Twende Punchlines 4-4 (Strictly for Poets, Lyrists & Artists)

Twende Punchlines 4-4 (Strictly for Poets, Lyrists & Artists)

We una diss mi nakiss
Fake mc's wana siz
Kitaa kuna wizi mamwera kama pussy

Hizi verse si kama ndizi
Kuchana ni yangu kazi
Aihitaji karatasi nachana kama mkasi

Unaiweza kasi au tatoka kamasi?
Lugha yangu mi hasi unahitaji kamusi na wala haina tusi

Verse tamu kama nanasi kuelewe hitaji nafasi
Ogopa hii nafsi au shushia na pepsi

Mi si mjusi nan'gata kama fisi
Natumia nafasi Mola nipe ukwesi
Tshrt na jeans ndio yangu mavazi
 
Mi mkali wa mapanchline' kaa mbali mtoto mlaini/
Mistari inakata maini' mapimbi wanakaa chini/
Fake mc utalipa faini' hii ni fani acha utani/
Mainstream am coming soon, Underground kwaherini/
 
Nina akili timamu toka enzi za mande
bishoo jitume usining'inize makende
imara kama sindimba ya wamakonde
sio wa viepe yai nakula makande
kwa mbali namuona dinarzade
pembeni yake yupo warumi
sijui kuhusu msosi ila maneno hawakunyimi
kama unatoka bush land huwasomi
misamiati mingi wakiuwasha moto hauzimi
hapo wanatumia vidole hawatumii ndimi
mi hubaki kutabasamu
hupata hamu
khasa wanapoitana binamu
ujue lilalofuata ni bomu
kisha wanakwambia ukale ndimu
JF baabkubwa na si ili mradi
kila siku members wengi inazidi idadi
watu wanaunguruma mithili ya radi
utasutwa usilete kitu bila ushahidi
tunatumia nguvu nyingi kusoma comments za pdiddy.
 
Back
Top Bottom