Ualimu ni kazi au shughuli?

Ualimu ni kazi au shughuli?

Kweli ww ni high vampire....!! Mbna ww hujui hta matumiz ya R&L... then unamnanga mwenzioo.. kwel nyan hajion...
 
mshahara tgts C1 ni around 360,000 take home..lets assume hio 196,750 inayokosekana hapo ndio makato yako ya mkopo wa huko FAIDIKA...je huo mkopo uliuchukua ukaulewee???...haukuufanyia kitu chochote cha kuizungusha hiyo pesa????.....
naomba jibu mAgaziJuTO.
 
Last edited by a moderator:
kweli wizara ya elimu imeingiliwa mwalimu mzima hujui kuandika unafundisha nini wanafunzi mnaferisha wanafunzi sababu ya kwanza ni nyie
nani kakudanganya kuwa mshahara unakutoa kimaisha badala ya kufungua biashara na kubana matumizi hata upewe milion kama mtu wa pombe haisaidii unalalamika mshahara mdogo hutaki kujiendeleza unategemea ulipwe kiasi gani tukulipe milion wakati darasa la saba soma tutakuongeza mshahara kwa kufuatana na elimu yako kama unaona kazi acha kazi kalime au nenda ulaya ukawe mbeba mabox na sio kuja kulalamika hapa JF jitu zima na watoto wafanyaje

Elimu yako ulioipata si dhani kama unaitumia ipasavyo. Asie enda shule ana afadhali kuliko wewe.
 
duh walimu wetu hao sijui watoto wetu wana cha kujifunza toka kwao
 
Back
Top Bottom