Password ni kipimo tosha cha kuzuia ukimwi. Naomba nijieleze, unaweza kupima mwenza wako nyote mashallah mkawa hamna, baada ya miezi mitatu mkarudi mkathibitisha hamna. Mkaanza kutumbua ile halua kwa raha zenyu nyama kwa nyama. Kivumbi mmoja wenu anachepuka na kuupata, mwenzangu na mie anaamini kuwa mwenzake hachepuki, la haula kumbe anaogelea katika liukimwi. Lakini kama unafahamu password, kuchepuka hakuwezekani. Siku hizi mtu akitaka kutongoza anaomba namba ya simu, kama unajua mpenzi wako ana password, huwezi kumpatia na hapo umeepusha ukimwi.
Miss Chagga hii ni kweli au uongo