U.S. warns Iran on Strait of Hormuz

Iranian President Mahmoud Ahmadinejad has hit back at the US, after Washington introduced new sanctions against Iran's central bank.

Mr Ahmadinejad said the bank was strong enough to defeat "enemy plans".

The sanctions - which cut off from the US financial system foreign firms that do business with the central bank - are part of a defence bill signed by President Barack Obama on Saturday

Zaidi hapa BBC News - Iran President Ahmadinejad condemns US banking sanctions
 
Kwa kifupi, si mapenzi au kusahau matatizo ya wengine. Hayo matatizo mawili uliyoyataja pia yanafuatiliwa na wapenda hakii duniani. Utafahamu kuwa hayo yamekuja baadaye katika international affairs kuliko hili. Pili hili la Palestina linahatarisha amani ya dunia. Hakuna amani ya dunia inayohatarishwa na matatizo uliyoyataja.
Kinachotia wasi wasi ni kuwa 'hutambui' haki za Wapalestina, kama unavyosema, matatizo ya kujitakia wenyewe. Kweli wewe ni mpenda haki? Unaonaje mtu akija nyumbani kwako akamchukua mkeo na watoto wako na kuwafukuzilia mbali na akaleta familia yake, utakubali?
Kuna Wapalestina milioni 3 walifukuzwa nyumbani kwao tangu 1948 wakati dola la Israel lilipozaliwa, na sasa wanaishi katika mahema ya wakimbizi Lebanon na Syria baada ya ardhi na nyumba zao kuhodhiwa na Wayahudi ambao hata hawakuzaliwa Palestina, wameletwa kutoka Russia, Poland na sehemu nyingine?
Utasema nini ikiwa Wajerumani waliokuwa Tanzania miaka 1900 leo watoto wao warudi na waseme wana haki ya Wilaya ya Usambara kwa vile babu zao waliishi huko miaka 100 iliyopita utakubali? Hukubali. Na hii ni miaaka 100 tu iliyopita. Wayahudi wanasema wana haki ya Palestina kwa vile babu zao waliishi huko miaka 2000 iliyopita!
Lazima ufahamu, kuna Wayahudi wa Mashariki ambao walibakia Palestina mika yote hii, hawa Waarabu hawana matatizo nao. Wenye matatizo ni Wayahudi wa Magharibi ( Ashkenazi) ambao walikuwa raia wa mataifa mengine kwa miaka maelfu na maelfu na leo wanarudi kudai Palestina.
Nadhani hii kwa muhtasari imekupa maelezo ya tatizo hili.

Mkuu wauaji wa Palestina wakubwa alikuwa King Hussein wa Jordan wakati alidai wakimbizi wa kipalestina wanahujumu utawala wake alitumia vifaru kuangamiza maelfu kwa maelufu watu waliokuwa hawana siraha.Tatizo la mwarabu akiua waraarabu wenzake linaonekana kosa dogo lakini Yaudi akiwa waarabu yaani wapelestina kidogo basi waarabu na wafuasi wao watahamaki sana.Udharimu ni udharimu kwa yeyote anayefanya hivyo.
 
Heri na fanaka ya Mwaka Mpya JF.
Mwaka 2012 umeanza kwa ishara mbaya kwa wale wanofuatia masuala ya matangamano ya Kimataifa. Ndiyo kwanza rais Barack Obama amesaini kuwekewa vikwazo benki kuu ya Iran, eti kwa sababu nchi hiyo 'ina matamanio' ya kuunda silaha za nuklia. Nimeweka neno 'matamanio' (ambitions) ndani ya vibango kwa kusisitiza kuwa hadi sasa hakuna dalili yeyote kama Iran ina maatamanio hayo. Iran yenyewe inasema haina.
Lakini, hata kama inayo, so what? Kwa nini vikwazo hivyo haviwekewi wengine, ambao wanazo hasa?
Kama asemavyo Ron Paul 'ukianza mkondo wa vikwazo hatimaye utaishia vita' Hii ndivyo ilivyotokea kwa nchi zote- Iraq, Argentine,Libya.....

(Nchi pekee ambayo vikwazo havijapelekea vita ni Cuba- lakini hii ni special case- kwani Marekani ilipatana na Soviet ya wakati ule kuwa isiiguse Cuba na Soviet haitaigusa Uturuki).

