Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,441
- 38,417
Afghanistan hatuna majina haya, labda wajaribu kwa wacheza MAKHIRI KHIRIRwanda hatuna majina hayo tafadhali labda jaribuni Burundi, Somalia, Syria na Afghanistan.
Afghanistan hatuna majina haya, labda wajaribu kwa wacheza MAKHIRI KHIRIRwanda hatuna majina hayo tafadhali labda jaribuni Burundi, Somalia, Syria na Afghanistan.
Kuna ukweli, nilitahayari India, ktk orodha ya hotel tuliofikia niliona jina MALETA, nikashoboka nikijua MMATUMBI mwenzangu wa Tanzania, lahaula! Jamaa wa Malawi.Hata akina Mwakyembe wako Malawi, hii haimfanyi Mwakyembe kuwa Mmalawi. Wazungu wakati wanatugawa, hawakuwa wanaangalia majina au makabila.
Afghanistan hatuna majina haya, labda wajaribu kwa wacheza MAKHIRI KHIRI
Nilimuelewa sana John Perkins kwenye kitabu chake cha Economic hitmanThink Tanks nyingi duniani hutumika kuuaminisha umma kuhusu swala fulani... Hivi mnafikiri hata hizo takwimu za world Bank ni sahihi??
Economic Hitmen wapo wengi sana...
Ethos.
Muhaya,mtusi,KAMWE sio mchaga.😀Anatoka kanda yetu
Ndiyo maana ya kanda yetu....au ulielewaje?Muhaya,mtusi,KAMWE sio mchaga.😀
Nimesoma na mtu wa familia hii ya Eyakuze, ni wahaya wenye asili ya Uganda maarufu Kama Waganda Kyaka....Ayakuze, kama sikosei haya majina ni ya pande za Rwanda na Burundi.
Unamaana ukanda wetu?yaani kwamba greti leksi.aisiii.tehtehNdiyo maana ya kanda yetu....au ulielewaje?
You are right.Think Tanks nyingi duniani hutumika kuuaminisha umma kuhusu swala fulani... Hivi mnafikiri hata hizo takwimu za world Bank ni sahihi??
Economic Hitmen wapo wengi sana...
Ethos.
Wa Eritrea hatuna majina hayo labda jaribuni msumbijiKwa wacheza makhiri khiri nao wameniambia hawana haya majina labda wajaribu Eritrea.
We ndiyo wale wanafunzi wasioelewa hadi mchapwe bakora🙂Unamaana ukanda wetu?yaani kwamba greti leksi.aisiii.tehteh
Wa Eritrea hatuna majina hayo labda jaribuni msumbiji
Hongera sana Mr. Eyakuze and wish you all the best in your new position
hahah!URAIA WAKE UNATIA MASHAKA
Hahhah!Ayakuze, kama sikosei haya majina ni ya pande za Rwanda na Burundi.
duh!Wakaazi wa mikoa hiyo wameingiliana sana na wanyarwanda, operation tokomeza haijawamaliza tembelea wilaya za misenyi wengine ni wenyeviti wa vijiji.
Unamaanisha wako mlimani juu kabisa...Wengi tu si raia tena wako kileleni kabisa.
Rutasholobwa Jina Hilo kuna mnyarwanda yuko Kigali anatumiaduh!
We jamaa una akili sanaAyakuze, kama sikosei haya majina ni ya pande za Rwanda na Burundi.