chasaka"?

Ha ha ha....Ndugu yangu mmoja kaoa Chasaka yani ni kama katengwa...

Proudly chagga..
 
Nenda muhimbili ukaone madokta wanavyowabeba wanafunzi wa kichaga wa medicine au chuo cha ifm

Wacha ushakunaku wewe kama ume supp au umedisko ni kivyako....Wachagga ni majembe huwa hatufanyi ajizi kama ni kitabu huwa tunakula kitabu kweli kweli....

Wivu huo au wewe mkweree ni nn?
 
Mtoa mada hii aitwaye 'Blackand white2061' ameitoa hii kwa jazba kubwa
Kwanza ameingia humu jamvini leo 2-1-2013 na ameisha -post doc 3 tangu siku ya leo.
Pengine inaonyesha yeye ni mmoja ya watu walioathirika baada ya tafiti za awali kuto kubaliana na matakwa halisi ya ukodishaji wa majengo ya benki



Tuwekee mabua ya majibu uliyorudishiwa yenye majibu yasiyo na kichwa au mguu ili tuamini, kikubwa ukiweza ondoa jina lako! Pole kwa kupigwa chini ingawa bado nina mashaka mengi na utafiti wako wa kusikia ... kikubwa acha kulalamika kwa vitu ambavyo hauna ushahidi navyo wa kutosha kwani kama CRDB hawataki kupangisha nyumba yako et co we si m.....ga, then unaweza kuifanyia biashara nyingine!:A S angry:
 
Naona unachanganya mambo issue ni ukabila kwenye kupangisha nyumba au kabila kushika nchi? Watanzania tuwe makini jinsi mauaji ya kimbari yanavyoanza. Hayaanzi siku moja ni chuki zisizo na msingi tumesikia nchi inaendeshwa kwa mfumo wa dini fulani sasa tunadema kuna mfumo wa kabila fulani nk. Hoja iwe kuna kukiukwa utaratibu wa tenda. Ila vivle vile ulete ushahidi wa michoro ya nyumba iliyokataliwa kama inakidhi masharti ya benki kuu manake benki hazilendi kuingia gharama za marekebisho. Pili kwani ni crdb pekee inayopanuka si zipo benki nyingine zinapanuka kama exim, diamond etc kote huko ni ukabila? Kumbuka kutokana na maendeleo ya teknolojia haja ys kuwa na physical branch inapungua. Weka kwenye projection za falling rent
 
katiba mpya inakuja pendekezene kuwe na ruhusa ya kubadili kabila na nyie muwe wachaga,
 
wanajamvi kuna ubaguzi wa wazi CRDB kwenye suala la kukodisha nyumba za watu binafsi kwa ajili ya kufungua matawi mapya hususani huku kanda ya ziwa. ndo mana baadhi ya wilaya huku wanatumia mobile atm (yale magari yenye atm). mameneja wao huku kanda ya ziwa wanajitahidi kutafuta nyumba kwa ajili ya matawi, wanaingia makubaliano ya mwanzo na taarifa zinatumwa makao makuu ili waridhie ufungwe mkataba rasmi. chaajabu makao makuu wakiona jina la mmiliki wa nyumba hilielekei kuwa mcha......a(kabila moja maarufu la kaskazn `linalomiliki` hii nchi (huo ni mkakati wa mkurugenzi mkuu wao kutaka kuneemesha watu wa kwao tu) unarudishiwa majibu kwamba haiwezekani kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
iligundulika dec 2012 sababu ya kukataa nyumba nyingi baada ya mpangishaji mmoja kuamua fuatilia ngazi ya mkoa na kupewa jibu la wazi na kweli na meneja.. wewe siyo mcha.............a hkamwe hututapangisha kwako, tunasubiri mwenzetu ajenge ndo tupange,tutaendelea na mobile atm.
huu ubaguzi unapunguza upanuzi wa HII BANK (CRDB) huku kanda ya ziwa kwa sababu hao ndugu zake mkurugenzi mkuu hawana nyumba za kuwapangisha baadhi ya wilaya huku lake zone.
nawasilisha wakuu, kama kawaida kunawatakao anza oh1 umejiunga leo, kwa taarifa yao mimi ni mzoefu humu jamvini,nimefanya hivi kwa sababu ya usalama wangu, nmanake hawa jamaa ndo kila kitu nchi hii.

