Tuzo za Muziki Nchini Tanzania

Tuzo za Muziki Nchini Tanzania

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,683
Baraza La Sanaa La Tanzania, Limetoa Vipengele Vya Wasanii wanao Wania Tuzo Za Mziki Tanzania, Pamoja na Majina Ya Wasanii Wanao Wania Tuzo Hizo.

Ni List yenye Vituko Vingi Sana.

Nimeshindwa Namna Ya Ku ishare hapa Kwasababu Haijakaa Kisanii, List Ya Nominiees imekaa Kama Barua Ya Kuchumbia.

Kama Kuna Mtu Ana List Yote anaweza kushare, Hapa Nikiweza Nitashare

Je nini Maoni Yako? Kwenye Hizi Tuzo?
View attachment 2157328
View attachment 2157329
View attachment 2157330
View attachment 2157331
View attachment 2157332
View attachment 2157333
View attachment 2157334
View attachment 2157335
View attachment 2157336
 
UKIMUULIZA ALIEANDAA HIYO LIST KATUMIA VIGEZO GANI KUWAPATA WASHINDANI UNAWEZA JUTA KWA NINI ULIZALIWA TANZANIA.

In short wameandika majina hayo kwa kufikiria tu, hakuna kigezo cha maana walichokitumia. Kama wangetumia vigezo husika wengi wasingekuwa hapo.
 
Back
Top Bottom