TWIST: Wanajiteka, Wanasingizia, Wanaogofya, Wanatisha

TWIST: Wanajiteka, Wanasingizia, Wanaogofya, Wanatisha

Non sense

Nothing make sense hapo

Mtake msitake Bashite & Makomeo ndio tatizo kubwa la kila kitu kwa sasa

Hivi kwa akili zenu nduchu mnafikiri hiki kizazi cha sasa hivi ni kama kile cha zamani

Poleni sana,mkajipange upya
 
Mimi ni miongoni wa Watu wasiomuunga mkono tena Makonda, haswa baada ya kumuweka kina Wema ndani kwa sababu ambazo sijaridhika nazo kabisa (mimi kama mimi) zaidi ya kuona ni matumizi mabaya tu ya Madaraka...na hata akitumbuliwa leo nitakuwa miongoni mwa washangiliaji.

Ila kwa hili la kutekwa Roma limenipa sintofahamu kubwa sana tu...tangu awali nilihoji Roma atekwe kwa lipi? hakuna hoja zozote za maana zilizowahi kuelezwa zaidi ya ushabiki tu uliokosa mashiko.

Inawezekana Roma hajui kilichoendelea, kama ndivyo basi pole yake kwana walioratibu wameamua kumtoa tu kafara.

Tuna jamii ya Watu wenye uwezo mdogo sana wa reasoning, tumebaki kuwa mashabiki tu na kujitoa akili...no wonder tuna jamii zinazokurupuka na kudhuriana kwa visingizio kama uchawi, au anaibuka Mtu anasema anatibu kwa kikombe na nchi nzima inahamia Loliondo.

Nilimuunga mkono Nape kwa hatua aliyokuwa anajaribu kuchukua na kuishia kupoteza Uwaziri, ila napata mashaka kuendelea kumuunga mkono kwa haya anayojaribu kuyaendeleza kwa sasa....kuongelea swala la Roma kabla hata ya kumsikia yeye mwenyewe anasema nini juu ya kilichomtokea, au kusubiri uchunguzi wa kipolisi imenipotezea imani kabisa kujua ni nini haswa lengo la Mh Nape.
 
bahati nzuri ama mbaya ni ids zile zile za Lumumba,Nape nae pale Protea alikuwa anataka kujiteka?!

Dr. Ulimboka nae alijiteka,akajing'oa meno na kucha kwa plies mwenyewe?!

Bensaanane nae alijiteka na hadi leo anaendelea kujiteka huku polisi wakishindwa hata kutafuta mawasiliano yake na mara ya mwisho mnara ulisoma yupo wapi?!

Wakina Bashe,Msukuma na Malima waliripotiwa kutekwa Dodoma (kwani waliwekwa kizuizini bila ya kosa) kwa kutumia mitutu,kumbe nao walikuwa wanajiteka ili wasihudhurie vikao vya chama!!

Taifa linafanywa la kipumbavu,la kujaza propaganda ili kutisha na kusaidia utawala mfu!!
Mwangosi alijipiga bomu pale Iringa, Mawazo alijipiga mapanga, Mbwambo alijipiga mapanga ..............

Hawa vijana wa Lumumba wana kera sana
 
Aisee kuna Wa Tz wana akili za ajabu. Kina Roma walijiteka eh? Na wale waliookotwa kwenye mifuki Mto Rufiji wakiwa maiti walijiteka wakajiua wakajifungia kwenye mifuko wakajitupa mtoni sio?
 
Aisee kuna Wa Tz wana akili za ajabu. Kina Roma walijiteka eh? Na wale waliookotwa kwenye mifuki Mto Rufiji wakiwa maiti walijiteka wakajiua wakajifungia kwenye mifuko wakajitupa mtoni sio?
Tehe tehe tehe nacheka kama mazuri

Tatizo lao wanafikiri watanzania Wa sasa hivi hawana akili kama wao
 
Kinacho nishangaza

Watumiaji wa mitandao

Mnawasema vibaya saaana viongozi wa kitaifa

Mkapa
Alisemwa saana kuwa kauza nchi kwa mabeberu

Kikwete
Yaani alisemwa hadi mimi nilishindwa kuvumilia ingawa sikuwa nasemwa mimi

