tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
NIMEPEWA HII TAARIFA...SIJUI NI KWELI??
This plant that we have in our homes and offices is extremely dangerous!
Mmea huu unapatikana kwa wingi nchini Cameroon hata hapa kwetu u\,kwenye ofisi na majumbani upo umewekwa kama ua.Ni sumu hasa kwa watoto,unaweza kumuua mtoto ndani ya dk 15 kama ameipeleka kinywani.Unatakiwa utolewe mara moja huko maofisini au majumbani.Uki ugusa usishike macho inaweza kukupa upofu.. Please mjulishe na mwingine.
This plant that we have in our homes and offices is extremely dangerous!
Mmea huu unapatikana kwa wingi nchini Cameroon hata hapa kwetu u\,kwenye ofisi na majumbani upo umewekwa kama ua.Ni sumu hasa kwa watoto,unaweza kumuua mtoto ndani ya dk 15 kama ameipeleka kinywani.Unatakiwa utolewe mara moja huko maofisini au majumbani.Uki ugusa usishike macho inaweza kukupa upofu.. Please mjulishe na mwingine.