Twendeni gulioni katerero!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Unatakiwa kufikisha at least ndizi 50 kutoka kashozi kwenda katerero,umbali wa kilometa 100.Kashozi kuna mzigo wa ndizi 300 na usafiri uliopo ni wa kutumia Ngamia.Kwa kila kilometa 1,ngamia huyo anakula ndizi moja na mzigo mkubwa anaoweza kubeba kwa wakati mmoja ni ndizi 100.Utafanyaje ili kwa kumtumia huyu Ngamia ufikishe at least ndizi 50 kule gulioni katerero?(Assume huyu Ngamia anakula ndizi continuosly,e.g 0.2km=0.2Banana).
 
Kwanza inabidi upange vituo viwili kati ya Kashozi na Katerero yaani kituo A na B.

Kwanza utambebesha ngamia ndizi 100 toka kashozi hadi kituo A chenye umbali wa kilometa 20 toka kashozi. Hivyo kati ya hizo 100 njiani atakula ndizi 20 na atafikisha ndizi 80. Basi utaacha hapo kituoni ndizi 60 na kumbebesha tena ndizi 20 ili arudi kashozi kufuata mzigo mwingine.

Kashozi utambebesha mzigo mwingine wa pili wa ndizi 100 kwenda kituo A. Njiani atakula ndizi 20 na atafikisha ndizi 80. Hapo hapo kituo A utashusha ndizi 60 na kumwacha arudi na ndizi 20 kumalizia zilizobaki 100 kule kashozi. Safari ya tatu Katika mzigo wa ndizi100 zilizobaki huna haja ya kumbebesha zote, mbebeshe ndizi 96 kati ya 100 na atakula njiani ndizi 20 na kufikisha ndizi 76 kituo A. Jumla ya kituo A zitakuwa ndizi 196 yaani 60 + 60+76 na Kilomita 80 zitakuwa zimebaki kufika katerero.

Basi utafanya kituo kingine B ambacho ni kilometa 33 toka kituo A. Mzigo wa kwanza utaweka ndizi 100 kati ya zile 196. Ngamia atakula njiani ndizi 33 njiani na kufikisha kituo B ndizi 67. Basi utaacha hapo kituo B ndizi 34 na kupandisha tena ngamia na ndizi 33 ili ale njiani akirudi kumalizia zile 96. Safari ya mwisho toka kituo A kwenda B.. ngamia atabeba zile ndizi 96, atakula njiani ndizi 33 na kufikisha kituo B ndizi 63 ambazo ukijumlisha na zile ndizi 34 za mwanzo zitafanya jumla ya ndizi 97 huku safari ikiwa imeenda kilometa 33 + 20 = 53 na kubaki na kilometa 47 kufika katerero.

Basi safari ya mwisho itakuwa kutoka hapo kituo B kwenda gulioni katerero ambako ni umbali wa kilomita 47 kutoka kituo B. na utambebesha zile ndizi 97 zilizobaki. Njiani ngamia atakula ndizi 47 na kufikisha gulioni ndizi 50.
 
Biashara hiyo hailipi, si bora niuze Muhogo tu hapo kashozi Katerero ya nini?
 
Kwanza inabidi upange vituo viwili kati ya Kashozi na Katerero yaani kituo A na B.<br />
<br />
Kwanza utambebesha ngamia ndizi 100 toka kashozi hadi kituo A chenye umbali wa kilometa 20 toka kashozi. Hivyo kati ya hizo 100 njiani atakula ndizi 20 na atafikisha ndizi 80. Basi utaacha hapo kituoni ndizi 60 na kumbebesha tena ndizi 20 ili arudi kashozi kufuata mzigo mwingine.<br />
<br />
Kashozi utambebesha mzigo mwingine wa pili wa ndizi 100 kwenda kituo A. Njiani atakula ndizi 20 na atafikisha ndizi 80. Hapo hapo kituo A utashusha ndizi 60 na kumwacha arudi na ndizi 20 kumalizia zilizobaki 100 kule kashozi. Safari ya tatu Katika mzigo wa ndizi100 zilizobaki huna haja ya kumbebesha zote, mbebeshe ndizi 96 kati ya 100 na atakula njiani ndizi 20 na kufikisha ndizi 76 kituo A. Jumla ya kituo A zitakuwa ndizi 196 yaani 60 + 60+76 na Kilomita 80 zitakuwa zimebaki kufika katerero.<br />
<br />
Basi utafanya kituo kingine B ambacho ni kilometa 33 toka kituo A. Mzigo wa kwanza utaweka ndizi 100 kati ya zile 196. Ngamia atakula njiani ndizi 33 njiani na kufikisha kituo B ndizi 67. Basi utaacha hapo kituo B ndizi 34 na kupandisha tena ngamia na ndizi 33 ili ale njiani akirudi kumalizia zile 96. Safari ya mwisho toka kituo A kwenda B.. ngamia atabeba zile ndizi 96, atakula njiani ndizi 33 na kufikisha kituo B ndizi 63 ambazo ukijumlisha na zile ndizi 34 za mwanzo zitafanya jumla ya ndizi 97 huku safari ikiwa imeenda kilometa 33 + 20 = 53 na kubaki na kilometa 47 kufika katerero.<br />
<br />
Basi safari ya mwisho itakuwa kutoka hapo kituo B kwenda gulioni katerero ambako ni umbali wa kilomita 47 kutoka kituo B. na utambebesha zile ndizi 97 zilizobaki. Njiani ngamia atakula ndizi 47 na kufikisha gulioni ndizi 50.
<br />
<br />
You are bad news mkuu,congrats and thanx v.much!
 