Wachagga..wachagga..wachagga.....eh...hamchoki jamani? Wacheni wapumue .,wasije wakakabwa....na ndafu kwa kuwasengenya...lol...

Hiyo crdb iliyokuwa imeshakufa...Leo iPo hadi nje...Huko nako majengo ya wachagga?......acheni Chaggaphobia....
 
wanajamvi kuna ubaguzi wa wazi CRDB kwenye suala la kukodisha nyumba za watu binafsi kwa ajili ya kufungua matawi mapya hususani huku kanda ya ziwa. ndo mana baadhi ya wilaya huku wanatumia mobile atm (yale magari yenye atm). mameneja wao huku kanda ya ziwa wanajitahidi kutafuta nyumba kwa ajili ya matawi, wanaingia makubaliano ya mwanzo na taarifa zinatumwa makao makuu ili waridhie ufungwe mkataba rasmi. chaajabu makao makuu wakiona jina la mmiliki wa nyumba hilielekei kuwa mcha......a(kabila moja maarufu la kaskazn `linalomiliki` hii nchi (huo ni mkakati wa mkurugenzi mkuu wao kutaka kuneemesha watu wa kwao tu) unarudishiwa majibu kwamba haiwezekani kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu.
iligundulika dec 2012 sababu ya kukataa nyumba nyingi baada ya mpangishaji mmoja kuamua fuatilia ngazi ya mkoa na kupewa jibu la wazi na kweli na meneja.. wewe siyo mcha.............a hkamwe hututapangisha kwako, tunasubiri mwenzetu ajenge ndo tupange,tutaendelea na mobile atm.
huu ubaguzi unapunguza upanuzi wa HII BANK (CRDB) huku kanda ya ziwa kwa sababu hao ndugu zake mkurugenzi mkuu hawana nyumba za kuwapangisha baadhi ya wilaya huku lake zone.
nawasilisha wakuu, kama kawaida kunawatakao anza oh1 umejiunga leo, kwa taarifa yao mimi ni mzoefu humu jamvini,nimefanya hivi kwa sababu ya usalama wangu, nmanake hawa jamaa ndo kila kitu nchi hii.
acha ukabila wewe.nyie ndo mnaharibu nchi.mara udini mara ukabila.shenzi type.i hate this shit ukabila.WEWE NDO MKABILA MKUBWA WEWE.
 
Hela inafuata hela muzee. Sasa kama Wamarangu wana mihela wasiwekewe tawi wakawekewe Wanyarugusu na vijisenti vyao (Watanzania wengine wana wivu wa kike. source: B.W MKAPA)

Hapo umenena mkuu maana approach ya CRDB na NBC huwa hawafungui tu matawi ovyoovyo mpaka wajihakikishie kwamba kuna mzunguuko wa fedha wa kutosha, kwa tuliobahatika kuzunguuka sehemu mbalimbali utaona kwamba hizi bank hasa CRDB akifungua tawi hasa kwenye wilaya ujue kuna mzunguuko mzuri wa fedha na siku hizi wamebuni utaratibu wa mobile ambao kwa maana nyingine unawasaidia kufanya utafiti kama wajenge au wafungue tawi (huwa wanaanza mara moja kwa wiki baadae wanaongeza na wakiona wateja wanakuja kwa kasi kale ka gari kao kanakuwepo kila siku na mwisho wa siku watajenga tu jengo (nimeona Karatu na Mugumu, serengeti walikuwa wanakuja mara chache kwa wiki mara baada ya kusajiri wateja wa kutosha mobile bank ikawa inakuwepo kila siku)

Angesema kanda ya ziwa ipi maana hizi bank kasoro NMB huwa zikifungua tawi ujue tayari wamefanya tathimini na ndio maana wilaya kama Karatu, Karagwe, Njombe (kabla haijawa mkoa), Kahama, Mafinga (Mufindi) walifungua faster na kuna siku nilipita maeneo ya Mugumu nako nikakuta kuna mobile bank everyday na mwisho wa siku watajenga nako baada ya kuridhika na idadi ya wateja
 
Sio upangishaji nyumba kwa ajili ya kufungua matawi hata kwenye AJIRA pia Wachaga ndio wanapewa kupaumbele kwanza.
Itafanya watu wajilaumu kutokuwa Wachagga sasa.
Unachelewa nini? Siku hizi kuna uchagga wa kuandikishwa... Karibu.

Wachaga ni wa kabila sana ila kwa hili la kuchagua pa kupanga siliamini uzushi tu
Umeona eh? Kunny.a anye kuku, asinye bata bana...

CRDB miaka ya 90. Hakuna hata aliyekuwa akiijua kwanza, ilikuwa ni benki iliyodharaulika sana. Kaja Dk.Kimei kaibadilisha sana na kuifanya kuwa benki inayojiendesha kwa faida na kila mtu hapa ni shahidi. Inavyoelekea mtoa uzi ameandika lakini taarifa zake hajazifanyia utafiti. Kweli inawezekana Dk Kimei akawa mchaga lakini akaajiriwa mchaga kwa sifa zake kulingana na mahitaji watu wakaanza kuzusha. Wapo waliomzushia huyu mzee na kashfa kadha wa kadha za rushwa za ngono. Naona hizo zimekosa mashiko wanakuja na za ukabila. Mnyonge mnyongeni...Haki yake mpeni. Bila Dk Kimei CRDB ilikuwa imeshaonekana kimeo tu kwa watanzania enzi za Mwinyi.
Need I say more?

There is no point of view here ni chuki binafsi tu.mtoa mada chekecha akili yako iendana na mfumo wa kiDIGITALI zaidi!!!
Msamehe bado yuko kwenye analojia,.

Na ndio kabila linaloongoza kwa wizi wa mitihani na upendeleo kuanzia secondary hadi vyuo vikuu. Hasa udaktari muhimbili. Ninao mfano hai
Heheheheh...: (Watanzania wengine wana wivu wa kike... Source: B.W Mkapa)

Hapana bana kuna watu wa makabila mengine huwa asilimia kubwa hawapo serious na issue za kazi ukiona kabila moja linapendelewa alafu hiyo taasisi inafanikiwa basi ujue jamaa wanamoyo wa kujituma.

Hakuna muujiza crdb wanapiga kazi na kila mtu anaona mengine ni matokeo tu ya kibinadamu na utashi wa mtu mmoja mmoja atakavyo elewa.

Tuache kulalamika.
Usipo chafuka utajifunzaje?... waambie watumie OMO.

Nijuavyo Mkurugenzi Mkuu wa CRDB ni MPARE....!!
Hahahahahaha! Umeona eh?

Mkuu hata maeneo ya kusini baadhi ya maduka huwezi ajiliwa kama wewe si muslim,vinginevyo ubadili dini! Ubaguzi wa ukabila na dini upo tanzania!
Kama huwezi pigana nao, jiunge nao.

Mimi huwa nakubari ukweli yaani kama mtu yoyote kafanya vizuri huwa namsifu yaani nkiangalia crdb, ipp,azzam, wizara ya nishati na magufuli ni watu wanaofanya vizuri sana I wish mtu kama Dr Kimei au Mengi angepewa nchi awe president kwa sababu zinazoonekana angefanya mambo makubwa mmno.
Mwenye macho haambiwi tazama.....

