fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,200
- 20,221
Alafu ngoma kimya kimya bila watanzania kujulishwa kuwa TANZ01 anavuka mipaka ya nchi yake.... mara baada ya Wakili Mwabukusi na timu yake kuhitimisha hoja zao Mahakama Kuu Mbeya; presidential jet imeonekana ikichana mawingu fasta na kutua Dubai thereafter the Kingdom of Saudi Arabia! Haijafahamika mara moja ni kwanini!