Magufuli
Hata miaka miwili hajamaliza yaani anasemwa mpaka huwa nalia peke yangu

Leo mtu anaokota au kununuliwa simu yenye mtandao na anaanza kumtukana Raisi

Jueni kuwa Raisi anayetawala amepewa mamlaka hiyo na wananchi, kumtukana yeye ni kama unawatukana wananchi
Yaani unajitukana mwenyewe

Kama Raisi hajakuridhisha basi muda wake ukiisha usimpigie kura

Ndo dawa

Kumtukana au kumkashifu ni kosa na siyo njia sahihi ya kumshauri

Kama amekosea ni vema kumshauri kwa busara, kama hataki ushauri usimlazimishe, katiba inampa mamlaka ya kukataa ushauri wako

Ivi mnataka Raisi afanye kazi zake kwa miongozo ya posti za Wasap, facebook, jamiiforum, twitter, instagram, mabro, udaku, au umbeya wa mtaani ?

Wekeni basi kwenye katiba kuwa vyombo hivyo vimwongoze Raisi ili avisikilize na kuvifuata

Mchagueni basi huyo mnayetaka awe Raisi wenu ili awaongoze, katika uchaguzi ujao

Hiki kipindi Raisi ni Magufuli, ingawa hata mimi ameniudhi kwa kuto kuongeza mshahala wa wafanyakazi mwaka uliopita lakini nalazimika kumheshimu

Inawezekana ana maana ambayo mimi bado siijui

Kama mnataka raisi wenu awe Lowasa, au Lissu, au Mbowe, au Lipumba, au Zitto, au Gwajima au Mange Kimambi, au Ney wa Mitego si mumuchague uchaguzi ujao ?

Kama ni hasira ya vyeti feki, serikari imeshasema kama uliyetumbuliwa kwa makosa, apeleke vyeti vyake arudishwe kazini.

Kama mna hasira na Makonda RC wa Dar, mwachieni Raisi atamtumbua kwa mda wake anaotaka kwani katiba inamruhusu hivyo. Raisi amesha sikia kilio chenu dhidi ya RC Makonda.

Nape baadae atapewa ukatibu mkuu wa CCM au Uenyekiti au Uwaziri ni swala la muda tu CCM bado inamuhitaji.

Hebu muheshimuni Raisi wetu mnamzungumzia sana ki uasi hadi mnakera

Mbona sisi tulio mchagua hatusemi, tunamshauri kwa hekima na anatusikiliza.wengi wenu hata kura hampigi kazi yenu ni kufuata mkumbo tu.

Kwa dhati kabisa nawaomba radhi kama ndugu zangu. Ila nawaasa watanzania wenzangu muwe na staha katika kumshauri Raisi wetu.

Raisi si malaika ni kama wewe tu, ivi sheria inayosema, anayekosea apigwe mawe hadi kufa, ivi wewe ungekuwepo hai kama sheria hiyo ingefanya kazi ?

Tumieni busara mnapokosoa viongozi wenu.

Samahanini niliowakosea
 
Winston Churchill again:No one pretends that democracy is perfect or all-wise.Indeed.it has been said that democracy is the worst form of government except all those other forms that have been tried from time to time.
 
Kuna Kundi limekaa na kuratibu hizi movies kwa umakini sana kuwa rais

1. Achukiwe
2. Asiweze kutawala
3. Asifikie Lengo lake
4. Apoteze umaarufu

Hili Kundi ni wale waliotarajiwa

1. Mafia wauza madawa ya kulevya-Kinana tuliza watu wako

2. Kundi shindwa la ugombea urais ( Kundi linahusisha vigogo walikuwemo serikalini kama mawaziri wakuu, mawaziri wa kawaida na kwa siku za karibuni kumekuwa na jitihada za kuwaunganisha wale walioshindwa! vikao vya kuwapatanisha Lowasa na Membe vinaendelea!-Membe na Nape mnajua fika

3. Waharibiwa deal zao za ufisadi, malipo hewa Mengi BOT yamezuiliwa, na sasa issue ya migodi imefufua na itaharibu nchi kuliko kundi la kwanza katika hili wale wa Lugumi akiwamo X IGP wajiangalie

4. Kundi la wabunge ambao ni wafaidika na mfumo wa kundi la tatu na kundi la kwanza na katika hili -spika ajiangalie!

Makundi haya yote yanafanya kazi kwa pamoja na ukaribu mkubwa, moja ya mtu wao ambaye angetumika vizuri kuiweka serikali ya JPM pabaya ni waziri aliyeondolewa siku za karibuni


Nguvu mlizoelekeza kwa Bashite na huu uzushi na kupoteza raia wenzetu kisha tuone serikali mbaya hazikubaliki! najua kabisa na nasimama kuwa sikubaliani na sera nyingi za uchumi wa Magufuli! nazikataa

Ila tuweke hoja mezani na tuache utoto wa kutengeneza movie, hakuna serikali inayopenda eti ionekane mbaya! haipo!

Roma alikamatwa anafanya nini? aliimba wimbo wowote mpya? alikuwa anarekodi wimbo mpya? kwa hiyo serikali ya JPM imkamate Roma na kisha imuachie?? kwa nyimbo zilizoimbwa kipindi cha JK? seriously???? mpuuzi tu mwenye stress za maisha anayetaka kujifariji kwa makosa ya JPM atakayekubaliana na upuuzi huu

Yaani with all these social media, track systems wabunge 11 sijui mtekwe?? hivi BASHE inachukua dakika ngapi wewe kuuawa?? nchi hii hata rais hana ulinzi wa kutisha wa kushindwa kuuawa, mabenki yetu hayana ulinzi wa kutisha kushindwa kuingiliwa!! Bashe mtu akitaka kukuua na kadhamiria unaweza kuuawa na wala hana muda wa kupoteza kukuteka!! acheni zile movie za kiswahili, sasa umelala umepanga....NILIDHANI UNA AKILI SWALA NYETI KAMA HILO SIO LA KUKURUPUKA KUONGEA, meseji uliyotumiwa ina authenticity gani? nani katuma? kama aliyetuma katoa siri so kuongea kwa raia tena bungeni umemsaidiaje mtoa siri?? maana ukibanwa utamsema

acheni kuona kelele, au support ya watu mitandaoni ni base nzuri ya kufanya au kuwehuka, mnapoteza credibilit za uongozi! Nape anajua hivi, japo huwa mnaonaga mna akili kwa sababu ni mawaziri au wabunge, wengi wenu ni vilaza, sisi watu wa kawaida we know system na unatakiwa ufanye nini wakati gani...nyie hamjui!!

na mwenzangu na mie Lema , kweli Ben saanane tunaamka kumtafuta leo baada ya Roma kutekwa???? KUWA HATUNA UPENDO NA BEN SAA NANE NA UPENDO WETU WA MSIMU TU....KUWA SIKU ZOTE HIZI HATUKUONA UMUHIMU WAKUMTAFUTA BEN ILA LEO...???? kuwa asingetekwa Roma basi Ben saa nane alikuwa kapotea?? oneni aibu jamani!! na bila aibu mnachukua statement za Makonda kama basis ( kama amekosea kibinadamu je?)

Lema una vijana wengi wa chadema, ila inatia uchungu siku zote hizi kapotea msaidizi wa mbowe mmekaa kimya, Kubenea kasemaaa...yuko kimya ila LEO NDIO MNAAMKA! yaani BEN SAA NANE HANA TOFAUTI N MCHANGA WA DHAHABU...Ben anaweza kuoza ila mchanga hauozi ule!! so hakuna hoja eti migodi inaingia hasara ( nimechomekea)

Vijana wa chadema mna nguvu ya kukipigania chadema wakati mkipotea hakuna atakayewajali? leo mnaweza kujiita mna akili nyie? Hata mama kichaa wa jalalani anayezalishwa na wahuni bado anatunza mtoto, ila akili hizi hazijafikiwa na mbowe na akina Lissu ambao kwa muda mrefu mmekaa kimya kuhusu Ben saa nane ila leo mnaamka? hivi hizi picha mnamchezea nani?

