kunze
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 398
- 469
Wazee wa tafakuri ya kina,napenda kuleta mada hii tuidadavue kuhusiana na waandishi wetu wa habari na uandishi wao.
Kwa mfano gazeti hili sijui ndo limekataa kumuemzi aliyekuwa mmiliki wake maana hapa wameshindwa kutujulisha kwa hoja Kama
1- huyo mtu alikuwa hasimamishi?
2- je,ninufahari kusimamishwa?
3-je,anastahili kusimamisha? etc
Nawasilisha
Kwa mfano gazeti hili sijui ndo limekataa kumuemzi aliyekuwa mmiliki wake maana hapa wameshindwa kutujulisha kwa hoja Kama
1- huyo mtu alikuwa hasimamishi?
2- je,ninufahari kusimamishwa?
3-je,anastahili kusimamisha? etc
Nawasilisha