Hiyo simu toleo la zamani sijui kama spare bado wanatengeneza? Naiamini phantom miniZ ilipigwa fimbo na ndugai bado ikaendelea kurecord matukio kama kawaida na ikaserve yenyewe.
Hiyo simu toleo la zamani sijui kama spare bado wanatengeneza? Naiamini phantom miniZ ilipigwa fimbo na ndugai bado ikaendelea kurecord matukio kama kawaida na ikaserve yenyewe.
Acheni kukandia sana mchina wadau,mimi nina jamaa yangu alikuwa na Nokia Lumia 750 katumia 2 weeks tena alinunua huko huko samora,ilianza tatizo hilo la kuwaka na kuzima akawarudishia wakampa maelezo hayohayo ya kuwa imekufa hardware,baada ya kushindikana kupona wakamrudishia nusu ya hela alio nunulia.