Kwa mujibu wa wachunguzi wengi, vita dhidi ya Iran vitatokea kabla ya mwezi Machi mwaka huu, kutokana na sababu nyingi ambazo uki google utaelewa. Wengine watasema, matishio mengi ya namna hii yamekwishatolewa tangu 2005. Nasema safari hii ni tofauti, hasa Syria ikianguka katika miezi miwili ijayo.
Kwa wale wasio na naamna nyingine ya kupata habari za uhakika, uhasimu wa Marekani na Iran una sababu mbili muhimu

1- Iran kuwa msitari wa mbele wa kutetea haki za WaPalestine kwa vitendo (siyo kama Saudi Arabia na Waarabu wengine)

2- Hofu ya kuwa mfano wa Iran wa kujitegemea wenyewe utaigwa na madola mengine ya Mashariki Ya Kati, na hivyo kuathiri udhibiti wa Marekani wa eneo hili.

3- Kuwepo taifa lililo sawa kwa nguvu za kijeshi na Israel katika Mashariki ya Kati

Utaona kwamba suala la nuklia ni kisingizio tu. Kama unaona habari hizi hazikuhusu, fikiria tena. Iran siyo a 'push over' kama Iraq. Wairan- usi wa confuse na Waarabu- ni watu wenye ari kubwa ya kupigania nchi yao. Mfano ni katika vita vya Iran Iraq. Iraq ilikuwa inasaidiwa na nchi zote kubwa kwa silaha, na Waarabu kwa fedha. Iran ilikuwa pekee ikiwa na vikwazo vya silaha. Lakini ikaweza kumshinda Saddam na lau si kujiingiza Marekani dhahiri wangefika Baghdad, a la Tanzania!

Ninachotaka kusema ni kuwa itakapotokea vita, amini kuwa visima vyote vwa mafuta Mashariki ya Kati vitachomwa moto, na Israeli itashambuliwa kwa maelfu ya makombora- Israel itajibu kwa silaha za nuklia......

vita ya III ya dunia imeanza!
Acha ku exagerate mambo. Iran haina uwezo kiasi hicho na hunya hunya ya sasa inadhihirisha jinsi tumbo linavyomsokota. Uwezo wa nchi za magharibi kuipiga Iran uko wazi na Iran inajua haiwezi kufua dafu mberle ya wababe hao. Tena naungana na wachangiaji waliosema itakuwa hatari kwa Iran kuachiwa kumiliki silaha za kinyuklia kwani kufanya hivyo ni kumkabidhi kichaa azurure na bunduki iliyosheheni risasi. Kwa rekodi tu Iran haikushinda vita dhidi ya Iraq bali ni Iraq ndiyo iliibuka mshindi kwa msaada wa Marekani. Ropoka ropoka ya Karzai itaiponza nchi na watu wake.
 
Vyovyote itakavyokuwa, kama Iran inamatamanio ya kutengeneza silaha za nyuklia, basi asiruhusiwe. Huwezi kumruhusu kichaa akawa na silaha kama hizo. Kama hana matamanio wamuache!!!!!

even amerika pia ni mataahira,utaona afadhali ya Iran
 
Watu wanapenda vita eh? Kusaini a "sanctions bill" kusaini vita?
 
Wapalestina hawana haki? Unaishi wapi wewe? Hebu mwulize Membe.
Kwa kifupi, Azimio la Umoja wa Mataifa 242 linasema: Israel inabidi kuondoka katika maeneo yote iliyoyateka mwaka 1967.
Jee unapinga Umoja wa Mataifa (UN)? Kama si Umoja wa Mataifa pasingekuwepo Israel, kwa sababu ni UN ndiyo iliyotoa uamuzi wa kugawa Palestina, nusu ya Wayahudi na Nusu ya Waarabu mwaka 1947.
Huwezi kukubali uamuzi huo, ukakataaa huu (unless, tena, UDINI). Hata huo UDINI nishazungumza hapa kuwa usi confuse Wayahudi na Ukristo. Infact, Uislamu uko karibu zaidi na Ukristo kuliko Uyahudi na Ukristo. At least, Waislamu wanamkubali Yesu, Wayahudi hawakubali haata kama alizaliwa na wanamwita bi Maria (m) ...shakum......
Zaidi ya hayo, maeneo yote matakatifu ya Wakristo huko Palestina, ukitoa Jerusalem, Myahudi kaishawarudishia Wapalestina, kuonesha kuwa hataki kujihusisha na Ukristo. Maeneo kama Bethlehem, Nazaret nk. Kuna Wakristo wengi zaidi katika maeneo waliyonayo Wapalestina hivi sasa kuliko katika maeneo ya Wayahudi.
Na kama watetea Israel kwa misingi hiyo, hebu nenda leo Tel Aviv na Biblia yako uhubiri wazi kwa Waisrael uone kitu gani kitakufika! Baadhi ya mambo kwa kweli ni ujinga. Pana haja ya kusafiri!

