Uaminifu ndio mpango mzima

Uaminifu ndio mpango mzima

aljun raj

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
203
Reaction score
46
hata kama kakokosea, kumkaripia mbela za watu ni mkudhalilisha! na nimuhimu sana kumuamini mpenzi wako kama kweli unampenda kwa dhati!
 
hata kama kakokosea, kumkaripia mbela za watu ni mkudhalilisha! na nimuhimu sana kumuamini mpenzi wako kama kweli unampenda kwa dhati!



mmmmmmh wengine vichwa vyetu @wenge ukinitibua nakupa nakoz za haja
 
hata kama kakokosea, kumkaripia mbela za watu ni mkudhalilisha! na nimuhimu sana kumuamini mpenzi wako kama kweli unampenda kwa dhati!

Wanawake wengine wanaudhi sana aisee, unakuta mnaongea sebuleni ila hilo lisauti analolitoa mpaka basi, wengine unakuta anatoka nje kabisa, hapo lazima umtie makofi.
 
Back
Top Bottom