Mshamba wewe, marekani ina viwanda vingi Asia kuliko vilivyopo USA ina maana mafuta yakikosekana China, Vietnam au Korea uchumi wa US unaporomoka
Aliyekuambia US ina viwanda vichache nani?
Pia usipotoshe mafuta inayozalisha USA hayatoshi hata soko la ndani ina nakisi ya mafuta kwahiyo nayo inategemea kuagiza mafuta nje kwahiyo demand ikipanda nao wananunua mafuta kwa bei ya juu hata kama ni Venezuela au Russia!!
Waliobuni
Total-Blockade si wajinga kama wewe walikaa wakafanya uoembuzi yakinifu wakaona inafanya kazi na ndiyo maana sasa hivi kaanza kutoa milio!!
Pia US inaangiza kuliko inavyouza bidhaa maana yake net exports ni negative sasa bidhaa zikipanda bei China au India automatically zitapanda bei US maana itatokea imported inflation.
Mambo kama haya mkishiba maharage ya jana unajifanya mjuaji kupita walioianzisha hiyo Operation ambao wanajua ikitokea hivi tutafanya hivi huu ujinga ujinga wako kesho na keshokutwa utakuja kula Matapishi yako!!!
Tatizo una elimu ndogo alafu unapenda mijadala iliyo juu ya uwezo wako.
Ama kweli nyani haoni Kundule una elimu gani wewe ya kujidai?
Uongo uongo unsowadanganya watu humu nawe unasema una Elimu?
Kipindi cha vita vya Gaza ulikuwa unawasifia Magaidi wa Hamas, Hezbollah na Houth ukawaaminisha watu kuwa Watashinda vita dhidi ya Israel matokeo yake sasa hivi hata unaona aibu kuongelea yanayotokea huko.
Kipindi hicho niliwahi kukuambia IDF wako ndani kabisa ya Lebanon-kusini kusini ulikataa katakata matokeo yake ulianza kulalanikia
Operation Beeper iliyowaacha hoi magaidi uliokuwa unawasifia na kuwaramba makalio.
Safari hii tena baada ya Hezbollah kujiingiza kichwakichwa kwenye vita vya sasa kuwasaidia Mabwana zao wa Iran nilisema IDF wameshaingia ndani ya Lebanon-kusini wewe na viloka wenzako akina
Adiosamigo mdogoee gallow bird na Mzee wa UHARO
Ritz mlinikatalia sana!!!
Sasa hivi Hezbollah wabapigwa kama ngoma na wewe hapo inajifanya huyajui hayo!!
Sasa hivi magaidi unaowasifia wako ng'ambo ya mto litan na IDF sasa hivi inasafisha eneo la Buffer-zone.
Wewe na usomi wako Uchwara ulikuwa huyaoni hayo yote. Hspo sasa wewe una Elimu gani? Acha ujinga wadanganye wajinga wrnzako tu!!