TCU wameto tangazo la udahili kuanza lakini mpaka leo kuna baadhi ya LINK azifunguki. kwa mfano REGISTER LINK ya diploma ya ualimu,hili ni tatizo la siasa kuangilia kila kitu sasa na wenyewe waziuzuru hili kupunguza ubabaishaji huu mapama kwa hata mawasiliano yao ya simu hayapatikani.TZ ubabaishaji mpaka lini?