Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wewe huna cha kuchangia kwenye huu uzi maana ni sumu kwenu, mlipo toka cdm mlijigamba ingekufa sasa mnaona inavyo chanua mnachanganyikiwaKama zile za Lowassa
Hahaha
Wewe huna cha kuchangia kwenye huu uzi maana ni sumu kwenu, mlipo toka cdm mlijigamba ingekufa sasa mnaona inavyo chanua mnachanganyikiwaKama zile za Lowassa
Hahaha
Anajitoa ufahamu kisa mkono kwenda kinywaniajabu iko wapi , kipi usichokifahamu kuhusiana na zanzibar ?
Kweli mkuu samahaniMkuu kumlinganisha mh lema na jk ni kutomtendea haki mh lema
Hivi na wewe bado unajiita GT?mimi naona ujiite lumumba thinkerThread za namna hii ni ishara tosha kuwa ni kweli upinzani Tanzania ulikufa august 2015 (mlipomchukua EL) na kuzikwa rasmi tar 25 October!
mkuu ujue tunaandika humu kama masihara vile , lakini ukweli ni kwamba kuna watu ambao Mungu amewaleta katika dunia hii kwa makusudio maalum , na nina hakika huyu Mh Lema ni mmojawao.Mh. Lema anastahili kupewa Nobel Prize award...... Amekuwa mstari wa mbele kutetea haki za wanyonge na kusimamia maslahi ya taifa.
He have my backing already
Mkuu dunia sasa ni kijiji hivyo kila kinachofanyika kinaonekana ulimwenguni kote,hongera sana mh lemaLema mtu makinmi sana acha apewe2
haki yake...kumbe watu wanaona
Wanajutia uamuzi wao kabisa huko kwaoNa wale waliomjazia polofesa wenu wa kichina tuzo lundo hivi si wanajiona wapuuzi kwa jinsi JPM anavyotumbua mijipu yake?
Nikweli mkuu 100% ila hao hawanaga kitu aibuhapa hujanidharau mimi wala UKAWA , bali umedharau amani ya zanzibar , kitu ambacho hakitakusaidia chochote , tuliweka angalizo la Dr Magufuli kuongea na wazee wa dsm , kama nakumbuka vizuri ilikuwa nov ama dec , mlitukana matusi yote , lakini leo mmeumbuka .
mkuu Mmawia almanusura unichane mbavu !!!Mkuu kumlinganisha mh lema na jk ni kutomtendea haki mh lema
Acha utani wewekuna kila dalili ya Mh Lema kuwa mbunge bora wa bunge la 11 .
Ulitakaje?wenye mamlaka wanasema " atakayeleta fyoko fyoko kukiona " hivi unaweza kutatua utata kwa lugha ya " kisela " namna hii ? nakulilia Tanzania .
kama hutaki basi haya .Acha utani wewe
mgogoro wa zanzibar hautamalizwa kibabe , ni busara pekee inahitajika na hasa mshindi halali kutangazwa .Ulitakaje?
kama bangi inawezesha kutatua mgogoro wa zanzibar kwa amani basi ihalalishwe kuanzia ngazi ya shule za msingi .We utakua unavutaga naye bangi.
mgogoro wa zanzibar hautamalizwa kibabe , ni busara pekee inahitajika na hasa mshindi halali kutangazwa .
tuwekee hapa matokeo , ni ajabu sana ! Taasisi ya Mwl Nyerere yenye watu wazito wenye ushawishi ndani na nje ya nchi imepigwa ganzi hadi kuzidiwa na bwana mdogo Lema ! hakika hawa wazee Mungu atawapiga laana mbaya sana .Hakuna mshindi ndio mana uchaguzi unarudiwa