Uamsho na Kauli Mbiu ya CHADEMA

zomba

JF-Expert Member
Nov 27, 2007
17,240
3,910
Juzi nilileta mada yenye kichwa cha habari "M4C Zanzibar" nyuzi ilisema hivi:

Kwa heshima na taadhima, tunaomba uongozi wa CHADEMA usisahau kupeleka mkutano wa M4C Zanzibar haraka iwezekanavyo, tena tunaomba sana Mheshimiwa Tundu Lissu apewe muda mrefu wa kuongea atapokuwa huko. Inaonesha kuwa CHADEMA imewaamsha Wazanzibari kutokea Jangwani ni vyema wakafika huko "LIVE".

Wengine wakanijibu bila kufikiri, kama hivi:

kweli system at work..yaani linalokuja mdomoni tu unalitema ..mkutano wa jangwani na kuchomwa makanisa unajaribu kuunganishaje dot?...ile mihadhara yote ya uamsho hukuiona ?? nenda youtube kuna clip zote na zile za mfumo kristo

Leo kwa macho na masikio yangu kupitia taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku huu, nimemsikia Sheikh Farid wa Uamsho Zanzibar akiirudia kauli mbiu ya CHADEMA zaidi ya mara moja "mpaka kieleweke". Hakuna ataebisha kuwa huo ni msemo uliozoeleka katika uongozi na kila kada na mnazi wa CHADEMA.

Nawapongeza CHADEMA kwa kuwaamsha Uamsho kudai haki zao na ningependelea ushirikiano huo uzidi na kama Uamsho wanavyoiunga mkono CHADEMA katika harakati zao kwa kutumia kauli mbiu ya CHADEMA kwenye harakati zao ni wakati muafaka kwa CHADEMA kuitumia fursa hii na kuungana na Uamsho Zanzibar wasaidiane katika M4C, inaonesha wazi kuwa Uamsho Zanzibar na CHADEMA wana uhusiano usio rasmi na yote ni katika kutafuta mabadiliko ya ukweli "Change".

Hongera CHADEMA, hongera Uamsho Zanzibar.
 
Hata mimi nimeshuhudia kwa macho yangu na kusikia kwa masikio yangu yule amiri wa muamsho akisema wataendelea kukomaa na muungano hadi kieleweke.wasamehe waliokutusi
 
Duuuu! Tatizo mkuu kuungana na hao materorist hilo swala linaweza kurisk chama, pia tatizo hao uamsho hizo harakati walikosea kuchoma makanisa so na endapo CDM ikwaunga mkono tayar picha mbaya itajengeka kwa jamii so we should" let them eat them"
pia kauli ya mpaka kieleweke naona watakuwa wamcopy kutoka CDM but sio mbaya kama wanaitumia ktk ukombozi.
 
hakuna haja ya kuungana nao maana agenda ya chadema ni kulikomboa taifa na agenda ya uamsho ni kuiua tanzania, nadhani chadema ina taratibu zake na ipo kuwaunganisha watanzania kudai haki na si kuwagawa watanzania kamwe hatuwezi kushirikiana nao.
 
Hata mimi nimeshuhudia kwa macho yangu na kusikia kwa masikio yangu yule amiri wa muamsho akisema wataendelea kukomaa na muungano hadi kieleweke.wasamehe waliokutusi

Mkuu mi naona huyo shehk farid ajiandae kuchukua jimbo 2015 maana ni kamanda na mpambanaji mzuri sema udini ndo unakuwa kikwazo kwake but all in all huyo kamanda wa makka anafaa sana na sipati picha angekuwa CHADEMA alafu akutane na vichwa lema na lissu si ndio pangechimbika ka bisa na ccm ingekosa mlango wa kutokea hasa kwenye bunge la bajeti.
 
mkubwa!unachosema ni kweli,Uamsho wanasema wao hoja yao ni muungano,walipoanza kufanikiwa ktk hoja yao serikal inaanza kuwazuia kuujadir muungano,hata swala la makanisa ni watu wamewapandikiza ili kuzima hoja ya muungano,lakin wao wanasema wanaungana na hoja ya serikal 3.na ndilo swala ambalo nimesikia ktk moja ya misikit leo hap dsm wakihamasishana kujitokeza j2 diamond kujadili namna ya kuwasaidia wazanzbar.
 
