Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Hebu njooni kwanza huku Billie's Pub Masaki, tunywe mvinyo kisha baadae ndipo niunde kamati yenu.
Hivi unajua nakusubiri hapa NyamaChabiz?
Wakuu ruttashobolwa na mzee wangu wa siku nyingi Asprin kamati tukutane hapo alipo Madame B ni muhimu wakuu
Afu unaweza kunipa sababu tatu muhimu za kunichomesha mahindi jana? Fairway Holaaa! Chabes Holaaa! Hivi unanuionaje lakini?Mkuu,
haiwezekani unipange kamati moja na mupenz wangu ruttashobolwa.
Asprin atakuwa hayuko free kunichokoza.
Nibadilishie unipe Erickb52 au mwanafunz wangu Kaizer.
Afu unaweza kunipa sababu tatu muhimu za kunichomesha mahindi jana? Fairway Holaaa! Chabes Holaaa! Hivi unanuionaje lakini?