donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,048
- 21,526
- Thread starter
- #121
Mkubwa katokwa na povuNimecheka sana hapa...Daaah
Mkubwa katokwa na povuNimecheka sana hapa...Daaah
Hahaha worst case scenario
Yes, mbaya zaid kama ni mission ya kuinfiltrate lets say a building, hamjui location ya adui so ni rahisi khvamia booby trapsHalafu unajua zile huwezi kuzigundua maana zinakuwa camouflage na mazingira....
Mzee kajipitisha kwenye Mine farm halafu kuna booby Traps za kutosha
Hapo ni hatari sana. Lazima ukaePres
IEDs with thermal sensors. Kushoto Ni C4 kulia ni TnT huku kakanyaga huku inapima thermal signature
Hapo ni hatari sana. Lazima ukae
Cheka mkubwa mwenzangu unenepe vitoto vingine vinajiona vishakuwa kina field marshall kwa movie za prison break twenty four the unit and a sort of that..... Pia vinajisahau kuwa wakati vinakunya babazao tuna uwezo wa kuhara mpaka vikome kuringa....Nimecheka sana hapa...Daaah
Hilo movie nalikubali sana linaanza kwanza mablack yanagombania chakula cha donation.....jamaa likawafyeka kama kumi hivi ndo kuwa tuliza....halafu linawaonesha walioko kwenye chopa fuc...Sierra, Golf, Tango....one black hawk is down....I repeat....one black hawk is down....over!
Hilo muvi la Watabe wenyewe wamarekani wakajichanganya wakavamia kwa watoto wa mjomba pale Somalia kwa Wamavimavi na ndege zao special zilizotengezwa kwa ajili ya operation ya somalia pekee...zikiaminiwa haziwezi kuangushwa.
Sasa mapema tu baada ya wamarekani kutia mguu Somali dege moja la black hawk down linatunguliwa na kuanguka chini...soldier mmarekani akiwa aamini kilichotokea anaripoti kwa Afande wake alieko base...kwa sauti hiyo hapo juu ya ....one black hawk is down!
Hatari tupu humo! Maana marekani alipigwa msako Dunia nzima haijawahi tokea..matokeo yake kabla ya mission kuisha jamaa akaterminates mission na kurudi home Mohammed all fala ididi akaendelea kutawala kwa tank pale town Mogadishu.
Ni bonge la oicha kutoka kwa mkali willsSierra, Golf, Tango....one black hawk is down....I repeat....one black hawk is down....over!
Hilo muvi la Watabe wenyewe wamarekani wakajichanganya wakavamia kwa watoto wa mjomba pale Somalia kwa Wamavimavi na ndege zao special zilizotengezwa kwa ajili ya operation ya somalia pekee...zikiaminiwa haziwezi kuangushwa.
Sasa mapema tu baada ya wamarekani kutia mguu Somali dege moja la black hawk down linatunguliwa na kuanguka chini...soldier mmarekani akiwa aamini kilichotokea anaripoti kwa Afande wake alieko base...kwa sauti hiyo hapo juu ya ....one black hawk is down!
Hatari tupu humo! Maana marekani alipigwa msako Dunia nzima haijawahi tokea..matokeo yake kabla ya mission kuisha jamaa akaterminates mission na kurudi home Mohammed all fala ididi akaendelea kutawala kwa tank pale town Mogadishu.
Wala sijaona busara yako mkuu,kwanini uvamie burudani za watu kama hupendi?JF ina majukwaa kibao,choose what suits you.Cheka mkubwa mwenzangu unenepe vitoto vingine vinajiona vishakuwa kina field marshall kwa movie za prison break twenty four the unit and a sort of that..... Pia vinajisahau kuwa wakati vinakunya babazao tuna uwezo wa kuhara mpaka vikome kuringa....
Pia nathani ni muhimu serikali ikatoa mikopo kwa hivi vitoto vianze kuhangaika na course works na university exams viwe bize viachane na series za kimarekani na kikorea.
Sahivi viko bize kwenye makochi ya waume wa dada zao vinaangalia series za kukodisha mabandani ukichanganya na vifurushi vya chuo vya tigo basi kero tupu huku jf.
Sasa vitoto kama hivi hatuna budi kuviambia vitoe heshima kwa baba zao bureee la sivyo wazazi wao tunaweza kuichukua heshma hiyo kwa nguvu.
Busara ni kama nguo ya ndani(chupi) tunaamini kila mtu amevaa... So usitarajie nivae mlege ili wewe phd holder uione chupi yangu... Likewise naamini umevaa chupi uliyotumia kunijibu majibu yako....Wala sijaona busara yako mkuu,kwanini uvamie burudani za watu kama hupendi?JF ina majukwaa kibao,choose what suits you.
Halafu ni narrow intepretation kudhani kwamba wanaochat hapa ni wanafunzi au hawana elimu ya juu.Hizi ni burudani za watu hata kama ana PhD
Do we have eyes on the target?Hello all station Yankee Romeo tune antennas out
I'm trying to establish commDo we have eyes on the target?
hahahahaha nimefika hapa nimecheka sana mkuu hahahahahahMama nakufaaaaaa.... Afande nisaidie..