Ualimu ni fani ngumu

Ualimu ni fani ngumu

chichimizi

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
1,074
Reaction score
339
Walioko nje wanalia wanataka kuingiaaa Ndani.
Pia walioko Ndani wanalalamika mshahara mwezi huu vipi hazina?

Unajifunza nini hapo kuhusu hii field ya ualimu ambayo haina hata marupurupu ? Usipojiongeza umekwisha
 
Du cool down! usiwe kama unakimbizwa...taratibu soma mwenyewe ulichoandika kama unakielewa..!halafu ndo ufafanue nini unataka kuleta kwa adhira
 
Du cool down! usiwe kama unakimbizwa...taratibu soma mwenyewe ulichoandika kama unakielewa..!halafu ndo ufafanue nini unataka kuleta kwa adhira
Nimerekebisha hapo badala ya nje nikaandika ndani
 
Yaani watu wengine bana, sasa unaandika utafikir wote tunaelewa ulichonacho kichwan,heading ni tofauti na unachokisema ndan ,JIPANGE MKUU
 
Yaani watu wengine bana, sasa unaandika utafikir wote tunaelewa ulichonacho kichwan,heading ni tofauti na unachokisema ndan ,JIPANGE MKUU
Kama huelewi ujuee haikuhusu.

Pita hivi
 
Mkuu wengine ndo semester ya mwisho chuo with lots of determination sema nn maisha kujiongeza kitaeleweka tu
 
Tanzania ni Taifa la kufeli kila siku, yaani watu wanaohitajika kujenga taifa(kutoa Elimu kuanza ngazi ya chini) ndiyo watu wasioheshimika na wanaoonekana wa chini daima!
 
Poleni. Vumilieni tu hivyo hivyo mdogo mdogo mtafika. Wengine tumezaliwa kwenye familia za waalimu, tumelelewa humo humo mpaka tumekua...
 
Kila ukichungulia kupitia nmb mobile unaambiwa SALIO LAKO HALITOSHELEZI ha ha ha ha.
 
Back
Top Bottom