Juzi nilileta mada yenye kichwa cha habari "M4C Zanzibar" nyuzi ilisema hivi:



Wengine wakanijibu bila kufikiri, kama hivi:



Leo kwa macho na masikio yangu kupitia taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku huu, nimemsikia Sheikh Farid wa Uamsho Zanzibar akiirudia kauli mbiu ya CHADEMA zaidi ya mara moja "mpaka kieleweke". Hakuna ataebisha kuwa huo ni msemo uliozoeleka katika uongozi na kila kada na mnazi wa CHADEMA.

Nawapongeza CHADEMA kwa kuwaamsha Uamsho kudai haki zao na ningependelea ushirikiano huo uzidi na kama Uamsho wanavyoiunga mkono CHADEMA katika harakati zao kwa kutumia kauli mbiu ya CHADEMA kwenye harakati zao ni wakati muafaka kwa CHADEMA kuitumia fursa hii na kuungana na Uamsho Zanzibar wasaidiane katika M4C, inaonesha wazi kuwa Uamsho Zanzibar na CHADEMA wana uhusiano usio rasmi na yote ni katika kutafuta mabadiliko ya ukweli "Change".

Hongera CHADEMA, hongera Uamsho Zanzibar.

Mkuu zomba! I rl apreciate u kwa jinsi ulivyopanga post yako toka mwanzo hadi mwisho. Gud analysis
 
uamsho ni aina ya watu wanaoweza wapa watoto wao majina yoyote ya watu wanajitambulisha na kupata kukubalika km watetezi..majina km osama etc. Na kauli ya CDM inayotolewa pale chama kinaposisistiza msimamo mpaka matwaka yao yatimie ni sehemu yao kujipa title hizo km unavyosikia mchezaji wa bongo mzee kuliko wa nje akijipa jina la mcheza huyo. Ni km vile mzee kuliko Messi najiita messi as if antaka kuuja kuwa km messi baadya(a.k.a akistaafu...ha ha.).Hawa jamaa ni rahisi kuwa manipulated hadi kujikuta wakifanya km watakavyo hawa maarufu,ila baadaye wanaweza kwenda astray na kupata umaarufu baadaye.So usichangae uamsho wakikuzwa nakauli za wachambuzi wetu, na wanasiasa wasioenda kukubali ukweli, na pia kutumia opportunity zinapokuja wakati wanakuwa na adui mmoja na watetea haki, terrosist huwa wanafuata nyuma n awanapata advantage..hapa ni issue ya muungano, na inaonekan kuwa common issue ingawa kila mtu ana malengo tofauti. Na CCM ataosha hapa, kwa kuwazimisha kwa nguvu na CDM watabaki wakiwatetea hadi kifo chao., kwani KUTOKA COMMON ENEMY "UNION",HADI COMMON CRIME "crime", CDM watajikuta wakitetea vimatendo fulani vya uamsho na CCM watakuwa wakiwaunganisha.Na this time wakristu wataanza ikubali CCM tena.
 
Juzi nilileta mada yenye kichwa cha habari "M4C Zanzibar" nyuzi ilisema hivi:



Wengine wakanijibu bila kufikiri, kama hivi:



Leo kwa macho na masikio yangu kupitia taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku huu, nimemsikia Sheikh Farid wa Uamsho Zanzibar akiirudia kauli mbiu ya CHADEMA zaidi ya mara moja "mpaka kieleweke". Hakuna ataebisha kuwa huo ni msemo uliozoeleka katika uongozi na kila kada na mnazi wa CHADEMA.