Ndugu Israel ni kama my second homeland. nimekwenda na niliishi Israel. Na hili si swala la udini. the so called palestine land is the land of Israel. soma historia nenda kwenye museum zao ndo utaelewa nasema nini. Wamuamini na wasimuamini Yesu bado nendo la Mungu litabaki kuwa kweli kwamba Yesu alikuwa muyahudi. Na sababu za wao kumkataa ni ili mimi na wewe pia tufaidi utamu wa kumjua Yesu(najua unielewi pengine ninaposema hivyo).

Narudia tena maneno ya Newt gingrich kuwa wapalestina in 'inveted people' na siku moja ulimwengu utajua ni kwa sababu gani hawa wapalestina wanadai kitu kisicho chao.
 
Kwa kifupi, si mapenzi au kusahau matatizo ya wengine. Hayo matatizo mawili uliyoyataja pia yanafuatiliwa na wapenda hakii duniani. Utafahamu kuwa hayo yamekuja baadaye katika international affairs kuliko hili. Pili hili la Palestina linahatarisha amani ya dunia. Hakuna amani ya dunia inayohatarishwa na matatizo uliyoyataja.
Kinachotia wasi wasi ni kuwa 'hutambui' haki za Wapalestina, kama unavyosema, matatizo ya kujitakia wenyewe. Kweli wewe ni mpenda haki? Unaonaje mtu akija nyumbani kwako akamchukua mkeo na watoto wako na kuwafukuzilia mbali na akaleta familia yake, utakubali?
Kuna Wapalestina milioni 3 walifukuzwa nyumbani kwao tangu 1948 wakati dola la Israel lilipozaliwa, na sasa wanaishi katika mahema ya wakimbizi Lebanon na Syria baada ya ardhi na nyumba zao kuhodhiwa na Wayahudi ambao hata hawakuzaliwa Palestina, wameletwa kutoka Russia, Poland na sehemu nyingine?
Utasema nini ikiwa Wajerumani waliokuwa Tanzania miaka 1900 leo watoto wao warudi na waseme wana haki ya Wilaya ya Usambara kwa vile babu zao waliishi huko miaka 100 iliyopita utakubali? Hukubali. Na hii ni miaaka 100 tu iliyopita. Wayahudi wanasema wana haki ya Palestina kwa vile babu zao waliishi huko miaka 2000 iliyopita!
Lazima ufahamu, kuna Wayahudi wa Mashariki ambao walibakia Palestina mika yote hii, hawa Waarabu hawana matatizo nao. Wenye matatizo ni Wayahudi wa Magharibi ( Ashkenazi) ambao walikuwa raia wa mataifa mengine kwa miaka maelfu na maelfu na leo wanarudi kudai Palestina.
Nadhani hii kwa muhtasari imekupa maelezo ya tatizo hili.

Afadhali umefahamu kuwa babu zao waliishi huko yapata 2000 years ago. Je wakati huo palestina ilikuwepo? maana palestina imeanza wakati wa utawala wa Ottoman empire! (soma historia) karne ya 16-17.
Nikuulize tena swali hawa wajahudi wa 'magharibi' asili yao ni wapi?
 
Vyovyote itakavyokuwa, kama Iran inamatamanio ya kutengeneza silaha za nyuklia, basi asiruhusiwe. Huwezi kumruhusu kichaa akawa na silaha kama hizo. Kama hana matamanio wamuache!!!!!
...................... Kwani Wamerikani waliwahi kuwa na akili lini ? HIROSHIMA na NAGASAKI walitumia akili au Masaburi ? kwanini utishika na Mtu asiye na hiyo silaha na wala hana Historia ya kutumia silaha mbaya ! (Vita vya Irag/Iran) Sadam alitumia GAS, Israel inatumia mpaka mabomu yanakatwazwa na UN kuwapiga wtu wenye silaha za kutengeneza kwenye "Karakana"
 
Ndugu Israel ni kama my second homeland. nimekwenda na niliishi Israel. Na hili si swala la udini. the so called palestine land is the land of Israel. soma historia nenda kwenye museum zao ndo utaelewa nasema nini. Wamuamini na wasimuamini Yesu bado nendo la Mungu litabaki kuwa kweli kwamba Yesu alikuwa muyahudi. Na sababu za wao kumkataa ni ili mimi na wewe pia tufaidi utamu wa kumjua Yesu(najua unielewi pengine ninaposema hivyo).

Narudia tena maneno ya Newt gingrich kuwa wapalestina in 'inveted people' na siku moja ulimwengu utajua ni kwa sababu gani hawa wapalestina wanadai kitu kisicho chao.
....................... Sasa ndo kusema "Mungu kabila yake ni Myahudi eeeeeh !" ............ daaah ! wenzetu nyiee ! Haya bana, waambie UN wapitishe resolution ya kugawa hilo shamba !:A S embarassed:
 
TEHRAN (Reuters) - Iran said on Monday it had successfully test-fired two long-range missiles during a naval exercise in the Gulf, flexing its military muscle to show it could hit Israel and U.S. bases in the region if attacked.

In response to mounting Western pressure over its nuclear ambitions, Iran started a naval drill in the Gulf last week and warned that it could shut the Strait of Hormuz if sanctions were imposed on its oil exports, the country's main revenue source.

The 10 days of naval wargames and the warning over the Strait, a narrow Gulf shipping lane through which 40 percent of world oil passes, have rattled oil markets and pushed up crude prices.
Analysts say Iran's increasingly strident rhetoric is aimed at sending a message to the West that it should think twice about the economic cost of putting further pressure on Tehran.

"We have successfully test-fired long-range shore-to-sea and surface-to-surface missiles, called Qader (capable) and Nour (Light) today," Deputy Navy Commander Mahmoud Mousavi told state television.
Tehran denies Western accusations that it is trying to build atomic bombs, saying it needs nuclear technology to generate electricity.
The United States and Israel have not ruled out military action against Iran if diplomacy fails to resolve the Islamic state's nuclear row with the West.
 
Iranian missile spin closes Hormuz for five hours
USSSTENNIS28.12.11.jpg

USS Stennis cruises Persian Gulf waters

By a media trick, Tehran proved its claim that closing the Strait of Hormuz is as "easy as drinking water," DEBKAfile reports. First thing Saturday morning, Saturday, Dec. 31, Iran's state agencies "reported" long-range and other missiles had been test-fired as part of its ongoing naval drill around the Strait of Hormuz. Ahead of the test, Tehran closed its territorial waters. For five hours Saturday, not a single warship, merchant vessel or oil tanker ventured into the 30-mile wide Hormuz strait, waiting to hear from Tehran' that the test was over.
Instead, around 0900 local time, a senior Iranian navy commander Mahmoud Moussavi informed Iran's English language Press TV that no missiles had been fired after all. "The exercise of launching missiles will be carried out in the coming days," he said.
For five hours therefore, world shipping obeyed Tehran's warning and gave the narrow waterway through which one-fifth of the world's oil passes, a wide berth. They stayed out of range of a test which, DEBKAfile's military sources report, aimed to demonstrate for the first time that Shahab-3 ballistic missiles which have a range of 1,600 kilometers and other missiles, such as the Nasr1cruise marine missile, are capable of reaching Hormuz from central Iran.
The Moussavi statement was not aired on Iran's Farsi-language media. It was not necessary; Tehran had demonstrated by this ruse that it could close the vital waterway for hours or days at any moment.
Friday night, shortly after Tehran reported the missile-firing test was to take place the next morning, Washington announced the $3.48 billion sale to the United Arab Emirates of 94 advanced THAAD missiles with supporting technology.
Like the $30 billion sale of 84 F-15 fighter jets to the Saudi Arabia announced this week, delivery dates were not specified. The first F-15s for Saudi Arabia are due some time in 2015. It must therefore be said that the announced sophisticated US arms sales to the Persian Gulf nations bear only tangentially on the current state of tension in the region around Iranian threats.
The Hormuz missile stratagem has given Tehran three advantages in its face-off with Washington and the Gulf Arab governments:
1. It gave credibility to the threats issued by Iranian military chiefs last week regarding free passage in the Strait of Hormuz and Western sanctions:
On Dec. 29, Navy commander Adm. Habibollah Sayari said it was "really easy" for Iran's armed forces to shut the strait, adding "But today, we don't need [to shut] the strait because we have the Sea of Oman under control and can control the transit."
The next day, Deputy Commander of the Revolutionary Guards Gen. Hossein Salami said the United States was not in a position to tell Tehran "what to do in the Strait of Hormuz. Any threat will be responded to by threat… We will not relinquish our strategic moves if Iran's vital interests are undermined by any means."
2. For Tehran, closing the vital waterway to international traffic without firing a shot – even for a few hours – served to rebut the warning given by US Fifth Fleet spokeswoman Lt. Rebecca Rebarich on Dec. 29. She said: "Anyone who threatens to disrupt freedom of navigation in an international strait is clearly outside the community of nations: any disruption will not be tolerated."
It also addressed the dispatch of the USS John C. Stennis aircraft carrier through the strait into the Sea of Oman in proximity to Iran's ten-day Velayati 90 naval drill. The Stennis, accompanied only by a single destroyer, demonstrated US confidence in its military muscle against any Iranian threat.
As the Stennis passed through the big US air base at al-Udeid, Qatar, went on high alert.
3. Tehran did not explain why its war game, designated in advance a display of Iranian naval and air control of the Strait of Hormuz and the Sea of Oman, suddenly morphed into a ballistic missile test; nor its postponement.
DEBKAfile's military sources report that the Iranians were in fact sending a message to the Gulf rulers and the US bases on their soil that they would not escape missile retaliation for a possible US or Israel attack on the Islamic Republic's nuclear facilities or harsh sanctions.
 


"Kwa takwimu hizi za jujuu basi IRAN inaweza kuwasumbua maadui zake"

Iran Military Strength


Iran Military Strength Detail by the numbers.
12


Record Last Updated: 6/30/2011 | Authored by Staff Writer

iran.jpg
icon-soldiers.gif
PERSONNEL

Total Population: 77,891,220 [2011]
Available Manpower: 46,247,556 [2011]
Fit for Service: 39,556,497 [2011]
Of Military Age: 1,392,483 [2011]
Active Military: 545,000 [2011]
Active Reserve: 650,000 [2011]


icon-army.gif
LAND ARMY

Total Land Weapons: 12,393
Tanks: 1,793 [2011]
APCs / IFVs: 1,560 [2011]
Towed Artillery: 1,575 [2011]
SPGs: 865 [2011]
MLRSs: 200 [2011]
Mortars: 5,000 [2011]
AT Weapons: 1,400 [2011]
AA Weapons: 1,701 [2011]
Logistical Vehicles: 12,000

icon-aircraft.gif
AIR POWER

Total Aircraft: 1,030 [2011]
Helicopters: 357 [2011]
Serviceable Airports: 319 [2011]


icon-oil.gif
RESOURCES

Oil Production: 4,172,000 bbl/Day[2011]
Oil Consumption: 1,809,000 bbl/Day[2011]
Proven Reserves: 137,600,000,000 bbl/Day [2011]

Sources: US Library of Congress; Central Intelligence Agency




icon-logistical.gif
LOGISTICAL

Labor Force: 25,700,000 [2011]
Roadway Coverage: 172,927 km
Railway Coverage: 8,442 km

icon-financial.gif
FINANCIAL (USD)

Defense Budget: $9,174,000,000[2011]
Reserves of Foreign Exchange & Gold: $75,060,000,000 [2011]
Purchasing Power:$818,700,000,000 [2011]

icon-geography.gif
GEOGRAPHIC

Waterways: 850 km
Coastline: 2,440 km
Square Land Area: 1,648,195 km
Shared Border: 5,440 km


icon-ships.gif
NAVAL POWER

Total Navy Ships: 261
Merchant Marine Strength: 74[2011]
Major Ports & Terminals: 3
Aircraft Carriers: 0 [2011]
Destroyers: 3 [2011]
Submarines: 19 [2011]
Frigates: 5 [2011]
Patrol Craft: 198 [2011]
Mine Warfare Craft: 7 [2011]
Amphibious Assault Craft: 26 [2011]

Ndugu yangu, hizi takwimu zina udadisi mwafaka, lakini Iran, wanafaa wajitumbikize katika kumbukumbu za histora wakati wa vita vya dunia pili, jinsi ambavyou wajapan walivyofanya peral harbour na jinzi walivyodingiliwa huko hiroshima na nagasaki. Waarabu wa Iran Wasione simba amechuchumaa akawa mfupi, wakadhani ni paka.
 


"Kwa takwimu hizi za jujuu basi IRAN inaweza kuwasumbua maadui zake"

Iran Military Strength


Iran Military Strength Detail by the numbers.
12


Record Last Updated: 6/30/2011 | Authored by Staff Writer

iran.jpg
icon-soldiers.gif
PERSONNEL

Total Population: 77,891,220 [2011]
Available Manpower: 46,247,556 [2011]
Fit for Service: 39,556,497 [2011]
Of Military Age: 1,392,483 [2011]
Active Military: 545,000 [2011]
Active Reserve: 650,000 [2011]


icon-army.gif
LAND ARMY

Total Land Weapons: 12,393
Tanks: 1,793 [2011]
APCs / IFVs: 1,560 [2011]
Towed Artillery: 1,575 [2011]
SPGs: 865 [2011]
MLRSs: 200 [2011]
Mortars: 5,000 [2011]
AT Weapons: 1,400 [2011]
AA Weapons: 1,701 [2011]
Logistical Vehicles: 12,000

icon-aircraft.gif
AIR POWER

Total Aircraft: 1,030 [2011]
Helicopters: 357 [2011]
Serviceable Airports: 319 [2011]


icon-oil.gif
RESOURCES

Oil Production: 4,172,000 bbl/Day[2011]
Oil Consumption: 1,809,000 bbl/Day[2011]
Proven Reserves: 137,600,000,000 bbl/Day [2011]

Sources: US Library of Congress; Central Intelligence Agency




icon-logistical.gif
LOGISTICAL

Labor Force: 25,700,000 [2011]
Roadway Coverage: 172,927 km
Railway Coverage: 8,442 km

icon-financial.gif
FINANCIAL (USD)

Defense Budget: $9,174,000,000[2011]
Reserves of Foreign Exchange & Gold: $75,060,000,000 [2011]
Purchasing Power:$818,700,000,000 [2011]

icon-geography.gif
GEOGRAPHIC

Waterways: 850 km
Coastline: 2,440 km
Square Land Area: 1,648,195 km
Shared Border: 5,440 km


icon-ships.gif
NAVAL POWER

Total Navy Ships: 261
Merchant Marine Strength: 74[2011]
Major Ports & Terminals: 3
Aircraft Carriers: 0 [2011]
Destroyers: 3 [2011]
Submarines: 19 [2011]
Frigates: 5 [2011]
Patrol Craft: 198 [2011]
Mine Warfare Craft: 7 [2011]
Amphibious Assault Craft: 26 [2011]

Ndugu yangu, hizi takwimu zina udadisi mwafaka, lakini Iran, wanafaa wajitumbikize katika kumbukumbu za histora wakati wa vita vya dunia vya pili, jinsi ambavyo wajapan walivyofanya peral harbour na jinzi walivyodingiliwa huko hiroshima na nagasaki. Waarabu wa Iran Wasione simba amechuchumaa akawa mfupi, wakadhani ni paka.
 


"Kwa takwimu hizi za jujuu basi IRAN inaweza kuwasumbua maadui zake"

Iran Military Strength


Iran Military Strength Detail by the numbers.
12


Record Last Updated: 6/30/2011 | Authored by Staff Writer

iran.jpg
icon-soldiers.gif
PERSONNEL

Total Population: 77,891,220 [2011]
Available Manpower: 46,247,556 [2011]
Fit for Service: 39,556,497 [2011]
Of Military Age: 1,392,483 [2011]
Active Military: 545,000 [2011]
Active Reserve: 650,000 [2011]


icon-army.gif
LAND ARMY

Total Land Weapons: 12,393
Tanks: 1,793 [2011]
APCs / IFVs: 1,560 [2011]
Towed Artillery: 1,575 [2011]
SPGs: 865 [2011]
MLRSs: 200 [2011]
Mortars: 5,000 [2011]
AT Weapons: 1,400 [2011]
AA Weapons: 1,701 [2011]
Logistical Vehicles: 12,000

icon-aircraft.gif
AIR POWER

Total Aircraft: 1,030 [2011]
Helicopters: 357 [2011]
Serviceable Airports: 319 [2011]


icon-oil.gif
RESOURCES

Oil Production: 4,172,000 bbl/Day[2011]
Oil Consumption: 1,809,000 bbl/Day[2011]
Proven Reserves: 137,600,000,000 bbl/Day [2011]

Sources: US Library of Congress; Central Intelligence Agency




icon-logistical.gif
LOGISTICAL

Labor Force: 25,700,000 [2011]
Roadway Coverage: 172,927 km
Railway Coverage: 8,442 km

icon-financial.gif
FINANCIAL (USD)

Defense Budget: $9,174,000,000[2011]
Reserves of Foreign Exchange & Gold: $75,060,000,000 [2011]
Purchasing Power:$818,700,000,000 [2011]

icon-geography.gif
GEOGRAPHIC

Waterways: 850 km
Coastline: 2,440 km
Square Land Area: 1,648,195 km
Shared Border: 5,440 km


icon-ships.gif
NAVAL POWER

Total Navy Ships: 261
Merchant Marine Strength: 74[2011]
Major Ports & Terminals: 3
Aircraft Carriers: 0 [2011]
Destroyers: 3 [2011]
Submarines: 19 [2011]
Frigates: 5 [2011]
Patrol Craft: 198 [2011]
Mine Warfare Craft: 7 [2011]
Amphibious Assault Craft: 26 [2011]

Ndugu yangu, hizi takwimu zina udadisi mwafaka, lakini Iran, wanafaa wajitumbikize katika kumbukumbu za histora wakati wa vita vya dunia vya pili, jinsi ambavyo wajapan walivyofanya peral harbour na jinsii walivyodinguliwa huko hiroshima na nagasaki. Waarabu wa Iran Wasione simba amechuchumaa akawa mfupi, wakadhani ni paka.
 
Mkuu wauaji wa Palestina wakubwa alikuwa King Hussein wa Jordan wakati alidai wakimbizi wa kipalestina wanahujumu utawala wake alitumia vifaru kuangamiza maelfu kwa maelufu watu waliokuwa hawana siraha.Tatizo la mwarabu akiua waraarabu wenzake linaonekana kosa dogo lakini Yaudi akiwa waarabu yaani wapelestina kidogo basi waarabu na wafuasi wao watahamaki sana.Udharimu ni udharimu kwa yeyote anayefanya hivyo.

...................... Mwarabu akiua waarabu linaonekana kosa dogo, lakini Yahudi akiua Waarabu, yaaani Wapalestina kidogo, .......... baas ! Waarabu na wafuasi wao watahamaki sana.
Tehe.......... tehee .......... tihii ........ tohooo ! yaaani ujengaji mwingine wa hoja ! hakuna ushirikiano kabisa wa kichwa, akili, na hata moyo ! :shock::scared::scared:
 
Mmmh hoja zinazotawaliwa na mapenzi zinakuwa na matatizo sana,hivi dunia hii ni wapalestina pekee ndiyo wanadhulumiwa haki zao ? Vipi wakurd ? Vipi watu wa sahara magharibi ? etc,lakini ni kwanini dunia nzima imewapa mgongo wengine wenye shida kubwa kuliko hata wapalestina na kushupalia palestina ambayo kimsingi hakuna matatizo kwani wapalestina matatizo yao kwa kiasi kikubwa ni ya kujitakia.
.............. hebu tujuze Wapalestine walijitakiaje matatizo !!?
 
Back
Top Bottom