Kwanza inabidi upange vituo viwili kati ya Kashozi na Katerero yaani kituo A na B.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kwanza utambebesha ngamia ndizi 100 toka kashozi hadi kituo A chenye umbali wa kilometa 20 toka kashozi. Hivyo kati ya hizo 100 njiani atakula ndizi 20 na atafikisha ndizi 80. Basi utaacha hapo kituoni ndizi 60 na kumbebesha tena ndizi 20 ili arudi kashozi kufuata mzigo mwingine.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kashozi utambebesha mzigo mwingine wa pili wa ndizi 100 kwenda kituo A. Njiani atakula ndizi 20 na atafikisha ndizi 80. Hapo hapo kituo A utashusha ndizi 60 na kumwacha arudi na ndizi 20 kumalizia zilizobaki 100 kule kashozi. Safari ya tatu Katika mzigo wa ndizi100 zilizobaki huna haja ya kumbebesha zote, mbebeshe ndizi 96 kati ya 100 na atakula njiani ndizi 20 na kufikisha ndizi 76 kituo A. Jumla ya kituo A zitakuwa ndizi 196 yaani 60 + 60+76 na Kilomita 80 zitakuwa zimebaki kufika katerero.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Basi utafanya kituo kingine B ambacho ni kilometa 33 toka kituo A. Mzigo wa kwanza utaweka ndizi 100 kati ya zile 196. Ngamia atakula njiani ndizi 33 njiani na kufikisha kituo B ndizi 67. Basi utaacha hapo kituo B ndizi 34 na kupandisha tena ngamia na ndizi 33 ili ale njiani akirudi kumalizia zile 96. Safari ya mwisho toka kituo A kwenda B.. ngamia atabeba zile ndizi 96, atakula njiani ndizi 33 na kufikisha kituo B ndizi 63 ambazo ukijumlisha na zile ndizi 34 za mwanzo zitafanya jumla ya ndizi 97 huku safari ikiwa imeenda kilometa 33 + 20 = 53 na kubaki na kilometa 47 kufika katerero.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Basi safari ya mwisho itakuwa kutoka hapo kituo B kwenda gulioni katerero ambako ni umbali wa kilomita 47 kutoka kituo B. na utambebesha zile ndizi 97 zilizobaki. Njiani ngamia atakula ndizi 47 na kufikisha gulioni ndizi 50.
&lt;br /&gt;Kamanda, asante sana. Kwa mtazamo naona kama ni simulteneous equations,(kama siyo utanisahisha), je, unaweza kutuwekea equations zake?<br />
&lt;br /&gt;
 
&amp;lt;br /&amp;gt;Kamanda, asante sana. Kwa mtazamo naona kama ni simulteneous equations,(kama siyo utanisahisha), je, unaweza kutuwekea equations zake?&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;
<br />
<br />
Ni jinsi ya ku-determine vipande vya distance za kutembea.Weka malengo ya kubaki na ndizi 200 kati ya 300,utasafirisha ndizi umbali gani?;300-5m=200,m=distance,this equation satisfies 3 outward moves and 2 inward moves.Baada ya hapo weka malengo ya kubaki na ndizi 100;200-3m=100,this equation satisfies two outward moves and one inward move.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ni kweli mkubwa hata mie nakuunga mguu, sio lazima sote tuuze ndizi huko katerero, hata kashozi maisha yapo vile vile.
<br />
<br />
Umeonaeeeh! Kisha mwisho wa siku ngamia anapata shavu mi mbavu zinabana...! Eti ktk ndizi 300 ngamia anakula 250 katerero zinafika 50... Khaaa!!!
 
Biashara hiyo hailipi, si bora niuze Muhogo tu hapo kashozi Katerero ya nini?
<br />
Kweli mkuu, biashara ya hivi ni sawa na kuuza juice ya bamia, lol! Ndizi 300 unafikisha ndizi 50! Ukitoa gharama zako unabakiwa na nini, kama siyo hasara, khaaaaa ?!
 
Katerero pale ndo maeneo ya hm kwahiyo ukifika tu we nishtue nikugonge msosi wa kufa mtu na akomushanju k'Embandure'
 
huyu ngamia fisadi,
na ukishafika katerero ndio ugonvi na ngamia utakapoanza maana hakuna ndizi za kurudia kashozi, kaaazi kweli kweli
 
huyu ngamia fisadi,<br />
na ukishafika katerero ndio ugonvi na ngamia utakapoanza maana hakuna ndizi za kurudia kashozi, kaaazi kweli kweli
<br />
<br />
Labda na yeye naenda muuza!
 
Unatakiwa kufikisha at least ndizi 50 kutoka kashozi kwenda katerero,umbali wa kilometa 100.Kashozi kuna mzigo wa ndizi 300 na usafiri uliopo ni wa kutumia Ngamia.Kwa kila kilometa 1,ngamia huyo anakula ndizi moja na mzigo mkubwa anaoweza kubeba kwa wakati mmoja ni ndizi 100.Utafanyaje ili kwa kumtumia huyu Ngamia ufikishe at least ndizi 50 kule gulioni katerero?(Assume huyu Ngamia anakula ndizi continuosly,e.g 0.2km=0.2Banana).
lol!!!!!!
 
Back
Top Bottom