nanjilinji
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 1,206
- 566
Kwa sasa kila mtu anatamani au anatumia Smartphones,hata huku kwetu vijijini akinadada na makaka wa kishua wanatumia hizo simu tunaita simu-tanashati.
Ukitaka kujua kuwa mpenzi wako anaaminika au haaminiki, ni kuangalia kama simu yake ina Password unayoifahamu.
Kama mpenzi au mwenzi wako anaweka password ambayo huijui, jua si MWAMINIFU na muogope kama ukoma maana udanganyifu wa mapenzi umezidi.
Ujumbe: kabla ya kugegedana muombe mpenzi wako kama njia ya kumuandaa akupe simu yake/zake na uchungulie; akikupa jua ni mwaminifu na endelea hata bila ndomu ila akikataa geuka mzungu wa tano.
Wekeend njema
Ukitaka kujua kuwa mpenzi wako anaaminika au haaminiki, ni kuangalia kama simu yake ina Password unayoifahamu.
Kama mpenzi au mwenzi wako anaweka password ambayo huijui, jua si MWAMINIFU na muogope kama ukoma maana udanganyifu wa mapenzi umezidi.
Ujumbe: kabla ya kugegedana muombe mpenzi wako kama njia ya kumuandaa akupe simu yake/zake na uchungulie; akikupa jua ni mwaminifu na endelea hata bila ndomu ila akikataa geuka mzungu wa tano.
Wekeend njema