Two Kenyan men wed in London

Ina maana jamaa walikuwa na usongo wakafungua mlango kabla ya Waingereza wenyewe au vipi?

Hapa kuna homophobia pamoja na utamaduni wa machismo ya ajabu.Jamaa hawajaingia kwenye anga zangu na wala mimi sijaingia kwenye anga zao.Poa kivyao na mimi poa kivyangu. Hivi kama baadaye mashoga ndiyo wanakuwa majority halafu wakianza kuku discriminate wewe kwa sababu wewe ni minority (straight) utajisikiaje? Hii ni sawa na kum hate mtu kwa sababu anapenda vanilla on his ice cream na wewe unapenda chocolate, kama hajakulazimisha kula utam-mind kwa misingi gani? Kila mtu kivyake. Nchi za watu wote nyie wenye homophobia mnapewa diversity class ya mwezi mmoja kwa matamshi ya kibaguzi.

Halafu watu hao hao wanao discriminate gays kwa basis ya sexual preference wakiwa discriminated against on basis of color watajisikia vibaya? Ubaguzi, katika context hii, ni ubaguzi tu.

Hizi outrage nyingine nafikiri tunaprotest too much, which says so much about our very own insecurities with the subject.


Well said BLURAY!...Kila mtu na maisha yake sioni sababu yeyote ya mtu kusema ooh kinyaa!....kuna wengine wanajidai kinyaa na usikute ni bisexual (on the down low).....Mtu ametokea kuwa Gay unataka afanye nini ajiue/anjinyonge au umpigie risasi as long as they don't envade your privacy what do you care....kila mtu na maisha yake kwa kweli...

Hongereni saana tuu Ngengi na Chege....i wish you happy marriage....
 
Two Kenyan men wed in London

Two Kenyan men on Saturday became the first gay couple to wed in London. Charles Ngengi, 40 and his bride, Daniel Chege Gichia, 39, became civil partners under the controversial Civil Partnership Act which came into effect in the UK in 2005 allowing couples of the same sex to have legal recognition of their relationship.

The couple tied the knot at a civil partnership ceremony at Islington Town Hall in North London at 11.30 a.m. UK time. According to the Act, a civil partnership is defined as a legal marriage between gay and lesbian couples, and any couples who enter into a civil partnership obtain the new legal status of civil partners, instead of the traditional husband and wife status.
The 30-minute ceremony witnessed by 50 guests was conducted by the registrar of marriages at Islington Council. Both Ngengi and Chege clad in matching cream suits and black shoes, arrived at Islington Council Town Hall shortly before 11 a.m. driven by a close friend in a Volvo car.

CharlesNgengiwithhisbri.jpg
marriaged couples
After taking the vows witnessed by two close associates, the registrar said: "It gives me great pleasure to officially pronounce you couple civil partners". The couple kissed passionately amid deafening applause from the congregation gathered to witness the reunion.
As curious guests scrambled to have a glimpse of the newly weds' the couple took turns to sign registration documents under the supervision of the registrar. Unlike in ordinary civil marriages, no form of religious activity is allowed to occur during the process of registering the civil partnership.
Among the guests at the controversial nuptials included Chege's former British husband' David Cleaves, Julius Reuben, a top Tanzanian gay model, a cross-section of the couple's close associates mainly drawn from diverse gay and lesbian communities in London as well-wishers among Kenyan residents in London.
Conspicuously absent from the closely guarded ceremony were family members of both men. After the ceremony, the couple and their guests drove to nearby Alexandra Palace where they posed for their wedding pictures. A lavish civil partnership reception was planned at Safari Bar in North Finchley in North London.
But despite the fun and the glamour accompanying the unusual wedding' not everyone is raising a glass to the happy couple. The marriage has raised a storm among Kenyan residents in the UK who have described it as ‘unnatural and socially unacceptable'.
Sources close to the couple told the Nation in London on Saturday that despite widespread condemnations, the couple was ‘happy and very much in love'. "Chege and Ngengi are in love, and they have decided to ‘publicly declare their love' within the legal framework of this country," said a source who sought anonymity.
Another Kenyan said: "It time the Kenyan community woke up to reality, some of us are gay; Kenyans have to get over it." Last weekend, Chege, who is openly gay and well known among Kenyan migrant community in the UK, was spotted wearing an engagement ring at an upmarket London social function accompanied by Ngengi.
On July 30, the couple was photographed together for the first time in public, along with David Cleaves at Invest in Africa Build Africa – Kenyan Housing Expo held at the Holiday Inn, Regent Park in London.
Pictures of the three men dining among guests at a lavish dinner hosted by Realken International Ltd in collaboration with the Ministry of Housing and the Kenya High Commission in London, which was attend by Soita Shitanda, the minister for housing, and Joseph Muchemi, Kenya High Commissioner in the UK, were posted on a popular London Kenyan website, www.misterseed.com.
Ngengi, who arrived in London from Nairobi in mid-June, had a long-distance relationship with Chege. Sources said the couple are familiar faces in many gay spots in Nairobi. Chege, an auxiliary nurse at a North London hospital, arrived in London in the mid 1990s from his rural village of Gaturi in Murang'a district.
After settling in London, he met and befriended Cleaves at a London gay bar before moving to his affluent Crouch End residence on Cardinal Way, which they renamed Gaturi Towers. Chege enjoyed a long-term openly gay relationship with Cleaves,65, a former printer and a married father of two grown-up children.
In August 2000, the couple made headlines in Kenya after a local daily newspaper published details of their intimate bizarre relationship. Pictures of Chege and Cleaves attending the 2000 Mardi Gras - Gay and Lesbian festival in London stunned Kenyans in a front page story headlined Murang'a boy and his British husband.
 
Nimesma background ya huyo Chegge IKANISIKITISHA SANA MAANA sikuweza kuelewa kama ni umasikini wa familia yake ndio uliomsukuma kuwa gay au basi ni mtu aliamua kuji - orient na kuwa gay.ASSUMING THAT THE TWO MEN DID NOT WANT TO GET MARRIED TO WOMEN... kwani wasingeweza KUENDELEA kukaa walivyo bila kujiiingiza kwenye "ndoa" na kujiaibisha wao na familia zao.Mijibaba ya miaka 39 na 40! SHAME!
 
Well said BLURAY!...Kila mtu na maisha yake sioni sababu yeyote ya mtu kusema ooh kinyaa!....kuna wengine wanajidai kinyaa na usikute ni bisexual (on the down low).....Mtu ametokea kuwa Gay unataka afanye nini ajiue/anjinyonge au umpigie risasi as long as they don't envade your privacy what do you care....kila mtu na maisha yake kwa kweli...

Hongereni saana tuu Ngengi na Chege....i wish you happy marriage....

Kelly, nilitaka niseme kitu lakini for 'conflict of interest' sitasema hapa...nitakuwa biased tu...:cool:
 
Well said BLURAY!...Kila mtu na maisha yake sioni sababu yeyote ya mtu kusema ooh kinyaa!....kuna wengine wanajidai kinyaa na usikute ni bisexual (on the down low).....Mtu ametokea kuwa Gay unataka afanye nini ajiue/anjinyonge au umpigie risasi as long as they don't envade your privacy what do you care....kila mtu na maisha yake kwa kweli...

Hongereni saana tuu Ngengi na Chege....i wish you happy marriage....
mmh mama na wewe mwanachama nini ki TiGo?
 
Kila m2 na lyf styl yake hamna noma, ili mradi 2naamka 2ko dede... shauri zao wanaoolewa!!
 