Nawapongeza CHADEMA kwa kuwaamsha Uamsho kudai haki zao na ningependelea ushirikiano huo uzidi na kama Uamsho wanavyoiunga mkono CHADEMA katika harakati zao kwa kutumia kauli mbiu ya CHADEMA kwenye harakati zao ni wakati muafaka kwa CHADEMA kuitumia fursa hii na kuungana na Uamsho Zanzibar wasaidiane katika M4C, inaonesha wazi kuwa Uamsho Zanzibar na CHADEMA wana uhusiano usio rasmi na yote ni katika kutafuta mabadiliko ya ukweli "Change".

Hongera CHADEMA, hongera Uamsho Zanzibar.

pumbas @work
 
hao UAMSHO wapo under CIA watchlist for hate crimes and terrorism. hawana tofauti na boko haram na sera zao za kujitenga kwa kutumia udini. Source wikileaks.org
 
mkubwa!unachosema ni kweli,Uamsho wanasema wao hoja yao ni muungano,walipoanza kufanikiwa ktk hoja yao serikal inaanza kuwazuia kuujadir muungano,hata swala la makanisa ni watu wamewapandikiza ili kuzima hoja ya muungano,lakin wao wanasema wanaungana na hoja ya serikal 3.na ndilo swala ambalo nimesikia ktk moja ya misikit leo hap dsm wakihamasishana kujitokeza j2 diamond kujadili namna ya kuwasaidia wazanzbar.
Hata km wamebambikizwa mahubiri yao yanaonyesha ndipo walikuwa wakielekea.Na waliofanya wameona kuwa hao jamaa ndio best candidates, kuchukua hiyo character. Vipi hayo makanisa mengine ktk 21?Si udini?
 
Duuuu! Tatizo mkuu kuungana na hao materorist hilo swala linaweza kurisk chama, pia tatizo hao uamsho hizo harakati walikosea kuchoma makanisa so na endapo CDM ikwaunga mkono tayar picha mbaya itajengeka kwa jamii so we should" let them eat them"
pia kauli ya mpaka kieleweke naona watakuwa wamcopy kutoka CDM but sio mbaya kama wanaitumia ktk ukombozi.

Uamsho wamepinga kuwa wao ndio waliochoma makanisa na wamesema watashirikiana na Polisi kuwabaini ni kina nani waliochoma makanisa.
 
hao UAMSHO wapo under CIA watchlist for hate crimes and terrorism. hawana tofauti na boko haram na sera zao za kujitenga kwa kutumia udini. Source wikileaks.org

Nani unafikiri katika dunia hii hayuko katika watch list ya CIA, labda wewe peke yako.
 
Hata km wamebambikizwa mahubiri yao yanaonyesha ndipo walikuwa wakielekea.Na waliofanya wameona kuwa hao jamaa ndio best candidates, kuchukua hiyo character. Vipi hayo makanisa mengine ktk 21?Si udini?

Nadhani hujamsikiliza Lissu leo kwenye ITV akihojiwa na Masako, usingeyasema uyasemayo.
 
Chadema ni chama makini na viongozi makini kamwe hawawezi kuwa na uswahiba na makundi yenye mwelekeo wa kigaidi. Na unaweza kuona hata kamanda lisu itv alivokua makini kulielezea walivolichukulia hili issue kwa umakini wa kutoropoka coz cdm wanahitaji kura za wazanzibari ni tofauti na ccm walioropoka kuwa waziri ajiuzulu na dr shein kamkana
 
Chadema ni chama makini na viongozi makini kamwe hawawezi kuwa na uswahiba na makundi yenye mwelekeo wa kigaidi. Na unaweza kuona hata kamanda lisu itv alivokua makini kulielezea walivolichukulia hili issue kwa umakini wa kutoropoka coz cdm wanahitaji kura za wazanzibari ni tofauti na ccm walioropoka kuwa waziri ajiuzulu na dr shein kamkana

Tatizo lako hapo naona ni udini na umesha jazwa kichwani mwako kuwaogopa Waislaam. (Brain washed Islamophobia).
 
Nadhani hujamsikiliza Lissu leo kwenye ITV akihojiwa na Masako, usingeyasema uyasemayo.
Hujaelewa nilichoandika ndio maana ulichoquote ni "Quote", hakifanani na ulicholenga.Sijui kwanini unauliza km nimesikiliza kwani hata km ulisikiliza wewe na halafu nikahdithiwa,nikasoma ktk media au hata kumuuliza husika bado angesema alichosema km hakijamletea shida ya kuhitaji badili.

Pia kuelezea kuchemsha kwake leo naweza weka wazi kachemsha na kawapa CCM bomba la score..."kushindwa hadi na Shein kuona wazi kuwa ule ni udini na unahitaji haraka jibu n amipango ya kudhibiti hilo, kuwaweka ktk mikono ya sheria na mwishowe kutakiwa lipa makanisa yote.Biashara ingeisha na watu wangeendelea na maisha km kuna wanaotaka ulizia kuhusu muungano wapitie siasa n amapambano mengine" Sasa CCM wana switch side triumphatically.Kauli za kina Lisu leo ni kuwa useful i.d.i.o.t.s.soma post zangu kujua zaidi
 
Nadhani hujamsikiliza Lissu leo kwenye ITV akihojiwa na Masako, usingeyasema uyasemayo.
Hujaelewa nilichoandika ndio maana ulichoquote ni "Quote", hakifanani na ulicholenga.Sijui kwanini unauliza km nimesikiliza kwani hata km ulisikiliza wewe na halafu nikahdithiwa,nikasoma ktk media au hata kumuuliza husika bado angesema alichosema km hakijamletea shida ya kuhitaji badili.

Pia kuelezea kuchemsha kwake leo naweza weka wazi kachemsha na kawapa CCM bomba la score..."kushindwa hadi na Shein kuona wazi kuwa ule ni udini na unahitaji haraka jibu n amipango ya kudhibiti hilo, kuwaweka ktk mikono ya sheria na mwishowe kutakiwa lipa makanisa yote.Biashara ingeisha na watu wangeendelea na maisha km kuna wanaotaka ulizia kuhusu muungano wapitie siasa n amapambano mengine" Sasa CCM wana switch side triumphatically.Kauli za kina Lisu leo ni kuwa useful i.d.i.o.t.s.soma post zangu kujua zaidi
 
Juzi nilileta mada yenye kichwa cha habari "M4C Zanzibar" nyuzi ilisema hivi:



Wengine wakanijibu bila kufikiri, kama hivi:



Leo kwa macho na masikio yangu kupitia taarifa ya habari ya ITV saa mbili usiku huu, nimemsikia Sheikh Farid wa Uamsho Zanzibar akiirudia kauli mbiu ya CHADEMA zaidi ya mara moja "mpaka kieleweke". Hakuna ataebisha kuwa huo ni msemo uliozoeleka katika uongozi na kila kada na mnazi wa CHADEMA.

Nawapongeza CHADEMA kwa kuwaamsha Uamsho kudai haki zao na ningependelea ushirikiano huo uzidi na kama Uamsho wanavyoiunga mkono CHADEMA katika harakati zao kwa kutumia kauli mbiu ya CHADEMA kwenye harakati zao ni wakati muafaka kwa CHADEMA kuitumia fursa hii na kuungana na Uamsho Zanzibar wasaidiane katika M4C, inaonesha wazi kuwa Uamsho Zanzibar na CHADEMA wana uhusiano usio rasmi na yote ni katika kutafuta mabadiliko ya ukweli "Change".

Hongera CHADEMA, hongera Uamsho Zanzibar.

Nimeamini Nguruwe anawaalibu ubongo mpaka mnakua wavivu wa kufikiri.
 
Back
Top Bottom