MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,368
Malipo ya TV ni dunia nzima si Tanzania tu utakapoingia ktk mfumo wa kutumia decoder.
Mara nyingi kuna channels watakupa bure lakini zaidi utaambiwa lazima ulipie.
Na baadhi ya makampuni makubwa yanayoendesha biashara hii ya TV mfano Dstv wao unalipa na pesa yako ikimaliza decoder inakata matangazo.
Kuna wale wanatumia mfumo wa decoder na kunasa matangazo ya free duniani kupitia dish lakini hawana choice ya channel ni zile za free tu.
Issue kwanini Redio hatulipi Na TV tunalipa hilo wenye majibu wenye mamlaka na hizo services
Mara nyingi kuna channels watakupa bure lakini zaidi utaambiwa lazima ulipie.
Na baadhi ya makampuni makubwa yanayoendesha biashara hii ya TV mfano Dstv wao unalipa na pesa yako ikimaliza decoder inakata matangazo.
Kuna wale wanatumia mfumo wa decoder na kunasa matangazo ya free duniani kupitia dish lakini hawana choice ya channel ni zile za free tu.
Issue kwanini Redio hatulipi Na TV tunalipa hilo wenye majibu wenye mamlaka na hizo services