Twaweza Appoints Aidan Eyakuze as its new Executive Director

Twaweza Appoints Aidan Eyakuze as its new Executive Director

Basi wengi watanaswa wakiwemo high profile figures.. Au kutakuwa na kubagua? Yure mupe yure muruke?
Atakayejipendekeza kwenye kumkwamisha mzalendo na mpigania wanyonge lazima anyooshwe kwani huu si wakati wa kukwamisha maendeleo kwa interest binafsi au za mafisadi au wakoloni mamboleo.

Ni somo ambalo inabidi lieleweke !
 
Atakayejipendekeza kwenye kumkwamisha mzalendo na mpigania wanyonge lazima anyooshwe kwani huu si wakati wa kukwamisha maendeleo kwa interest binafsi au za mafisadi au wakoloni mamboleo.

Ni somo ambalo inabidi lieleweke !
Ni uonevu unaobidi ukemewe kwa nguvu zote....
 
Basi wengi watanaswa wakiwemo high profile figures.. Au kutakuwa na kubagua? Yure mupe yure muruke?
Ukingia kwenye 18 zao hapo ndipo utakutana na mupe muruke mzee baba

Ova
 
Wooh,

I know Idan Eyekuze, mtaalamu wa scenario huyu, moja ya vijana weledi niliobahatika kukutana nao KATIKA wasilisho Mbalimbali.

Mungu akupe HEKIMA.

BIG UP BROTHER.
Mh Mtaka, vipi leo tena mwenzako anaambiwa kuna walakini katika uraia wake?
 
Wooh,

I know Idan Eyekuze, mtaalamu wa scenario huyu, moja ya vijana weledi niliobahatika kukutana nao KATIKA wasilisho Mbalimbali.

Mungu akupe HEKIMA.

BIG UP BROTHER.
Hilo jina lake sio la watanzania
 
Back
Top Bottom