Kafieni mbali na ubaguzi wenu!poor you!
:becky::becky::becky::becky::becky:

Paka Jimy, Generally speaking trend ya tribalism/nepotism is very evident in Tanzanian institutions! Nenda kwenye makampuni yetu, just a simple survey, kama boss ni mhaya, utakuta a considerable number of hayas, likewise nenda kwenye boss mchaga, the same picture will be reflected, mnyakyusa, mpare, etc. Ilisemwa ya TRA, wakasema kama wamesoma kwa nini wasipewe, lakini kwa sasa hakuna kabila ambalo halina wasomi wa ku-balance nafasi za ajira ili watu wasianze ku-speculated breeding ya tribalism. By the way habari za huko! karibu tena.
Nikifananishe na nini kizazi hiki? Maana Yohana mbatizaji amekuja hali wala hanywi wakasema tazama yu ana pepo, lakini mwana wa adamu amekuja anakula na kunywa wakasema tazama mlafi huyu tena mlevi rafiki yake watoza ushuru na wadhambi......

tusimpuuze sana mtoa mada japokuwa ameeleza hili kwa jazba au ameegemea zaidi kwenye ukabila bila kuangalia sababu zingine.......ila tatizo lipo kweli na kuna sehemu zina migogoro mingi ya namna hiyo na matawi aidha yanashindwa kufunguliwa au yanachukua muda mrefu sana kufunguliwa.amesahau kusema 10% ambayo iko mbele kuliko uchaga
nakupa mfano wa sehemu zenye migogoro ya hivyo......KARIAKOO BRANCH, ZANZIBAR BRANCH, KYELA, IFAKARA, KASUMULO, TUNDUMA, MAFINGA, KARATU nyingine zinahifadhiwa kwa ss....hizo zote ni kwa sababu ya aidha 10% au undugu na kujuana sipendi kusema ukabila kwa kuwa 10% ina nguvu kuliko ukabila
Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, binadamu ni nani hata umwangalie?

Nenda branch kahama mjini kuanzia mfagiaji, dereva etc. Wachaga tupu.
Unakaribishwa Marangu Moshi. Nafasi bado ziko wazi.....

Lete ushahidi. Otherwise, itabakia kuwa porojo.
Mbwa kazi yake kubwa ni kubweka..... mwache abweke analipwa kwa kazi hiyo....

Nenda muhimbili ukaone madokta wanavyowabeba wanafunzi wa kichaga wa medicine au chuo cha ifm
Madaktari wa Muhimbili wanatibu bimadamu, siyo panzi. Kama unafikiri wanatibu panzi, kafanye homework yako vizuri then upunguze wivu wa kike. Tutagoma kukutibu ufe na minyoo yako, nyambaffff....

Jamani msiwe wakabila hivyo ... msisahau, wachaga wapo wa aina nyingi; Wamachame, Warombo, Wamarangu, Wakibosho, Wauru .... tuambie, we unazungumzia wachaga gani??!!
Mwisho wa siku wote ni WACHAGGA. Mbege inahuuuuu...

If you can't defeat them..join them.
Amen, Hallelluyah!!

Labda kumsaidia mtoa mada jaribu kudadisi mabenki mengine makubwa hapa tz kama NMB na NBC wanafanyaje kwenye kukodi nyumba za kufungua matawi yao na ATM zao. Usiwalaumu sana CRDB inawezekana ndo mtindo uliopo au hata chunguza makampuni kama vodacom na tigo na mengineyo wanapotaka kufungua matawi mapya mikoani na wilayani wanafanyaje?
Isijekuwa tuu huyo mtu aliambiwa na mtu kopa jenga nyumba au gorofa then CRDB watakuja kukodi ili wafungue tawi nawe utakuwa umetoka as huo ni uhakika wa kodi sasa jengo limeisha dili limekata ndo watu huwa wanadondoka na kufa au hata kuuana hv hv.
Nashukuru umetumia muda wako kumwelimisha juha. Elimu saa hizi unaipata hata kwa ku goggle.....

