Tuzo za Lowassa ni mkono wa kwaheri katika siasa za nchi hii

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwanza nampongeza Lowasa kwa hizo tuzo alizopata. Binafsi nimeridhika na natembea kifua mbele kujisifu na kukisifu chama changu cha CCM kwa kuwajenga wanachama na wafuasi wake katika misingi ya ustaarabu na siasa za staha. Kama mwana CCM mstaafu, naamini kuwa Lowasa amelelewa katika misingi ya siasa za ushindani na si siasa za chuki na ugomvi.

Pamoja na hayo, sina hakika kama hadi mwaka 2020, Lowasa ataendelea kuwa na nguvu za kushiriki siasa. Natarajia kuwa baada ya kupokea Tuzo hizo, Lowasa atarejea kwao Monduli kuchunga ng'ombe kama alivyotuahidi hapo awali. Akifanya hivyo atazitendea haki hizo tuzo.

Binafsi naziona tuzo hizo kama ni mkono wa Kwaheri ama kwa jina jingine tumezoea kuita Rambirambi kwa kuukosa Urais kwani sitarajii kumuona tena Lowasa akisimama majukwaani kuomba kura kwa wananchi. Natumia fursa hii kumtakia kila la kheri katika kazi yake mpya ya kuchunga ng'ombe, kazi ambayo ndiyo jadi yake. Huku kwenye siasa ni kama alipotea njia tu
 
Umeeleweka, hebu tugeukie Zanzibar kidogo ili tuone huo ustaarabu
wa chama chako unachokisifu.
 
lowasa si kile choo walichopakulia chumbani? hahahahaaaa chadema bwana.
 
Sahihi kaisa huyu mzee zama zake ndiyo mwisho kabisa hata ufisadi tunauzika rasmi.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwanza nampongeza Lowasa kwa hizo tuzo alizopata. Binafsi nimeridhika na natembea kifua mbele kujisifu na kukisifu chama changu cha CCM kwa kuwajenga wanachama na wafuasi wake katika misingi ya ustaarabu na siasa za staha. Kama mwana CCM mstaafu, naamini kuwa Lowasa amelelewa katika misingi ya siasa za ushindani na si siasa za chuki na ugomvi.

Pamoja na hayo, sina hakika kama hadi mwaka 2020, Lowasa ataendelea kuwa na nguvu za kushiriki siasa. Natarajia kuwa baada ya kupokea Tuzo hizo, Lowasa atarejea kwao Monduli kuchunga ng'ombe kama alivyotuahidi hapo awali. Akifanya hivyo atazitendea haki hizo tuzo.

Binafsi naziona tuzo hizo kama ni mkono wa Kwaheri ama kwa jina jingine tumezoea kuita Rambirambi kwa kuukosa Urais kwani sitarajii kumuona tena Lowasa akisimama majukwaani kuomba kura kwa wananchi. Natumia fursa hii kumtakia kila la kheri katika kazi yake mpya ya kuchunga ng'ombe, kazi ambayo ndiyo jadi yake. Huku kwenye siasa ni kama alipotea njia tu
Atakuwa na miaka 67. Akiamua kugombea tena 2020 umri huo hauwezi kuwa kikwazo, labda kama kuna mengine tusiyoyajua.
 
Lowassa ndo nani tuzo zenyewe ni za kidini (kristo)za kukaa na T*Be Jos*ua ili watengeneze kitu kwa jamii kupitia media za ndani na nje ya nchi km ni tuzo halal angepewa Maalim Seif kwa uvumilivu wake lkn sio yy ambae hata matokeo ya rais ameshindwa kuyakubali.
 
Hata kama pongezi zako ni za kejeli lakini Lowasa atabaki kuwa mfano bora wa kiongozi barani Afrika mwenye ustahimilivu wa hali ya juu.
Unafahamu wazi kuwa baada ya Uchaguzi ule chini ya katiba hii mbovu angeweza kutamka neno moja tuu na Leo hii historia ya nchi hii ingebadilika.
 
