Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 14,460
- 36,069
Watakuwa kama wamejificha chini ya muembe.
Israel maintains a "qualitative military edge" (QME) through superior air power, advanced intelligence, and sophisticated, multi-layered defense systems, while Iran focuses on asymmetric warfare and massive missile production to offset this technological gap...mhuhimu sana hapo kwa modern warfare ni "qualitative military edge"Tatizo watu kuelewa mambo mapicha picha ya kina Rambo Arnold nk. Yamefanya kusoma matukio hawawezi !!!
Mataifa mawili dhidi ya Taifa moja tu.
Bado Trump katafuta msaada!!
Bora muembe , ni sawa na kujificha chini ya maua tu 😂😂😂Watakuwa kama wamejificha chini ya muembe.
Swali la kijinga kutokea!!Kwahyo Israel ina air defense bora zaidi kuliko USA ambae kambi zake zilipigwa.
Mji gani uliharibiwa?Na hapo hapo Israel mqkombora mengi yalishuka yakaharibu miji yao.
Kwa akili yako habari za Iran siTatizo kubwa hizi vita zina propaganda sana kuliko uhalisia wa mambo.
Wafuga midevu na majini aliyewaroga kafa!!Tatizo watu kuelewa mambo mapicha picha ya kina Rambo Arnold nk. Yamefanya kusoma matukio hawawezi !!!
Mataifa mawili dhidi ya Taifa moja tu.
Bado Trump katafuta msaada!!
Hivi vitoto vya elfu 2 haviwezi kukuelewa.... Wanachoweza ni kubinua makalio tuKwahyo Israel ina air defense bora zaidi kuliko USA ambae kambi zake zilipigwa.
Na hapo hapo Israel mqkombora mengi yalishuka yakaharibu miji yao.
Tatizo kubwa hizi vita zina propaganda sana kuliko uhalisia wa mambo.
Naamini kama Iran angekuwa kabondwa yupo hoi Marekani na Israel wasingesimamisha vita.
Na hadi saa hizi pale Tehran kungekuwa na utawala mpya kabsa.Wala Hormuz asingekuwa anabembelezwa kuifungua.
Jamani tujifunze kutumia akili zetu sio zakukopa.
Mfano sisi Tanzania tuibonde Zambia kwelikweli halafu gari zetu za mizigo ziwe zinahitaji kupitisha mizigo kwenda nchi jirani.Je tutaibembeleza ifungue mpaka au tutapeleka kibabe maana tutakuwa tunaitawala.
Sasa kama USA na ISRAEL wameiacha hoi IRAN inawezekanaje aweze kuzuia meli yoyote ile kupita hadi yeye aamue.
Unadhani bila mifumo hio ya Air defense pale TelAviv kungekua namaisha! Iran imemwaga makombora kama mvua pale lakin unaona leo maisha yanaendeleaHawakuweza kujilinda wao wataweza kuwalinda UAE hahaha kweli vichaa ni wengi duniani
Common sense is not so common. Msamee tu shabiki wa ....Kwahyo Israel ina air defense bora zaidi kuliko USA ambae kambi zake zilipigwa.
Na hapo hapo Israel mqkombora mengi yalishuka yakaharibu miji yao.
Tatizo kubwa hizi vita zina propaganda sana kuliko uhalisia wa mambo.
Naamini kama Iran angekuwa kabondwa yupo hoi Marekani na Israel wasingesimamisha vita.
Na hadi saa hizi pale Tehran kungekuwa na utawala mpya kabsa.Wala Hormuz asingekuwa anabembelezwa kuifungua.
Jamani tujifunze kutumia akili zetu sio zakukopa.
Mfano sisi Tanzania tuibonde Zambia kwelikweli halafu gari zetu za mizigo ziwe zinahitaji kupitisha mizigo kwenda nchi jirani.Je tutaibembeleza ifungue mpaka au tutapeleka kibabe maana tutakuwa tunaitawala.
Sasa kama USA na ISRAEL wameiacha hoi IRAN inawezekanaje aweze kuzuia meli yoyote ile kupita hadi yeye aamue.
ungenunua naww kulinda ndege wadogo wanaokula mpunga kwenu chunya !!Habari hii najua haitawafurahisha Waarabu-koko wa BONYOKWA lakini ujweli ndiyo huu-
Kulingana na ripoti ya Axios, Israeli ilituma kikosi kamili cha Iron Dome pamoja na vifaa vyake na wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Israeli kwenda Umoja wa Falme za Kiarabu kwenda kuilinda nchi hiyo dhidi ya nashambulizi ya kigaidi ya iran, , kufuatia uratibu wa moja kwa moja kati ya Benjamin Netanyahu na Mohammed bin Zayed Al Nahyan.
Ripoti hiyo inasema mfumo huo ulizuia makombora mengi ya Iran huku UAE ikikabiliana na mamia ya makombora na maelfu ya ndege zisizo na rubani. Hii ni mara ya kwanza Israeli kutuma Iron Dome na vikosi vyake katika ardhi ya kigeni wakati wa mapigano na Iran.
Unatakiwa uwe yule ambae hujui chochote kuhusu IT Networking Infrastructure ili ukubali kuamini na kulimeza tango la eti Israel alihack CCTV za Tehran ili kumuua AtatollahISRAEL bila defense system (Iron dome, Davis"s Sling na Iron Beam) ingeshateketezwa. Iran ki usalama iko UCHI 100%
View attachment 3580311
Recent reports detail a massive covert operation where Israeli intelligence hacked nearly every traffic camera in Tehran to track and eventually assassinate Iran's Supreme Leader, Ayatollah Ali Khamenei
Wamedhidiwa ujuzi wa kiufundi na Iranian ndiomana wanatapatapa Kipropaganda we mtu anapigana naww yupo nyumbani kwake bado miji yko inawaka MOTO. Sio mchezo!!Unajaribu kutaka kuzima kwa jirani wakati kwako kunaungua?
Kwanza UAE kwasasa choka mbayaa pesa hawana!!!Ndiyo mnavyodanganyana Wafuga Midevu na Majini?
Ujinga tu unakusumbua wewe.!!Iran kamatieni hapo hapo mpaka kieleweke
Hormuz utoe kiasi ama ubebe meli zako zamakontena upite nazo angani huko
Bora dunia nzima tufe njaa ila iran ikamatie hapo hapo
Acha uongo, iron dome inalinda tu short range missiles kma za hezbollah au Hamas ila Iran ikitumia hypersonic missiles kama Kheibar shekan haiwezi kuzuiwa na iron dome bali hutumika David's sling ambazo nazo hazikua successful.Kwa hiyo wewe ni mtaalamu kupita maafisa wa kijeshi wa UAE ?
Maana wao wamechagua Iron-dome baada ya kuona kazi yake nzuri kupopoa makombola ya Iran!!
Mshamba wewe, marekani ina viwanda vingi Asia kuliko vilivyopo USA ina maana mafuta yakikosekana China, Vietnam au Korea uchumi wa US unaporomoka.Kama unafikiri Marekani itapata shida hiyo sahau kabisa kwanza elewa Marekani ina akiba ya mafuta mengi sana na isitoshe onapata mafuta kutoka Venezuela na kutoka nchi zingine za kiarabu!!!