Uandishi huu ni balaa

Uandishi huu ni balaa

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
2,194
Reaction score
4,802
WhatsApp Image 2017-01-12 at 10.32.09 PM.jpeg
 
Kiswahili kigumu sana. Walimu wa siku hizi wametokea chuo kufaulu kwa kukariri.
 
Hahahaha duu lakini kaeleweka ila wewe umemfanyia huuni tu
Tumemuelewa kwa vile sisi watanzania kiswahili ndio lugha yetu,lakini kwa yule ambae kiswahili ni lugha ya kujifunza darasani basi hapo hapati hata neno moja,kwa mfano wageni kutoka nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom