Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,244
- 113,628
I woke up looking forward to football Sunday [NFL].
But then my Sunday got ruined and now I’m pissed off.
Pissed off because I’m not enjoying the slate of games that I was so looking forward to watching all day long.
Also pissed off because I finally saw the video in which a young compatriot was murdered in cold blood.
What did that young man do to deserve that?
Naunga mkono harakati za Wapalestina dhidi ya utawala wa mabavu wa Israel.
Lakini ughaidi wa Hamas, hususan dhidi ya raia wasio na hatia yoyote ile, siuungi mkono kabisa. Ninaulaani kwa nguvu zangu zote.
Baada ya kujitokeza kwa video ya mauaji ya kijana wetu huyo Kitanzania, nategemea serikali itatoa tamko kali sana la kulaani mauaji hayo.
Kinyume na hapo, itakuwa ni sawa na kuunga mkono ughaidi wa Hamas ambao umeua watoto wetu. Na hiyo haitokubalika hata kidogo.
Hamas ni lazima walaaniwe na walipe kwa walichomfanyia huyo kijana wetu.
Fcuk Hamas.
But then my Sunday got ruined and now I’m pissed off.
Pissed off because I’m not enjoying the slate of games that I was so looking forward to watching all day long.
Also pissed off because I finally saw the video in which a young compatriot was murdered in cold blood.
What did that young man do to deserve that?
Naunga mkono harakati za Wapalestina dhidi ya utawala wa mabavu wa Israel.
Lakini ughaidi wa Hamas, hususan dhidi ya raia wasio na hatia yoyote ile, siuungi mkono kabisa. Ninaulaani kwa nguvu zangu zote.
Baada ya kujitokeza kwa video ya mauaji ya kijana wetu huyo Kitanzania, nategemea serikali itatoa tamko kali sana la kulaani mauaji hayo.
Kinyume na hapo, itakuwa ni sawa na kuunga mkono ughaidi wa Hamas ambao umeua watoto wetu. Na hiyo haitokubalika hata kidogo.
Hamas ni lazima walaaniwe na walipe kwa walichomfanyia huyo kijana wetu.
Fcuk Hamas.