sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,249
- 4,537
Salaam Watanzania!
Nataka nishee na nyinyi kidogo kuhusu ili shirika la kimataifa linaloitwa UNICEF.
Nilibahatika kupata nafasi ya kuwa volunteer wa UNICEF katika campaign ya kupambana na ugonjwa wa Covid19 na baadae kampeni ikaamia kwenye haki ya watoto.
Kwenye hii kampeni tulitambulika karma MaChampioni wa haki za watoto na ni kampeni inayotumia mitandao ya kijamii.
Mwanzo wakati sijafanya kazi na awa watu, picha niliyokuwa nayo ni ya viwango vya juu sana. Niliamini kufanya kazi na UNICEF hata kwa kujitolea kutanisaidia kunijenga na kunikuza professionally na kutanipa uwanja wa kusaidia jamii.
Lakini imekuwa ni tofauti sana na matarajio yangu. Nimekutana na ubabaishaji ambao sijawai uona tangu nimeanza kufanya kazi za kujitolea.
Kumekuwa na uongo mwingi sana. Hakuna chochote kinachofanyika kutusaidia kukuza career zetu. Kampeni ni usanii mtupu hakuna tunachofanya huko mitandaoni lakini mwisho wa siku tunafanya vikao zoom au Microsoft kupongezana kwa kazi nzuri ya kupigania haki za watoto. Kwa zaidi ya miezi sita tumekuwa tuki-struggle kupata kitu cha kufanya yani walau tuwe na kitu cha kuonesha kwamba hichi ndio tunafanya kwenye kampeni lakini mambo yapo ndivyo sivyo, hakuna support wala nguvu kutoka UNICEF. Ni kama tunatumiwa fulani.
Hata leo ukiulizwa kwenye hiyo kampeni ulikuwa unafanya nini hujui useme nini. Lakini cha ajabu mmoja kati ya viongozi wa hii kampeni (toka UNICEF Hq) amepata tunzo ya kimataifa, reference ikiwa hii kampeni.
Tuliaidiwa kupata walau bundle za internet kila mwezi lakini kila siku ni hadithi tu na usanii wa maneno hakuna tunachopata.
Tulipewa ahadi ya kutambuliwa kwa kupewa certificate lakini hata hizo nazo ni hadithi tu na usanii.
Kampeni ilikuwa ni ya miezi 6 kuanzia Mei - November 2020 lakini mpaka leo hatujui kama kampeni inaendelea au ilishakwisha, very unprofessional yani.
Wito wangu kwa sisi vijana tunaopambana tusibabaishwe na majina makubwa ya baadhi ya mashirika, wengine ni matapeli tu. Kuna watu wapo umo kututumia kufikisha malengo yao ya kikazi au wapate pesa kwa donors so inabidi tuwe makini.
Nataka nishee na nyinyi kidogo kuhusu ili shirika la kimataifa linaloitwa UNICEF.
Nilibahatika kupata nafasi ya kuwa volunteer wa UNICEF katika campaign ya kupambana na ugonjwa wa Covid19 na baadae kampeni ikaamia kwenye haki ya watoto.
Kwenye hii kampeni tulitambulika karma MaChampioni wa haki za watoto na ni kampeni inayotumia mitandao ya kijamii.
Mwanzo wakati sijafanya kazi na awa watu, picha niliyokuwa nayo ni ya viwango vya juu sana. Niliamini kufanya kazi na UNICEF hata kwa kujitolea kutanisaidia kunijenga na kunikuza professionally na kutanipa uwanja wa kusaidia jamii.
Lakini imekuwa ni tofauti sana na matarajio yangu. Nimekutana na ubabaishaji ambao sijawai uona tangu nimeanza kufanya kazi za kujitolea.
Kumekuwa na uongo mwingi sana. Hakuna chochote kinachofanyika kutusaidia kukuza career zetu. Kampeni ni usanii mtupu hakuna tunachofanya huko mitandaoni lakini mwisho wa siku tunafanya vikao zoom au Microsoft kupongezana kwa kazi nzuri ya kupigania haki za watoto. Kwa zaidi ya miezi sita tumekuwa tuki-struggle kupata kitu cha kufanya yani walau tuwe na kitu cha kuonesha kwamba hichi ndio tunafanya kwenye kampeni lakini mambo yapo ndivyo sivyo, hakuna support wala nguvu kutoka UNICEF. Ni kama tunatumiwa fulani.
Hata leo ukiulizwa kwenye hiyo kampeni ulikuwa unafanya nini hujui useme nini. Lakini cha ajabu mmoja kati ya viongozi wa hii kampeni (toka UNICEF Hq) amepata tunzo ya kimataifa, reference ikiwa hii kampeni.
Tuliaidiwa kupata walau bundle za internet kila mwezi lakini kila siku ni hadithi tu na usanii wa maneno hakuna tunachopata.
Tulipewa ahadi ya kutambuliwa kwa kupewa certificate lakini hata hizo nazo ni hadithi tu na usanii.
Kampeni ilikuwa ni ya miezi 6 kuanzia Mei - November 2020 lakini mpaka leo hatujui kama kampeni inaendelea au ilishakwisha, very unprofessional yani.
Wito wangu kwa sisi vijana tunaopambana tusibabaishwe na majina makubwa ya baadhi ya mashirika, wengine ni matapeli tu. Kuna watu wapo umo kututumia kufikisha malengo yao ya kikazi au wapate pesa kwa donors so inabidi tuwe makini.