Uanaume shida sana wakuu

Uanaume shida sana wakuu

Saint Murano

Member
Joined
Mar 31, 2019
Posts
97
Reaction score
264
Kwanza najua kabisa ukishazaliwa mwanaume jua hakuna wa kukuonea huruma, kwahiyo pambana hadi mwisho!

Ila Kuna pale mishe zote zinakwama kila unapogusa Ngoma ngumu.

DUH hapa nawaza Leo siku itaishaje bila hata mia ya kula? Je, kesho? Kesho kutwa kichwa kinawaka moto stress Ni nyingi.

Wakuu mwenye connection ya kazi tusaidiane tufanye nipate hata ya hata ya kula leo tu.
 
Mnachagua kazi tu. Kuna mapori lukuki nchini mwetu yako yako tu kibwererebwerere nenda huko ukayafyeke Uza kuni na ujikite kwenye Kilimo
 
Mnachagua kazi tu. Kuna lukuki nchini mwetu yako yako tu kibwererebwerere nenda huko ukayafyeke Uza kuni na ujikite kwenye Kilimo
Ukiongea tu kilimo ,bhasi umelima umepanda, umevuna, na kupata hela , hakuna kinachohitajika zaidi ya hilo neno kalime? Ukisema hivyo tu kila kitu fresh
 
Ukiongea tu kilimo ,bhasi umelima umepanda, umevuna, na kupata hela , hakuna kinachohitajika zaidi ya hilo neno kalime? Ukisema hivyo tu kila kitu fresh
Dogo nimekupa ushauri mzuri bado unabaki kuleta porojo humu. Kumbuka mtaji wako ni nguvu zako mwenyewe.

Zama chaka ukachangamkie fursa huko acha kulialia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom