Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Let's assume kwamba alichosema ni chaka, Je wao wamekuwa polisi wa mitandaoni kuwapangia watu waandike nini na wasome nini? No wonder kizazi cha social media kimejaa cry babies.Cha ajabu ni kwamba,alichokisema wala sio uongo ni kitu ambacho ni fact hata dactari wa mwaka wa kwanza chuo anajua watoto wako na lower risk ya maambukizi b'se bado wanadevelop kinga ya mwili.Tatizo alichosema Trump haki fit kwenye narrative zao maliberali..
Social media majukwaa ya watu kubadilishana taarifa na mawazo. Sio kazi yao kudanya upolisi mitandaoni.
BTW kuna madaktari walikuwa na kikao Washington wakaja na Azimio kuwa dawa ya Covid ipo. Wameifuta hiyo video kila mahali. Hii inapiga kelele huu ya agenda waliyo nayo hawa watu. Deeper and far reaching conspiracy