TWENDENI TUKAPIME Wakuu

SAYANSIKIMU

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
1,132
260
Ni jambo la ajabu sana watu wengi wanaogopa kupima.Kupima kunasaidia mambo mengi maana mtu ukisha jua tayari unavyo inakuwa rahisi kudhibiti madhara zaidi .Jamani MSIOGOPE KUPIMA maana kama ukipima au usipo pima kama upo + au - ni hivyohivyo.TUPIME WAKUU TUJUE AFYA ZETU.Mimi Mwenzenu Kesho Ninaenda Kupima Nawahamasisha Nyote Twendeni Tukapime TUJUE AFYA ZETU Nawasilisha.
 
We si huna demu sasa unaogopa nini kwenda kupima?
Au ndo umepewa masharti na Dinazarde?
 
Kila siku nakwambia kapime hutaki unataka mpaka uende na watu muwe wengi haisaidii nenda tu sie tunajijua long tm ago
 
Back
Top Bottom