Join Date : 2nd January 2013
Posts : 5
Rep Power : 302
Likes Received0
Likes Given0
huyu si ni mpare tu na lao ni moja na chagga
Hheheheheheh..... watize avaeeeee!.... Kama ni mpare na asamehewe, alikuwa kazini wajameni.

acheni ubaguzi nyny kizzi kisicho jituma kazi yenu ni u baguzi fuul time utakuja kumbagua mkeo kuwa si wa ukoo wako nyambafu:target::target::target::target::target::target::target::target::target::target::target:
Amina, tawile mkuu!:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:

Hahahahahah!mbona unaongeza mgogoro kwa wàle wlioaminishwa vibaya?Eti Kimei au Mengi unapendekeza mmoja wao awe Rais?Naamini wanaweza sio wao tu hata Mbowe,Ndesamburo,Slaa,Lowassa,Swai,Mollel na wengine wanaweza ila kuna watu wanachuki na watu wakanda hiyo hata tamko waliwahi kutoa kuwa hatatoka Rais toka kanda hiyo ni ubaguzi tu tena wanasiasa uchwara ndio wamepanda mbegu hii mbaya ya ubaguzi.TUWAPUUZE.
Kudadadadadadadadadadadadadeki!!

toa ushahidi, ninacho kijua mm wachaga wanajituma sana hivyo inapofikia mahala mfano kwenye masomo na maisha wengine wanapoona haiwezekani na mchaga kwa juhudi akiweza wanahisi kapendelewa!
:majani7::majani7::majani7::majani7:

Si kweli kwamba bila Kimei CRDB isingefanikiwa.Wapo watanzania wengi wenye uwezo wa kumshinda huyo jamaa yako unayemsifia tena ukizingatia wengine ni vijana.Kwa utoaji wa huduma hasa kwa Corporate customers hao jamaa hawamudu kabisa wao wanaweza kuhudumia wateja wadogo wadogo.Fanya utafiti usikimbilie kukanusha mada tu.
Watanzania wengi wana wivu wa kike (Source: Ben W. Mkapa):nimekataa:nimekataa:nimekataa:nimekataa

Mleta uzi pole, jipange tena, hiyo ndo biashara!
wana jf
Mtoa mada apewe, benefit of doubt, naona wengi mna tafuta kajiunga lini, badala ya kutafiti ukweli ndani ya ujumbe wake.
1. hawezi kuwa ameropoka tu, ila fikiria mfanya biashara umepewa ahadi na Branch manager kuwa utapata hiyo tenda ghafla inayeyuka, unadadisi hilo linakuwa jibu ...wewe siyo mch...ga, lazima utapata ghadhabu n.k
2. Binafsi nina ushahidi wa upendeleo wa ukabila kwenye benki ile, hasa kwenye kuajiriwa na pia kupata promotions!!
3. Kuwepo kwa vyeo vya Ch..pi ndani ya benki hiyo ni jambo lenye kueleweka, hasa kwa waliomo ndani wanajua.
Mwisho, siyo Wachaga wachache, mfano Dr Kimei na kundi lake wakiwa na upendeleo ndo wachaga wote, siyo kweli, LAKINI ukweli ndani ya CRDB uchaga upo tena mkubwa. siyo wakutafuta wala kuuliza, upo wazi, ukifatiwa na upendeleo. Hivyo wachaga msijisikie vibaya na kuanza kumtetea kisa mch..ga mwnzenu ndo anafanya hivyo.
Dr Kimei amekaa pale muda mwingi inatosha, wengine hapa wanamsifia ila kiukweli uwezo wake umeanzaku-diminish on creating new things, he has to step down vingine hizi kashafa zitamtia doa na kuharibu yote hata mazuri aliyo fanya. Kwa wanaojua jua CRDB image ya 1997-2007 watakubaliana na mimi wakilinganisha na hii ya 2010
0.5%
hayaaaa.... huyu nae? Hapa inazungumziwa wachagga au kuvuana vyupi? Mitanzania bana khaaa!

Na hapo kwa blue tukisema aliyosema Nkapa kuhusu wivu wa kike tutakuwa tumekosea? Libenki lishavuka mipaka mpaka warundi wanapewa branch ndio uwezo kudiminish ukilinganisha na 1997 benki ikipewa ruzuku na serikali??

Miafrika ndivyo Tulivyo : Source Nyani Ngabu.
 
Mbona kazi zinazohitaji akili nyingi mafao na mazingira duni...zimejaa..wachaga..hamlalamiki....
 
yaani wewe hujui kuwa marangu ni mji wa kibiashara?hujui marangu ndo njia ambayo watalii wanafanya njia ya kupandia mlima?hujui ndo tunapakana au ni njia rahisi ya kimangiliano kati ya kenya na kilimanjaro?kifupi crdb wameona mbali kwa kuweza kuteka soko sehemu la kibiashara au kiuchumi maana wanapata wateja wengi zaidi.acheni majungu navfanyeni kazi kwa bidii

una uhakika na unachosema????je wanapata faida pale...............???
kwa taarifa yako branch ambazo hazifanyi vizuri ndani ya benk ya crdb ni Marangu,Tarime na Hai
 
una uhakika na unachosema????je wanapata faida pale...............???
kwa taarifa yako branch ambazo hazifanyi vizuri ndani ya benk ya crdb ni Marangu,Tarime na Hai

Kwa benki Zenye matawii Mengi Kama crdb au nmb ....huwezi kuzuia kuwa na matawi machache yasiyopata faida...Kama opportunity cost au business strategy..,inawezekana kabisa marangu, tarime au hai hayapati faida lakini yana support wateja wakubwa ie TRA,Tanapa etc...ambao wanaingizia benki faida kubwa sana lakini pia yanahitaji benki inayoweza kuwa na mtandaoo mpana Kila mahala
 
Badili kabila ili nawe ule keki ya nji hii.fomu za kujiunga na kabila la wachaga zinapatikana kwenye ofisi zote za crdb
 
una uhakika na unachosema????je wanapata faida pale...............???
kwa taarifa yako branch ambazo hazifanyi vizuri ndani ya benk ya crdb ni Marangu,Tarime na Hai
Tarime.....Acha kuleta taarifa za hovyo bila kutafiti.
 
kwa hapa Moshi mjini kuna bank zaidi ya 18 unataka kusema Wakurugenzi wake wote ni Wachaga au?
 
wewe unaonekana kama mwalimu wa open universtity!!! manake hayo maswali yako hapo chini!!teh, natania tu.
ndugu najua kanda ya ziwa ni kubwa, sijataja wilaya zinazohusika na ubaguzi huo kwa sababu maalum, ninalinda hadhi ya waliotoswa nyumba zao kuchukuliwa. ninajua watu wazima wenye nafasi za juu serikalini watanielewa ninachomaanisha. kumbuka waandishi wa habari walizuiwa kuandika kesi ya rais mstaafu mwinyi kumdai mtu kodi ya pango. haya mmbo yana matokeo yke, vijana wa leo hawatanielewa.
huyo maneja wa mkoa husika alimchana live kozi naye alienda kibosibosi. binafsi lengo lilikuwa kufikisha huu ujumbe sehemu muafaka kupitia jf, natumai umefika. kukiwa na impact ya wazi ntawapa mrejesho.
watumishi wa vyeo vya kati CRDB watakuwa wanajua ninachoongelea hapa, ili wengine wanaopenda changia kila topic hawajui ninachomaanisha.
huo ubaguzi upo sana, na huko lake zone kunamgogoro huo, kama hayakuhusu soma then tulia.
 
Back
Top Bottom