Hata kama pongezi zako ni za kejeli lakini Lowasa atabaki kuwa mfano bora wa kiongozi barani Afrika mwenye ustahimilivu wa hali ya juu.
Unafahamu wazi kuwa baada ya Uchaguzi ule chini ya katiba hii mbovu angeweza kutamka neno moja tuu na Leo hii historia ya nchi hii ingebadilika.

Acheni kudanganya watu eti historic ingebadirika nyoooo
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwanza nampongeza Lowasa kwa hizo tuzo alizopata. Binafsi nimeridhika na natembea kifua mbele kujisifu na kukisifu chama changu cha CCM kwa kuwajenga wanachama na wafuasi wake katika misingi ya ustaarabu na siasa za staha. Kama mwana CCM mstaafu, naamini kuwa Lowasa amelelewa katika misingi ya siasa za ushindani na si siasa za chuki na ugomvi.

Pamoja na hayo, sina hakika kama hadi mwaka 2020, Lowasa ataendelea kuwa na nguvu za kushiriki siasa. Natarajia kuwa baada ya kupokea Tuzo hizo, Lowasa atarejea kwao Monduli kuchunga ng'ombe kama alivyotuahidi hapo awali. Akifanya hivyo atazitendea haki hizo tuzo.

Binafsi naziona tuzo hizo kama ni mkono wa Kwaheri ama kwa jina jingine tumezoea kuita Rambirambi kwa kuukosa Urais kwani sitarajii kumuona tena Lowasa akisimama majukwaani kuomba kura kwa wananchi. Natumia fursa hii kumtakia kila la kheri katika kazi yake mpya ya kuchunga ng'ombe, kazi ambayo ndiyo jadi yake. Huku kwenye siasa ni kama alipotea njia tu

Dhambi ya unafiki na hila uwezi iacha itakutafuna duniani na hata siku ya hukumu ya Mungu
 
Lowassa ndo nani tuzo zenyewe ni za kidini (kristo)za kukaa na T*Be Jos*ua ili watengeneze kitu kwa jamii kupitia media za ndani na nje ya nchi km ni tuzo halal angepewa Maalim Seif kwa uvumilivu wake lkn sio yy ambae hata matokeo ya rais ameshindwa kuyakubali.

alaah kumbe tuzo za kanisa mimi nilifikili jumuia ya ulaya nilishangaa sana fisadi kupewa tuzo
 
Hujui usemalo, uliuona mhemko uliokuwepo wakati wa Uchaguzi? Nchi nyingi baada ya Uchaguzi amani inatoweka kwa vile kuna watu wanasubiri tamko tata wafanye yao kwa manufaa yao.
Ogopa sana hili tatizo la ukosefu wa ajira
 
Kama ni tamko tata angepaswa kulitoa Maalim kwani kwake ndio kafanyiwa figisufigisu na si mamvi coz mamvi ni sawa na Hashiim Rungwe tu wote wawili ni mlango wa 8 ( fungu lakukosa).
 
Lizabon wewe unamzidi nini lowassa.unaropoka bila kujitathimini.lowassa ni mwanasiasa anayeijua siasa.
 
Hujui usemalo, uliuona mhemko uliokuwepo wakati wa Uchaguzi? Nchi nyingi baada ya Uchaguzi amani inatoweka kwa vile kuna watu wanasubiri tamko tata wafanye yao kwa manufaa yao.
Ogopa sana hili tatizo la ukosefu wa ajira
Sasa kama Lowasa kapigwa dhahiri na Magufuli ulitaraji nani angemuunga mkono kama angelianzisha?
 
Kama ni tamko tata angepaswa kulitoa Maalim kwani kwake ndio kafanyiwa figisufigisu na si mamvi coz mamvi ni sawa na Hashiim Rungwe tu wote wawili ni mlango wa 8 ( fungu lakukosa).
Hakika Mkuu. Anayestahiki kupewa tuzo hapa ni Maalim Seif na si Lowasa
 
Back
Top Bottom