Translation: English » Swahili

Imekuwa ya harusi ya majadiliano ya wiki mjini London kati ya Kenya jamii. Ya harusi ya Mheshimiwa Daniel Chege Gichia, 39, ambaye Wed Charles Ngengi, 40, mjini London jumamosi tarehe 17 Oktoba, 2009. Ni gay Kenyan kwanza harusi nchini Uingereza ambapo washirika wote ni kutoka Wakenya. A timu ya kuhusu watu 20 ikiwa ni pamoja na wageni aliwasili saa saa Islington Ofisi ya Msajili wa Baraza, Islington Town Hall, London Kaskazini saa 11:30. Bridal bestod ya chama Wamama Kenya mbili na mbili ya watu wa Kenya ambayo mmoja alikuwa flown kutoka Uholanzi kwa ajili ya harusi. Kulikuwa na maelekezo kali sana juu ya vyombo vya habari. The press watu walikuwa alikanusha kuingia ofisi ya msajili na hata baadaye kulikuwa na joto hoja waandishi wanaume ambapo chama bridal alisisitiza kwamba vyombo vya wanaume wanapaswa kuondoka lakini hawakuwa na uwezo wa kufanya hivyo kama ilivyokuwa katika mahali umma. Baada ya harusi ya dygnet sherehe ikifuatiwa Kaskazini London saa Safari Bar, 975 High Road, North Finchley. Wapatao 100 guests walihudhuria dygnet. Kulikuwa na mvutano katika dygnet kama baadhi ya timu ya usalama kufukuzwa baadhi cameramen kuogopa kwamba habari na photos ingekuwa nchi ndani Kenya magazeti. Miongoni mwa wageni ambao walihudhuria harusi alikuwa mwanamke mwenye umri wa Kenya sasa kutembelea escorted Uingereza ambaye alikuwa na binti zake watatu wa harusi. Baada ya kushuhudia kile kilichojitokeza zamani mwanamke alikuwa na haya kusema: "Ngai ûroigire ûndehe rûraya nyone maûndû maya moru ta itanakua. NIKI Hihi? Nîkio Kana airîtu ayaṃ aitû maraga athuri? (Jinsi Mungu kuruhusiwa kuja kwangu kuja juu na Uingereza kuona mambo kama hayo. nini? Je, hii ni nini na kusababisha wasichana wetu si kuolewa?) ni "tamaa lady commented
babu acha bangi,hiyo google translation kwa kiswahili msala mtupu maana sijui kama inaeleweka
 
Wee mwenyewe tunajua ni GayVana aka Governor wa Magay wa Kiislamu. Vinginevyo huo ni mchezo wa kuigiza tu. Jamaa wanatafuta makaratasi hao.
hata mie nadhani karatasi hapo maana kuna mahali nimeona jamaa kaingia U.K juni,na huyo mkewe alikua ameachika na nadhani ana hali mbaya,inawezekana biashara,jamaa arekebishe atambae,si ajabu maana huyo shoga history yake inasikitisha
 
Kelly, nilitaka niseme kitu lakini for 'conflict of interest' sitasema hapa...nitakuwa biased tu...:cool:


sema tuu Kaizer!.....hii ni discusion forum kila mtu yupo entitled kusema anavyotaka yeye....

P:S
Alafu umesharudi vacation nini?....welcome back baba watoto
 
Hata kama kila mtu na maisha yake lakini hii ya kuwa gay ni laana jamani khaaaa!! Sipati picha mwanaume mzima na akili yake kummega mwanaume mwenzake. Inasikitisha haswaaaaaaaaa!!!!.
 
Hata kama kila mtu na maisha yake lakini hii ya kuwa gay ni laana jamani khaaaa!! Sipati picha mwanaume mzima na akili yake kummega mwanaume mwenzake. Inasikitisha haswaaaaaaaaa!!!!.

Vipi wanawake kwa wanawake?
 
Vipi wanawake kwa wanawake?

Hata lesbian nao ni laana tu, mwanamke mwenye hisia kamili za kimapenzi utapata raha gani toka kwa mwanamke mwenzio!! Hawa watu somethings wrong kwenye brain zao.
 
Yaani wakuu dunia imekwisha, waafrika tumefikishwa huko lo!

Tumejifikisha wenyewe kwa akili zetu za kuiga. Baadhi ya waafrika wanafikiri kila kitu ni cha kuiga kutoka kwa wazungu.Vingine wala si vya kuiga ni kudharau na kufuata tamaduni zetu.
 
Oh Lord Jesus Christ, let your mercy and favor be on us. Let these two wicked fellow african discover your love, and call them come to repentance for your love sake.

My brothers, it is not too late to follow the nature provided by God;
Male -> Female or Female < - Male, and not Male -- Male, nor Female <> Female.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom