TWIST: Wanajiteka, Wanasingizia, Wanaogofya, Wanatisha

Waberoya

Platinum Member
Aug 3, 2008
15,169
10,785
Kuna Kundi limekaa na kuratibu hizi movies kwa umakini sana kuwa rais

1. Achukiwe
2. Asiweze kutawala
3. Asifikie Lengo lake
4. Apoteze umaarufu

Hili Kundi ni wale waliotarajiwa

1. Mafia wauza madawa ya kulevya-Kinana tuliza watu wako

2. Kundi shindwa la ugombea urais ( Kundi linahusisha vigogo walikuwemo serikalini kama mawaziri wakuu, mawaziri wa kawaida na kwa siku za karibuni kumekuwa na jitihada za kuwaunganisha wale walioshindwa! vikao vya kuwapatanisha Lowasa na Membe vinaendelea!-Membe na Nape mnajua fika

3. Waharibiwa deal zao za ufisadi, malipo hewa Mengi BOT yamezuiliwa, na sasa issue ya migodi imefufua na itaharibu nchi kuliko kundi la kwanza katika hili wale wa Lugumi akiwamo X IGP wajiangalie

4. Kundi la wabunge ambao ni wafaidika na mfumo wa kundi la tatu na kundi la kwanza na katika hili -spika ajiangalie!

Makundi haya yote yanafanya kazi kwa pamoja na ukaribu mkubwa, moja ya mtu wao ambaye angetumika vizuri kuiweka serikali ya JPM pabaya ni waziri aliyeondolewa siku za karibuni


Nguvu mlizoelekeza kwa Bashite na huu uzushi na kupoteza raia wenzetu kisha tuone serikali mbaya hazikubaliki! najua kabisa na nasimama kuwa sikubaliani na sera nyingi za uchumi wa Magufuli! nazikataa

Ila tuweke hoja mezani na tuache utoto wa kutengeneza movie, hakuna serikali inayopenda eti ionekane mbaya! haipo!

Roma alikamatwa anafanya nini? aliimba wimbo wowote mpya? alikuwa anarekodi wimbo mpya? kwa hiyo serikali ya JPM imkamate Roma na kisha imuachie?? kwa nyimbo zilizoimbwa kipindi cha JK? seriously???? mpuuzi tu mwenye stress za maisha anayetaka kujifariji kwa makosa ya JPM atakayekubaliana na upuuzi huu

Yaani with all these social media, track systems wabunge 11 sijui mtekwe?? hivi BASHE inachukua dakika ngapi wewe kuuawa?? nchi hii hata rais hana ulinzi wa kutisha wa kushindwa kuuawa, mabenki yetu hayana ulinzi wa kutisha kushindwa kuingiliwa!! Bashe mtu akitaka kukuua na kadhamiria unaweza kuuawa na wala hana muda wa kupoteza kukuteka!! acheni zile movie za kiswahili, sasa umelala umepanga....NILIDHANI UNA AKILI SWALA NYETI KAMA HILO SIO LA KUKURUPUKA KUONGEA, meseji uliyotumiwa ina authenticity gani? nani katuma? kama aliyetuma katoa siri so kuongea kwa raia tena bungeni umemsaidiaje mtoa siri?? maana ukibanwa utamsema

acheni kuona kelele, au support ya watu mitandaoni ni base nzuri ya kufanya au kuwehuka, mnapoteza credibilit za uongozi! Nape anajua hivi, japo huwa mnaonaga mna akili kwa sababu ni mawaziri au wabunge, wengi wenu ni vilaza, sisi watu wa kawaida we know system na unatakiwa ufanye nini wakati gani...nyie hamjui!!

na mwenzangu na mie Lema , kweli Ben saanane tunaamka kumtafuta leo baada ya Roma kutekwa???? KUWA HATUNA UPENDO NA BEN SAA NANE NA UPENDO WETU WA MSIMU TU....KUWA SIKU ZOTE HIZI HATUKUONA UMUHIMU WAKUMTAFUTA BEN ILA LEO...???? kuwa asingetekwa Roma basi Ben saa nane alikuwa kapotea?? oneni aibu jamani!! na bila aibu mnachukua statement za Makonda kama basis ( kama amekosea kibinadamu je?)

Lema una vijana wengi wa chadema, ila inatia uchungu siku zote hizi kapotea msaidizi wa mbowe mmekaa kimya, Kubenea kasemaaa...yuko kimya ila LEO NDIO MNAAMKA! yaani BEN SAA NANE HANA TOFAUTI N MCHANGA WA DHAHABU...Ben anaweza kuoza ila mchanga hauozi ule!! so hakuna hoja eti migodi inaingia hasara ( nimechomekea)

Vijana wa chadema mna nguvu ya kukipigania chadema wakati mkipotea hakuna atakayewajali? leo mnaweza kujiita mna akili nyie? Hata mama kichaa wa jalalani anayezalishwa na wahuni bado anatunza mtoto, ila akili hizi hazijafikiwa na mbowe na akina Lissu ambao kwa muda mrefu mmekaa kimya kuhusu Ben saa nane ila leo mnaamka? hivi hizi picha mnamchezea nani?

Inatosha CCM walivyowapumbaza watanzania wengi ambao imethibitika wengi hata wawe wamesoma akili zao ni ndogo ku analyze vitu, watanzania hawa ndio hawa wamejaa mitandaoni, ndio hawa wanaweza kuambiwa hiki na Gwajima leo na kesho wakageuzwa au ni wale wa kuwambiwa lowassa fisadi leo na kesho wakaambiwa alikuwa 'malaika' Inatosha kuchezea watanzania ambao babu na baba zao walipumbazwa na ukoloni, dini za kuletwa na elimu ya kutowawezesha kuwaza nje ya box...Inatosha hawa watanzani hawajielewi ndio hawa leo watamchukia Kikwete na kesho watamshangilia! hawa ndio watanzania mnao wachezea!!

Inahitaji kuwakomboa, kutoka mikono ya CCM, mikono ya elimu mbovu, inatosha jamani kuwachezea watanzania-ni kama CCM imewabaka ( invasion to their brain) watanzania tangu enzi hizo, nyie mnaoonekana wakombozi akina chadema, wachungaji na wabunge mnaendelea kuwabaka watanzania tena kwa nguvu zaidi.....ndio kuchezea akili za watanzania wasiojielewa ni sawa na kuwabaka tu....wengi wana IQ za mtoto wa miaka 10 wa kike...unawadanganya kwa pipi tu, kwa kuleta story za ajabu ajabu

watanzania wamekuwa mazombie na wengi kazi hawafanyi kutaka kuona nini kitatokea katika maswala ambayo wachache wenu mnayatunga

Bashe nimekudharau!! nchi haiongozwi hivyo, wala hero hawi hivyo...hata zile movie za kizungu( kama unazoangaliaga) Hero sio lazima ujulikane leo, hii Nape nae hajui.....unaweza ukabadili na kuzima mambo bila kujulikana na watu wakiwa wanaendelea na shughuli zao! unaweza ukategua bomu lililotegwa chooni uwanja wa taifa wakati mechi inaendelea na watazamaji wako 70, 000 uawanjani..Tukaja kugundua baadae kuwa uikuwa hero, nini kimewapata ??

Nitasimama kusema ukweli haijalishi unamuumiza nani kiasi gani

ila watanzania wengi hamjielewi! poleni endeleeni tu kubakwa kwa kuingiziwa kila taarifa kwenye brain zenu na kwa sababu mna chuki zenu basi wala hamdigest kabisa!! aibu!
 
So Roma na wenzake walijeteka halafu wakajitesa..!!??

Umesikia press conference iliyoisha hivi sasa ya Roma na wenzake??

Mbele ya Waziri Mwakyembe amesema walichukuliwa Wednesday usiku na wakafungwa vitambaa na kupelekwa kusikojulikana na huko ilikuwa ni kupigwa na kuteswa tu mpaka siku ya Ijumaa.

So u want to tell us ni juhudi za Bashite ndio zilizosaidia hawa akina Roma kupatikana juzi jmosi baada ya kuahidi jana yake..??

Don't come here with your very, not only low, but very cheap arguments...

Hawa walitekwa na suspect no 1 ni aliesema atafanya juu chini wapatikane kabla ya jpili.

Uwe na haya na aibu..jaribu kujisitiri kidogo... upo mtupu kabisa..!!
 
Kuna Kundi limekaa na kuratibu hizi movies kwa umakini sana kuwa rais

1. Achukiwe
2. Asiweze kutawala
3. Asifikie Lengo lake
4. Apoteze umaarufu

Hili Kundi ni wale waliotarajiwa

1. Mafia wauza madawa ya kulevya-Kinana tuliza watu wako

2. Kundi shindwa la ugombea urais ( Kundi linahusisha vigogo walikuwemo serikalini kama mawaziri wakuu, mawaziri wa kawaida na kwa siku za karibuni kumekuwa na jitihada za kuwaunganisha wale walioshindwa! vikao vya kuwapatanisha Lowasa na Membe vinaendelea!-Membe na Nape mnajua fika

3. Waharibiwa deal zao za ufisadi, malipo hewa Mengi BOT yamezuiliwa, na sasa issue ya migodi imefufua na itaharibu nchi kuliko kundi la kwanza katika hili wale wa Lugumi akiwamo X IGP wajiangalie

4. Kundi la wabunge ambao ni wafaidika na mfumo wa kundi la tatu na kundi la kwanza na katika hili -spika ajiangalie!

Makundi haya yote yanafanya kazi kwa pamoja na ukaribu mkubwa, moja ya mtu wao ambaye angetumika vizuri kuiweka serikali ya JPM pabaya ni waziri aliyeondolewa siku za karibuni


Nguvu mlizoelekeza kwa Bashite na huu uzushi na kupoteza raia wenzetu kisha tuone serikali mbaya hazikubaliki! najua kabisa na nasimama kuwa sikubaliani na sera nyingi za uchumi wa Magufuli! nazikataa

Ila tuweke hoja mezani na tuache utoto wa kutengeneza movie, hakuna serikali inayopenda eti ionekane mbaya! haipo!

Roma alikamatwa anafanya nini? aliimba wimbo wowote mpya? alikuwa anarekodi wimbo mpya? kwa hiyo serikali ya JPM imkamate Roma na kisha imuachie?? kwa nyimbo zilizoimbwa kipindi cha JK? seriously???? mpuuzi tu mwenye stress za maisha anayetaka kujifariji kwa makosa ya JPM atakayekubaliana na upuuzi huu

Yaani with all these social media, track systems wabunge 11 sijui mtekwe?? hivi BASHE inachukua dakika ngapi wewe kuuawa?? nchi hii hata rais hana ulinzi wa kutisha wa kushindwa kuuawa, mabenki yetu hayana ulinzi wa kutisha kushindwa kuingiliwa!! Bashe mtu akitaka kukuua na kadhamiria unaweza kuuawa na wala hana muda wa kupoteza kukuteka!! acheni zile movie za kiswahili, sasa umelala umepanga....NILIDHANI UNA AKILI SWALA NYETI KAMA HILO SIO LA KUKURUPUKA KUONGEA, meseji uliyotumiwa ina authenticity gani? nani katuma? kama aliyetuma katoa siri so kuongea kwa raia tena bungeni umemsaidiaje mtoa siri?? maana ukibanwa utamsema

acheni kuona kelele, au support ya watu mitandaoni ni base nzuri ya kufanya au kuwehuka, mnapoteza credibilit za uongozi! Nape anajua hivi, japo huwa mnaonaga mna akili kwa sababu ni mawaziri au wabunge, wengi wenu ni vilaza, sisi watu wa kawaida we know system na unatakiwa ufanye nini wakati gani...nyie hamjui!!

na mwenzangu na mie Lema , kweli Ben saanane tunaamka kumtafuta leo baada ya Roma kutekwa???? KUWA HATUNA UPENDO NA BEN SAA NANE NA UPENDO WETU WA MSIMU TU....KUWA SIKU ZOTE HIZI HATUKUONA UMUHIMU WAKUMTAFUTA BEN ILA LEO...???? kuwa asingetekwa Roma basi Ben saa nane alikuwa kapotea?? oneni aibu jamani!! na bila aibu mnachukua statement za Makonda kama basis ( kama amekosea kibinadamu je?)

Lema una vijana wengi wa chadema, ila inatia uchungu siku zote hizi kapotea msaidizi wa mbowe mmekaa kimya, Kubenea kasemaaa...yuko kimya ila LEO NDIO MNAAMKA! yaani BEN SAA NANE HANA TOFAUTI N MCHANGA WA DHAHABU...Ben anaweza kuoza ila mchanga hauozi ule!! so hakuna hoja eti migodi inaingia hasara ( nimechomekea)

Vijana wa chadema mna nguvu ya kukipigania chadema wakati mkipotea hakuna atakayewajali? leo mnaweza kujiita mna akili nyie? Hata mama kichaa wa jalalani anayezalishwa na wahuni bado anatunza mtoto, ila akili hizi hazijafikiwa na mbowe na akina Lissu ambao kwa muda mrefu mmekaa kimya kuhusu Ben saa nane ila leo mnaamka? hivi hizi picha mnamchezea nani?

Inatosha CCM walivyowapumbaza watanzania wengi ambao imethibitika wengi hata wawe wamesoma akili zao ni ndogo ku analyze vitu, watanzania hawa ndio hawa wamejaa mitandaoni, ndio hawa wanaweza kuambiwa hiki na Gwajima leo na kesho wakageuzwa au ni wale wa kuwambiwa lowassa fisadi leo na kesho wakaambiwa alikuwa 'malaika' Inatosha kuchezea watanzania ambao babu na baba zao walipumbazwa na ukoloni, dini za kuletwa na elimu ya kutowawezesha kuwaza nje ya box...Inatosha hawa watanzani hawajielewi ndio hawa leo watamchukia Kikwete na kesho watamshangilia! hawa ndio watanzania mnao wachezea!!

Inahitaji kuwakomboa, kutoka mikono ya CCM, mikono ya elimu mbovu, inatosha jamani kuwachezea watanzania-ni kama CCM imewabaka ( invasion to their brain) watanzania tangu enzi hizo, nyie mnaoonekana wakombozi akina chadema, wachungaji na wabunge mnaendelea kuwabaka watanzania tena kwa nguvu zaidi.....ndio kuchezea akili za watanzania wasiojielewa ni sawa na kuwabaka tu....wengi wana IQ za mtoto wa miaka 10 wa kike...unawadanganya kwa pipi tu, kwa kuleta story za ajabu ajabu

watanzania wamekuwa mazombie na wengi kazi hawafanyi kutaka kuona nini kitatokea katika maswala ambayo wachache wenu mnayatunga

Bashe nimekudharau!! nchi haiongozwi hivyo, wala hero hawi hivyo...hata zile movie za kizungu( kama unazoangaliaga) Hero sio lazima ujulikane leo, hii Nape nae hajui.....unaweza ukabadili na kuzima mambo bila kujulikana na watu wakiwa wanaendelea na shughuli zao! unaweza ukategua bomu lililotegwa chooni uwanja wa taifa wakati mechi inaendelea na watazamaji wako 70, 000 uawanjani..Tukaja kugundua baadae kuwa uikuwa hero, nini kimewapata ??

Nitasimama kusema ukweli haijalishi unamuumiza nani kiasi gani

ila watanzania wengi hamjielewi! poleni endeleeni tu kubakwa kwa kuingiziwa kila taarifa kwenye brain zenu na kwa sababu mna chuki zenu basi wala hamdigest kabisa!! aibu!
Ungekuwa na ushahidi wa haya unayoyaandika ungekuwa mtu muhuimu kusaidia Kamanda Sirro katika uchunguzi wake.
Oherwise ni porojo tu.
 
quote-fifteen-men-on-the-dead-man-s-chest-yo-ho-ho-and-a-bottle-of-rum-drink-and-the-devil-had-robert-louis-stevenson-269825.jpg
 
bahati nzuri ama mbaya ni ids zile zile za Lumumba,Nape nae pale Protea alikuwa anataka kujiteka?!

Dr. Ulimboka nae alijiteka,akajing'oa meno na kucha kwa plies mwenyewe?!

Bensaanane nae alijiteka na hadi leo anaendelea kujiteka huku polisi wakishindwa hata kutafuta mawasiliano yake na mara ya mwisho mnara ulisoma yupo wapi?!

Wakina Bashe,Msukuma na Malima waliripotiwa kutekwa Dodoma (kwani waliwekwa kizuizini bila ya kosa) kwa kutumia mitutu,kumbe nao walikuwa wanajiteka ili wasihudhurie vikao vya chama!!

Taifa linafanywa la kipumbavu,la kujaza propaganda ili kutisha na kusaidia utawala mfu!!
 
Hakuna mtu anayependa Rais ashindwe, kwani akishindwa jua Tumeshindwa wote.

Adui yake mkubwa ni yeye Mwenyewe!

Mmeanza kuleta Visingizio baada ya kuona ameshafeli kuendesha nchi.
 
So Roma na wenzake walijeteka halafu wakajitesa..!!??

Umesikia press conference iliyoisha hivi sasa ya Roma na wenzake??

Mbele ya Waziri Mwakyembe amesema walichukuliwa Wednesday usiku na wakafungwa vitambaa na kupelekwa kusikojulikana na huko ilikuwa ni kupigwa na kuteswa tu mpaka siku ya Ijumaa.

So u want to tell us ni juhudi za Bashite ndio zilizosaidia hawa akina Roma kupatikana juzi jmosi baada ya kuahidi jana yake..??

Don't come here with your very, not only low, but very cheap arguments...

Your thread comprises with "First Quality Nonsense!"

Hawa walitekwa na Bashite ndie Mhusika no 1.

Uwe na haya na aibu, jaribu kujisitiri kidogo, upo mtupu kabisa..!!

Rubbish..!!
Apa bila kupepesa machi uktaka jamaa na hadhira wengne 2jue lugha ya malkia unapanda,
So far io "rubbish" ndo umeongea ww,fanani kaghani mada tofaut kwa ustad mkubwa alaf ww kizimbuZi umekuja kumvrash kwa kebehi za kipuuz sana.
Watz ww na wengne tuwe serious,unless ww una gazet au ubia na magazet uta enjoy jiz porojo ila kukaa nyuma ya keyboard kipnga kupnga 2 tna kwa kejeli ksa tu mwenzio hawaz km ww narudia ni "rubbish"
 
Naomba ulinzi jmn bastola za nn hadharani ety eeh hii sio Tanzania nliyoizoeaa aisee vp naskia faru aliundiwa bajeti binadam saanane hatafutiki ngoja mi nikae kimya
 
Kuna nguvu kubwa kumdidimiza Rais
nacho kilaumu wanatumia mbinu za hovyo kuliangamiza Taifa
na kitu chakushangaza watanzania wengi wamekuwa kama watoto wasio taka kutumia akili zao!
Leo uzushi unakuwa unashupaliwa
watu wanashindwa hata kufanya kazi
kisa uzushi!!

Hawa wauza madawa, Wasuka madili hawata penya
 
Back
Top Bottom