zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kwa heshima na taadhima, tunaomba uongozi wa CHADEMA usisahau kupeleka mkutano wa M4C Zanzibar haraka iwezekanavyo, tena tunaomba sana Mheshimiwa Tundu Lissu apewe muda mrefu wa kuongea atapokuwa huko. Inaonesha kuwa CHADEMA imewaamsha Wazanzibari kutokea Jangwani ni vyema wakafika huko "LIVE".