Inatosha CCM walivyowapumbaza watanzania wengi ambao imethibitika wengi hata wawe wamesoma akili zao ni ndogo ku analyze vitu, watanzania hawa ndio hawa wamejaa mitandaoni, ndio hawa wanaweza kuambiwa hiki na Gwajima leo na kesho wakageuzwa au ni wale wa kuwambiwa lowassa fisadi leo na kesho wakaambiwa alikuwa 'malaika' Inatosha kuchezea watanzania ambao babu na baba zao walipumbazwa na ukoloni, dini za kuletwa na elimu ya kutowawezesha kuwaza nje ya box...Inatosha hawa watanzani hawajielewi ndio hawa leo watamchukia Kikwete na kesho watamshangilia! hawa ndio watanzania mnao wachezea!!

Inahitaji kuwakomboa, kutoka mikono ya CCM, mikono ya elimu mbovu, inatosha jamani kuwachezea watanzania-ni kama CCM imewabaka ( invasion to their brain) watanzania tangu enzi hizo, nyie mnaoonekana wakombozi akina chadema, wachungaji na wabunge mnaendelea kuwabaka watanzania tena kwa nguvu zaidi.....ndio kuchezea akili za watanzania wasiojielewa ni sawa na kuwabaka tu....wengi wana IQ za mtoto wa miaka 10 wa kike...unawadanganya kwa pipi tu, kwa kuleta story za ajabu ajabu

watanzania wamekuwa mazombie na wengi kazi hawafanyi kutaka kuona nini kitatokea katika maswala ambayo wachache wenu mnayatunga

Bashe nimekudharau!! nchi haiongozwi hivyo, wala hero hawi hivyo...hata zile movie za kizungu( kama unazoangaliaga) Hero sio lazima ujulikane leo, hii Nape nae hajui.....unaweza ukabadili na kuzima mambo bila kujulikana na watu wakiwa wanaendelea na shughuli zao! unaweza ukategua bomu lililotegwa chooni uwanja wa taifa wakati mechi inaendelea na watazamaji wako 70, 000 uawanjani..Tukaja kugundua baadae kuwa uikuwa hero, nini kimewapata ??

Nitasimama kusema ukweli haijalishi unamuumiza nani kiasi gani

ila watanzania wengi hamjielewi! poleni endeleeni tu kubakwa kwa kuingiziwa kila taarifa kwenye brain zenu na kwa sababu mna chuki zenu basi wala hamdigest kabisa!! aibu!
Kama ni watu wanamchukia raisi ndio wanafanya mbna hatuoni juhudi za makusudi na haraka kuzima makundi hayo?
 
...post za kibashite hizi....bashite ametengeneza mashoga zake wenye kufaidi pamoja status quo....mleta mada nae ni mmoja wa mashoga zake na bashite....kwa kusoma tu upuuzi kwenye huu uzi huitaji kuambiwa....kama mtu anaweza kufoji vyeti ikaonekana sawa...akavamia kituo cha tv akaonekana sawa....waziri akaingilia kati na kuishia kutimuliwa...watu wakatekwa ikaonekana sawa....kwa haya machache tu kuonekana sawa...ama kufanywa na maadui wa JPM....logic ya kuyatetea kwanini tusiite ni ya kibashite!
 
Kuna Kundi limekaa na kuratibu hizi movies kwa umakini sana kuwa rais

1. Achukiwe
2. Asiweze kutawala
3. Asifikie Lengo lake
4. Apoteze umaarufu

Hili Kundi ni wale waliotarajiwa

1. Mafia wauza madawa ya kulevya-Kinana tuliza watu wako

2. Kundi shindwa la ugombea urais ( Kundi linahusisha vigogo walikuwemo serikalini kama mawaziri wakuu, mawaziri wa kawaida na kwa siku za karibuni kumekuwa na jitihada za kuwaunganisha wale walioshindwa! vikao vya kuwapatanisha Lowasa na Membe vinaendelea!-Membe na Nape mnajua fika

3. Waharibiwa deal zao za ufisadi, malipo hewa Mengi BOT yamezuiliwa, na sasa issue ya migodi imefufua na itaharibu nchi kuliko kundi la kwanza katika hili wale wa Lugumi akiwamo X IGP wajiangalie

4. Kundi la wabunge ambao ni wafaidika na mfumo wa kundi la tatu na kundi la kwanza na katika hili -spika ajiangalie!

Makundi haya yote yanafanya kazi kwa pamoja na ukaribu mkubwa, moja ya mtu wao ambaye angetumika vizuri kuiweka serikali ya JPM pabaya ni waziri aliyeondolewa siku za karibuni


Nguvu mlizoelekeza kwa Bashite na huu uzushi na kupoteza raia wenzetu kisha tuone serikali mbaya hazikubaliki! najua kabisa na nasimama kuwa sikubaliani na sera nyingi za uchumi wa Magufuli! nazikataa

Ila tuweke hoja mezani na tuache utoto wa kutengeneza movie, hakuna serikali inayopenda eti ionekane mbaya! haipo!

Roma alikamatwa anafanya nini? aliimba wimbo wowote mpya? alikuwa anarekodi wimbo mpya? kwa hiyo serikali ya JPM imkamate Roma na kisha imuachie?? kwa nyimbo zilizoimbwa kipindi cha JK? seriously???? mpuuzi tu mwenye stress za maisha anayetaka kujifariji kwa makosa ya JPM atakayekubaliana na upuuzi huu

Yaani with all these social media, track systems wabunge 11 sijui mtekwe?? hivi BASHE inachukua dakika ngapi wewe kuuawa?? nchi hii hata rais hana ulinzi wa kutisha wa kushindwa kuuawa, mabenki yetu hayana ulinzi wa kutisha kushindwa kuingiliwa!! Bashe mtu akitaka kukuua na kadhamiria unaweza kuuawa na wala hana muda wa kupoteza kukuteka!! acheni zile movie za kiswahili, sasa umelala umepanga....NILIDHANI UNA AKILI SWALA NYETI KAMA HILO SIO LA KUKURUPUKA KUONGEA, meseji uliyotumiwa ina authenticity gani? nani katuma? kama aliyetuma katoa siri so kuongea kwa raia tena bungeni umemsaidiaje mtoa siri?? maana ukibanwa utamsema

acheni kuona kelele, au support ya watu mitandaoni ni base nzuri ya kufanya au kuwehuka, mnapoteza credibilit za uongozi! Nape anajua hivi, japo huwa mnaonaga mna akili kwa sababu ni mawaziri au wabunge, wengi wenu ni vilaza, sisi watu wa kawaida we know system na unatakiwa ufanye nini wakati gani...nyie hamjui!!

na mwenzangu na mie Lema , kweli Ben saanane tunaamka kumtafuta leo baada ya Roma kutekwa???? KUWA HATUNA UPENDO NA BEN SAA NANE NA UPENDO WETU WA MSIMU TU....KUWA SIKU ZOTE HIZI HATUKUONA UMUHIMU WAKUMTAFUTA BEN ILA LEO...???? kuwa asingetekwa Roma basi Ben saa nane alikuwa kapotea?? oneni aibu jamani!! na bila aibu mnachukua statement za Makonda kama basis ( kama amekosea kibinadamu je?)

Lema una vijana wengi wa chadema, ila inatia uchungu siku zote hizi kapotea msaidizi wa mbowe mmekaa kimya, Kubenea kasemaaa...yuko kimya ila LEO NDIO MNAAMKA! yaani BEN SAA NANE HANA TOFAUTI N MCHANGA WA DHAHABU...Ben anaweza kuoza ila mchanga hauozi ule!! so hakuna hoja eti migodi inaingia hasara ( nimechomekea)

Vijana wa chadema mna nguvu ya kukipigania chadema wakati mkipotea hakuna atakayewajali? leo mnaweza kujiita mna akili nyie? Hata mama kichaa wa jalalani anayezalishwa na wahuni bado anatunza mtoto, ila akili hizi hazijafikiwa na mbowe na akina Lissu ambao kwa muda mrefu mmekaa kimya kuhusu Ben saa nane ila leo mnaamka? hivi hizi picha mnamchezea nani?

Inatosha CCM walivyowapumbaza watanzania wengi ambao imethibitika wengi hata wawe wamesoma akili zao ni ndogo ku analyze vitu, watanzania hawa ndio hawa wamejaa mitandaoni, ndio hawa wanaweza kuambiwa hiki na Gwajima leo na kesho wakageuzwa au ni wale wa kuwambiwa lowassa fisadi leo na kesho wakaambiwa alikuwa 'malaika' Inatosha kuchezea watanzania ambao babu na baba zao walipumbazwa na ukoloni, dini za kuletwa na elimu ya kutowawezesha kuwaza nje ya box...Inatosha hawa watanzani hawajielewi ndio hawa leo watamchukia Kikwete na kesho watamshangilia! hawa ndio watanzania mnao wachezea!!

Inahitaji kuwakomboa, kutoka mikono ya CCM, mikono ya elimu mbovu, inatosha jamani kuwachezea watanzania-ni kama CCM imewabaka ( invasion to their brain) watanzania tangu enzi hizo, nyie mnaoonekana wakombozi akina chadema, wachungaji na wabunge mnaendelea kuwabaka watanzania tena kwa nguvu zaidi.....ndio kuchezea akili za watanzania wasiojielewa ni sawa na kuwabaka tu....wengi wana IQ za mtoto wa miaka 10 wa kike...unawadanganya kwa pipi tu, kwa kuleta story za ajabu ajabu

watanzania wamekuwa mazombie na wengi kazi hawafanyi kutaka kuona nini kitatokea katika maswala ambayo wachache wenu mnayatunga

Bashe nimekudharau!! nchi haiongozwi hivyo, wala hero hawi hivyo...hata zile movie za kizungu( kama unazoangaliaga) Hero sio lazima ujulikane leo, hii Nape nae hajui.....unaweza ukabadili na kuzima mambo bila kujulikana na watu wakiwa wanaendelea na shughuli zao! unaweza ukategua bomu lililotegwa chooni uwanja wa taifa wakati mechi inaendelea na watazamaji wako 70, 000 uawanjani..Tukaja kugundua baadae kuwa uikuwa hero, nini kimewapata ??

Nitasimama kusema ukweli haijalishi unamuumiza nani kiasi gani

ila watanzania wengi hamjielewi! poleni endeleeni tu kubakwa kwa kuingiziwa kila taarifa kwenye brain zenu na kwa sababu mna chuki zenu basi wala hamdigest kabisa!! aibu!
unaweza ukaandika sana lakini ulichoandika chote ni utumbo. Sikatai kua wapinzani wanaweza wakawa na mbinu zao aidha kwa kushirikiana na mawaziri au hata baadhi ya ccm.
Vile vile sipingi kua njia wanazotumia wapinzani zinaweza zikawa na mapungufu mengi na mazingira magumu ukizingatia muktadha wa kutokuruhusu ufanyaji wa shughuli za kisiasa.Hii ni kwa ufupi na kwa upande wa upinzani!

Tuje kwa unawatete wakina Bashite na Bosi wake.Hivi kweli mtu anaweza akajiteka na kujiumiza kisa kumharibia Magufuli?Unajua unachoongea au ndio ushabiki wa kisiasa?Kama rais wako na mtoto wake mpendwa wanajiamini na utendaji uliotukuka kwa nini mikwara ming kwenye vyombo vya habari na kufukuza waziri wa habari alieunda tume kuchunguza uvamiz wa Clouds media?

Sijui Lumumba huwa wanawalipa kiasi gani ila waswahili wanasema, mnyama ni mnyama tu.Hata azaliwe kwenye mazingira ya mwanadamu, apewe kila kitu, lakini siku ikifika tabia zake za kinyama zitajifunua.

Endelea kuwatetea siku ya kikufika utanielewa namaanisha nini!
 
..huyu chizi mleta mada akili zake za kibashite tu..hawa lao moja...wananufaika na status quo ndio maana wanajitoa ufahamu na kutetea visivyowezekana...sana sana hawa ni ku ignore tu....maana ni vichefuchefu...wananuka taka za kibashite.....i mean taka za tupu zao za nyuma....
unaweza ukaandika sana lakini ulichoandika chote ni utumbo. Sikatai kua wapinzani wanaweza wakawa na mbinu zao aidha kwa kushirikiana na mawaziri au hata baadhi ya ccm.
Vile vile sipingi kua njia wanazotumia wapinzani zinaweza zikawa na mapungufu mengi na mazingira magumu ukizingatia muktadha wa kutokuruhusu ufanyaji wa shughuli za kisiasa.Hii ni kwa ufupi na kwa upande wa upinzani!

Tuje kwa unawatete wakina Bashite na Bosi wake.Hivi kweli mtu anaweza akajiteka na kujiumiza kisa kumharibia Magufuli?Unajua unachoongea au ndio ushabiki wa kisiasa?Kama rais wako na mtoto wake mpendwa wanajiamini na utendaji uliotukuka kwa nini mikwara ming kwenye vyombo vya habari na kufukuza waziri wa habari alieunda tume kuchunguza uvamiz wa Clouds media?

Sijui Lumumba huwa wanawalipa kiasi gani ila waswahili wanasema, mnyama ni mnyama tu.Hata azaliwe kwenye mazingira ya mwanadamu, apewe kila kitu, lakini siku ikifika tabia zake za kinyama zitajifunua.

Endelea kuwatetea siku ya kikufika utanielewa namaanisha nini!
 
So Roma na wenzake walijeteka halafu wakajitesa..!!??

Umesikia press conference iliyoisha hivi sasa ya Roma na wenzake??

Mbele ya Waziri Mwakyembe amesema walichukuliwa Wednesday usiku na wakafungwa vitambaa na kupelekwa kusikojulikana na huko ilikuwa ni kupigwa na kuteswa tu mpaka siku ya Ijumaa.

So u want to tell us ni juhudi za Bashite ndio zilizosaidia hawa akina Roma kupatikana juzi jmosi baada ya kuahidi jana yake..??

Don't come here with your very, not only low, but very cheap arguments...

Hawa walitekwa na suspect no 1 ni aliesema atafanya juu chini wapatikane kabla ya jpili.

Uwe na haya na aibu..jaribu kujisitiri kidogo... upo mtupu kabisa..!!

Be genuine
 
Checking...100%
Searching...50%
Downloading...0%

Network connecting !
Near by Uporoto Mbeya.
 
Uncle haya madini ni Noma.
Tukipata watu 10 humu jukwaani model yako vijana wataamka toka usingizini.
Big up man. Natamani tuonane live, anyway
mkuu mimi huwa nna akili ndogo ila yako na mtoa bandiko mmenizidi

yaani umeshindwa hata kukumbuka tukio la juzi la ulimboka vp nae alijiteka?, basi ilo limekuzidi uwezo kumbuka basi la wasomali/watu 8 waliotupwa mtoni

aya hayo yamewashinda kumbuka basi kupotea kwa saa 8 na wanaotupwa ziwani kama viroba

mmekuwa na akili ndogo mpaka nimeogopa
 
Kuna nguvu kubwa kumdidimiza Rais
nacho kilaumu wanatumia mbinu za hovyo kuliangamiza Taifa
na kitu chakushangaza watanzania wengi wamekuwa kama watoto wasio taka kutumia akili zao!
Leo uzushi unakuwa unashupaliwa
watu wanashindwa hata kufanya kazi
kisa uzushi!!

Hawa wauza madawa, Wasuka madili hawata penya
Thanks!
Ukiona hivyo ujue agenda zimeisha. Ninachojifunza ni kuwa Kuna watu ndani ya CCM wanatumia upinzani km back up yao ili kubomoa Utawala uliopo. Lakini amini kuwa
Wameshashindwa na Magu ndio anaongeza kasi zaidi
 
Back
Top Bottom