kweli wizara ya elimu imeingiliwa mwalimu mzima hujui kuandika unafundisha nini wanafunzi mnaferisha wanafunzi sababu ya kwanza ni nyie
nani kakudanganya kuwa mshahara unakutoa kimaisha badala ya kufungua biashara na kubana matumizi hata upewe milion kama mtu wa pombe haisaidii unalalamika mshahara mdogo hutaki kujiendeleza unategemea ulipwe kiasi gani tukulipe milion wakati darasa la saba soma tutakuongeza mshahara kwa kufuatana na elimu yako kama unaona kazi acha kazi kalime au nenda ulaya ukawe mbeba mabox na sio kuja kulalamika hapa JF jitu zima na watoto wafanyaje
Ndugu, mshahara pekee hautoshi, fanya ujasilia mali, angalia mahali unapoishi na buni biashara itakayo kupa faida ya 10% au zaidi.
Kama mkeo hana kazi kabisa mfungulie kamradi ka kuku wa kienyeji kama mazingira yanaruhusu (kama upo pembezoni mwa mji/kijijini na kama mazingira yanabana fuga kuku wa kisasa (wa mayai/nyama)
Mradi huo utasimamiwa na mkeo mwenyewe wakati wewe ukiendelea na kazi yako ya ualimu.
Mambo mengi yahusuyo biashara na kama una maswali yahusuyo biashara ingia jukwaa la BIASHARA NA UCHUMI kule utasaidiwa na hakuna mtu atakae kukejeli, there every one is serious with what they are doing, no jokes at all.
Dzudzuku.
Usishangae,ualimu ni kimbilio la waliofeli. Div 4 ndio pass mark zinazohitajika.[/QUOTE
Acha bangi zako wewe unafikiri bila mwalimu ungeweza kujiunga na jamiiforums? Mwalimu ni mtu muhimu sana ambaye hata rais anapaswa kumpa heshima zote.
kweli wizara ya elimu imeingiliwa mwalimu mzima hujui kuandika unafundisha nini wanafunzi mnaferisha wanafunzi sababu ya kwanza ni nyie
nani kakudanganya kuwa mshahara unakutoa kimaisha badala ya kufungua biashara na kubana matumizi hata upewe milion kama mtu wa pombe haisaidii unalalamika mshahara mdogo hutaki kujiendeleza unategemea ulipwe kiasi gani tukulipe milion wakati darasa la saba soma tutakuongeza mshahara kwa kufuatana na elimu yako kama unaona kazi acha kazi kalime au nenda ulaya ukawe mbeba mabox na sio kuja kulalamika hapa JF jitu zima na watoto wafanyaje
Mimi ni mwalimu wa kawaida(msingi)Mshahara(soma posho) wangu kutokana na kufuta ujinga watoto wa kinyamwanga ni Tgts C1 ukitoa makato yote+deni la faidika ninabaki na 163,250 mkononi.Nina mke na watoto wawili+mama mzazi.Nimepanga uswahilini ambapo ninalipia 30,000 kwa mwezi(ukitoa kwenye 163,250 kinachobaki ndicho changu).mwezi uliopita nilipokea mshahara(soma posho)tarehe 26,hadi kufikia tar.10 april sikuwa na kitu,hivyo kutoka hapo hadi leo tar 20 naishi kwa mikopo na mizinga.Hadi leo nina deni lisilopungua 70,000 hivyo hadi kufikia mshahara(soma posho)sijui nitakuwa nimebaki na kiasi gani!hivyo nataka kujua,ualimu ni KAZI au SHUGHULI?
nyamuhanga?
Usishangae,ualimu ni kimbilio la waliofeli. Div 4 ndio pass mark zinazohitajika.[/QUOTE
Acha bangi zako wewe unafikiri bila mwalimu ungeweza kujiunga na jamiiforums? Mwalimu ni mtu muhimu sana ambaye hata rais anapaswa kumpa heshima zote.
Ukweni utasimama mkubwa. Mwalimu alikuwa na hadhi enzi za mwalimu.
kweli wizara ya elimu imeingiliwa mwalimu mzima hujui kuandika unafundisha nini wanafunzi mnaferisha wanafunzi sababu ya kwanza ni nyie
nani kakudanganya kuwa mshahara unakutoa kimaisha badala ya kufungua biashara na kubana matumizi hata upewe milion kama mtu wa pombe haisaidii unalalamika mshahara mdogo hutaki kujiendeleza unategemea ulipwe kiasi gani tukulipe milion wakati darasa la saba soma tutakuongeza mshahara kwa kufuatana na elimu yako kama unaona kazi acha kazi kalime au nenda ulaya ukawe mbeba mabox na sio kuja kulalamika hapa JF jitu zima na watoto wafanyaje
Duuuh. Yaani na wewe ndugu yangu maelezo yako yote hapo juu umeamua kuyafanya sentensi moja na inaonekana dhahiri kwamba bado ulikuwa unaendelea! Hakuna koma wala full stop.
mwalimu gani unaandika ivyo?
Mkuu achana na huyu kirazaaa, kazaa juzi juzi tu bado halali vizuri mtoto analia sana usiku kucha mpaka akili imekaaa kiusikusiku.