Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 746
Mleta maada unaonekana wazi huna hoja leo na cdm watawafanya muwe vichaa.
Sasa kati ya mleta mada na wewe nani hana hoja?
Mleta maada unaonekana wazi huna hoja leo na cdm watawafanya muwe vichaa.
Ni vyema kuwa makini na hizi propaganda kuna ukweli unaotaka kupindishwa hapo. Maana UAMSHO wanasema hawajachoma makanisa ila vijana wa chama fulani na wanaandaa orodha ya majina ili kuwasilisha polisi. Sasa Wtz tusipokuwa makini ukweli wote utapindishwa na mwisho wa siku ionekane ni vijana wa CDM walichoma makanisa. Huko ndiko tunakotaka kuaminishwa. Ni vizuri kuwa makini.
Mleta maada unaonekana wazi huna hoja leo na cdm watawafanya muwe vichaa.
Matatizo ya wazanzibar yalianza miaka nenda rudi yaani pemba na unguja watanganyika tunajichanganya.
1. Uchomaji wa makanisa haujanza leo ni muda kidogo ulinza - UBAGUZI WA DINI wala haihitaji tochi kuiona hiyo.
2. Uchomaji wa mabaa umefanyika sana na wal si muda mrefu- UBAGUZI WA DINI wala haihitaji tochi kuiona hiyo
3. Maduka ya wacchaga na mabucha ya Ngruwe vimechomwa -UBAGUZI WA DINI NA WABARA haihitaji tochi kuiona hiyo.
4. Timu na klabu za michezo marufuku udhamini wa pombe - TAIFA LA KIDINI
Kama swala ni madai ya muugano KWA NINI 1, 2, 3 NA INNE VIHUSIKE HAPO JUU NAOMBA UFAFANUZI KWA YEYOTE.
Muungano hauhusiki na nguruwe, makanisa, udhamini wa pombe, maduka ya wabara na wabara kuhama zanzibar ila NI UBAGUZI WA DINI.
chadema ikijiingiza kwenye hiki kiini macho imejimaliza. Chambo cha mvuvi ni kwa samaki siye na akili sidhani kama CHADEMA wajinga kiasi hicho.
CHADEMA
Chama cha anachi wote wa dini na rangi zote na wasio na dini pia, viongozi wake ni mchanganyiko wa dini kuu mbili ndio maana hata professor Safari akatoka CAFU kaingia chadema.
Chama cha vijana na wazee na kukubalika sehemu kubwa ya tanzania
Chama pekee ambacho wanyonge wa inchi Waislam kwa wakristu wanatarajia kitawakomboa na lindi la umaskini katika nyanja zote
- Afya
- Elimu
- Haki (mahakana na sheria, sasahivi mahakama zipo kuhukumu wasionacho tu kama unakitu thubutu afungwe nani ni masikini tu.
- Technolojia
nk.
Kwa mtoa maada huwezi jiunga na wanauamusho ambao wao wanafanya siasa ndani ya kivuli cha kidini. Kama una macho na masikio basi improve your ratial reciprocating thinking capacity in analysing and adjustment for clear vision and focus.
Mbona tangu uhalifu uanze miaka ya hapo nyuma walikaa kimya.
Nani alichoma mabaa ccm eti au nani, kama ccm mbona huku tanganyika hawachomi?
Nani anachoma makanisa ccm pia lakini mbona huku tanganyika hawachomi????
Nani kanzuia ufadhili wa makampuni ya pombe huko zanzibar ccm au naka ndiwo mbona huku tanganyika hawazuii???
Nani anchoma biblia ccm au chadema huko zenji mbona huku Taganyika hawachomi??
TUACHE KUPOTOSHA UMA WA WATAZANIA (WAKRITU KWA WAISLAMU) KINACHOENDELEA ZANZIBAR NI UBAGUZI
1. WAKIDINI
2. KUWABAGUWA WATANGANYIKA
TAFAKALI CHUKUWA HATUA KUIKOA TANZANIA -- UKUBALI UKWELI KISHA CHUKUA HATUA KUREKEBESHA TULIPOJIWAA ILI TUISHI SOTE KWA AMANI WAPAGANI, WAISLAM NA WAKRISTU.
MWALIMU NYERERE ALIWEZA KUDHIBITI KWA SABABU HAKUWA MNAFIKI ALIONGEA UKWELI NA KUUSIMAMIA. SASAHIVI TUNAWANAFIKI WATUPU NCHI INAYUMBA.
ZOMBA
1.Kuhusu pombe,Unasema pombe hata ulaya imezuiliwa ukitoa mfano uk. Nani mfadhili wa chmpion's leageue (henken beer) acha kupotosha watu na watu wadini zote wanshiriki kwenye klab bingwa ulaya zanziba hamtaki hat seregiti iwadhamini.
2. Hebu tuambie na tuelimike kwa tanzania yote Bara na visiwani imechomwa misikiti mingapi? (mmechoma makanisa 26)
3Mabucha ya nguruwe. kucma moto ndiyo huku yake, na anyepasa kusimamia ni mahaka au polisi kwa amri ya mahakama tuambie wanaochoma wamepata amri ya mahakama ipi na hakimu au jaji gani alito hukumu hiyo? (orodhosha lengo tuamini unacho kisema)
3. Dini zinabaguana je ni kwa kuchoma moto makanisa na mali watu, si hapa tanzania isipokuwa tanzania visiwani toa mifano inayoweza kubalika kwa ulinganifu wa makanisa 26 yaliyochomwa.
4. Tueleze umesikia huku tanganyika wapemba au waunguja wananyanyaswa, kubaguliwa au kufukuzwa? tupe mifano niwapi??
Kama ccm au chadema wanachoma makanisa huko mbona huku bara hawachomi?? tushawishi tukukubali kwamba sio ubaguzi wa dini.
Juzi nilileta mada yenye kichwa cha habari "M4C Zanzibar" nyuzi ilisema hivi:
Wengine wakanijibu bila kufikiri, kama hivi:
Leo kwa macho na masikio yangu kupitia taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku huu, nimemsikia Sheikh Farid wa Uamsho Zanzibar akiirudia kauli mbiu ya CHADEMA zaidi ya mara moja "mpaka kieleweke". Hakuna ataebisha kuwa huo ni msemo uliozoeleka katika uongozi na kila kada na mnazi wa CHADEMA.
Nawapongeza CHADEMA kwa kuwaamsha Uamsho kudai haki zao na ningependelea ushirikiano huo uzidi na kama Uamsho wanavyoiunga mkono CHADEMA katika harakati zao kwa kutumia kauli mbiu ya CHADEMA kwenye harakati zao ni wakati muafaka kwa CHADEMA kuitumia fursa hii na kuungana na Uamsho Zanzibar wasaidiane katika M4C, inaonesha wazi kuwa Uamsho Zanzibar na CHADEMA wana uhusiano usio rasmi na yote ni katika kutafuta mabadiliko ya ukweli "Change".
Hongera CHADEMA, hongera Uamsho Zanzibar.
Juzi nilileta mada yenye kichwa cha habari "M4C Zanzibar" nyuzi ilisema hivi:
Wengine wakanijibu bila kufikiri, kama hivi:
Leo kwa macho na masikio yangu kupitia taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku huu, nimemsikia Sheikh Farid wa Uamsho Zanzibar akiirudia kauli mbiu ya CHADEMA zaidi ya mara moja "mpaka kieleweke". Hakuna ataebisha kuwa huo ni msemo uliozoeleka katika uongozi na kila kada na mnazi wa CHADEMA.
Nawapongeza CHADEMA kwa kuwaamsha Uamsho kudai haki zao na ningependelea ushirikiano huo uzidi na kama Uamsho wanavyoiunga mkono CHADEMA katika harakati zao kwa kutumia kauli mbiu ya CHADEMA kwenye harakati zao ni wakati muafaka kwa CHADEMA kuitumia fursa hii na kuungana na Uamsho Zanzibar wasaidiane katika M4C, inaonesha wazi kuwa Uamsho Zanzibar na CHADEMA wana uhusiano usio rasmi na yote ni katika kutafuta mabadiliko ya ukweli "Change".
Hongera CHADEMA, hongera Uamsho Zanzibar.
mimi binafsi siwashauri CHADEMA kuchukua ushauri huu kwani umekaa kimtego zaidi,kwa mtu mwenye akili timamu autazame kwa jicho la tatu,historia inaonesha CUF ilizushiwa kuleta mapanga ili wayatumie kuchinjia watu,pia Lyatonga kusingiziwa kuzaa na mama yule alievua nguo zote akaonesha wakwelima zake nyeti ili kumponza lyatonga kwani alikuwa moto kwelikweli,kwahayo machache inatosha kusema kuwa ushauri wako uko kiushushu zaidi acheni hizo,kwani hatuhitaji CHADEMA Ife kijinga hivi.POLE SANA.CHADEMA hizi ni nasaha njema kabisa kwenu, mkitaka zifateni msipotaka ziacheni.
1) Hakuna ataekataa kuwa CHADEMA kina kila shutuma ya kuwa ni wadini hawaupendi Uislaam, waichukuwe fursa hii ya kuungana mkono na Uamsho ili kufifirisha shutuma hizo.
2) Hoja ya kuvunjwa Muungano haizungumziki kisheria, kinachoweza kuzungumzwa ni Kuuboresha Muungano. CHADEMA watazungumza na nani kuhusu hilo kwa upande wa Zanzibar? njia rahisi na mbadala ni Uamsho.
3) Tundu Lissu, jana katika kumsikiliza ITV kabadili "chords" ghafla, Alianza kwa (C sharp) kusema hauzungumziki, alipokumbushwa na Juma (Mchangiaji aliyevaa koti la kijani kibichi) kuwa Muungano unazungumzika lakini sio kuuvunja Muungano. . Akakiri kuwa unazungumzika ( A flat) kuboreshwa lakini Jee, wale wasiyeutaka? Sasa ni nani asiyeutaka Muungano? turufu yake ni Uamsho kwa upande wa Zanzibar.